Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,045
- 828,843
- Thread starter
- #81
mshana umenikumbusha kesi moja na lecturere wangu! ni mama mtu mzima sana kiumri, sasa kuna siku jamaa kaandika miss XXX, badala ya madama XXX! huyo lecturer alisala mpaka akamkata score kwenye assignment! dadeki..
sasa nikuulize swali, una uhakika gani kuwa FaizaFoxy ni bidada ama bibibi? lol...
Hahahaaaaa Excel leme reserve my com
Last edited by a moderator: