David Beck amuiga Imam Hussain pozi la picha

David Beck amuiga Imam Hussain pozi la picha

Busu la Kenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2025
Posts
2,543
Reaction score
4,664
Sir David Beckham eti naye amemuiga Imam hussein pozi la picha alipokuwa na mijibwa yake kijijini uingereza.

Z-JaWDNXVXUZjT26N7MXzQ.jpg
Pozi hilo maarufu la kipekee ambalo kipenzi chetu cha dhati mwamba mkombozi wa waislamu aliyeuwawa kikatili kuulinda, kuutetea na kuupigania uislam dhidi ya ukatili, udhalilishaji na uonevu ikimuonesha kipenzi chetu akimuaga binti yake mpendwa Sakinah kwa mara ya mwisho kabla ya umauti kwenye battle of Karbala.

Zuljanah kwa nyuma akiinamisha uso wake chini kwa huzuni 😥😢😭😭
4245005.jpg

adriz The Icebreaker Beira Boy Monetary doctor Akhi Al-mukheef subiri uone Intelligent businessman Evelyn Salt
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom