Pozi la mamndenyi

Pozi la mamndenyi

Kwani wewe kinakuuma kitu gani? Unajisikia wivu nini mimi nikiwataja hao wachumba? Mkuu Excel huna kazi ya kufanya nini? nikupe kazi ya kufanya? mind your business

Haaaaaa kumbe kwenye malovee unabadilika kabisa MziziMkavu? Usiamini chochote nilichoandika tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Kwani wewe kinakuuma kitu gani? Unajisikia wivu nini mimi nikiwataja hao wachumba? Mkuu Excel huna kazi ya kufanya nini? nikupe kazi ya kufanya? mind your business

Ahahahaaaa! Mkuu unanitishia nyau?


Ngoja nickie maoni ya wadau kwanza kabla sijakushughulikia directly!


Siko kanda maalum kuuza sura..
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom