Pozi la mamndenyi

Pozi la mamndenyi

mshana umenikumbusha kesi moja na lecturere wangu! ni mama mtu mzima sana kiumri, sasa kuna siku jamaa kaandika miss XXX, badala ya madama XXX! huyo lecturer alisala mpaka akamkata score kwenye assignment! dadeki..

sasa nikuulize swali, una uhakika gani kuwa FaizaFoxy ni bidada ama bibibi? lol...

Hahahaaaaa Excel leme reserve my com
 
Last edited by a moderator:
Nyuzi kama hizi ndio zinajulisha kuwa Watanzania wameridhika na maisha.
 
Ha ha haaa,
Sie hapa jamvini tupo zaidi ya kumi,
Ngoja tujipange akija bongo atoe huduma kwa wakati mmoja.
Hapa simtaji ili asije akashtuka.

afadhali usimtaje manake anaweza asije bongo kwa kuogopa zoezi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom