"Powershaft" za kichina balaaa!!

Mnyamahodzo

JF-Expert Member
May 23, 2008
1,932
985
Imeripotiwa katika Radio WAPO leo asubuhi, kipindi cha PATAPATA, kuwa kuna jamaa mmoja (mkazi wa Mbezi) aliyekuwa na tatizo la kuwa na jogoo mdogo hata kumfanya akimbiwe na wake zake watatu wa awali. Jamaa alipomuoa mke wa nne akapata ushauri toka kwa rafikiye wa kutumia hizo dawa za kichina za kuongeza ukubwa wa jogoo ili ainusuru ndoa yake ya sasa. Akanunua na kuanza kuitumia, mwanzoni ulipokuwa kidogo akajisikia raha. Akaamua kuendelea kupaka/kutumia, jogoo akaendelea kukua zaidi. Mkewe akaona loh! Makubwa haya! hawezi kuendelea tena kumhudumia jogoo mkubwa namna hiyo akabwaga manyanga.Na kurudi kwao.
Awali jamaa alitakiwa apake kwa siku mbili, lakini aliponogewa na kuona amekuwa akaongeza zaidi, mambo yakawa mambo. Kwasasa jogoo ni mkubwa na ana uzito wa kilo tisa.
Jamaa sasa ameacha kazi na hawezi kuvaa nguo.
Mheshimiwa anaomba msaada ili jogoo arudi kama awali.

Jamaani wachina hawa! Mara kukuza makulio, mara inakuza kalio moja tu, mara kusababaisha makalio kupasuka na sasa haya ....
 
hehehehhe inachekesha ...huyo jamaa naye alitakiwa ajue mbinu fasaha za kutumia kibamia alichopewa na mungu ..haya mambo mengine ya kujitakia !
 
........Ohhh mama yangu weeeeeeee!! I seeeee si mchezo, huo mzigo wa kilo tisa sipati picha mhhhhhhhh!!
Pole yake mbona ahahha......jamani imefika kipindi sisi binadamu inabidi kuridhika na jinsi tulivyoumbwa na Mungu, hizi dawa za wachina matokeo yake ndio kama hayo. Masikini huyo baba sijui kama atapata dawa ya kupunguza tena.
Ila hili ni fundisho tosha kwa watumiaji wa hizo dawa za kuongeza makalio,hips na mtarimbo.
 
hakuna dawa ya kupunguzia?

lakini kilo 9!!!!!!!!!!?,

wakati mwingine tunawalaum wachina lakini Mungu katupa utashi.
 
hakuna dawa ya kupunguzia?

lakini kilo 9!!!!!!!!!!?,

wakati mwingine tunawalaum wachina lakini Mungu katupa utashi.

Ni kweli Edson ..mwenyezi mungu katupa kujua jema na baya kabla ya kuamua inatupasa kufikiria mala mbili Faida/hasara
 
Imported Thinking
Imported ideas
Imported advice!
Kila kitu cha kuandikizwa kichwani!...huh!
This person is as good as the corpse!...shiit!
 
Ila kwa kuangalia circumstance yake naweza kumuelewa. Kama alikimbiwa na wake watatu kwa sababu ya 'kibamia', then most likely angetumia dawa yoyote ili kuepuka huo unyanyapaa.

Kwani wachina hawana dawa ya kupunguza?
 
Pole yake sana nadhani hata ile pleassure aliyokuwa anaipata wakati anakibamia sasa kushnei
 
huo mzigo wa kilo tisa sipati picha ...

Hupati picha? Condom yake hii hapa:

picture.php
 
Imeripotiwa katika Radio WAPO leo asubuhi, kipindi cha PATAPATA, kuwa kuna jamaa mmoja (mkazi wa Mbezi) aliyekuwa na tatizo la kuwa na jogoo mdogo hata kumfanya akimbiwe na wake zake watatu wa awali. Jamaa alipomuoa mke wa nne akapata ushauri toka kwa rafikiye wa kutumia hizo dawa za kichina za kuongeza ukubwa wa jogoo ili ainusuru ndoa yake ya sasa. Akanunua na kuanza kuitumia, mwanzoni ulipokuwa kidogo akajisikia raha. Akaamua kuendelea kupaka/kutumia, jogoo akaendelea kukua zaidi. Mkewe akaona loh! Makubwa haya! hawezi kuendelea tena kumhudumia jogoo mkubwa namna hiyo akabwaga manyanga.Na kurudi kwao.
Awali jamaa alitakiwa apake kwa siku mbili, lakini aliponogewa na kuona amekuwa akaongeza zaidi, mambo yakawa mambo. Kwasasa jogoo ni mkubwa na ana uzito wa kilo tisa.
Jamaa sasa ameacha kazi na hawezi kuvaa nguo.
Mheshimiwa anaomba msaada ili jogoo arudi kama awali.

Jamaani wachina hawa! Mara kukuza makulio, mara inakuza kalio moja tu, mara kusababaisha makalio kupasuka na sasa haya ....


afadhali na wanaume yawakute,mlitusakama sana na makalio yetu wanawake .. kwa kuwa amefikia kuwa na uume huo wa kilo hizo, ina maana hakuna mwanamke atakeyeweza ku-accommodate hiyo mzigo... so easy aanze ku-date punda, wao wanauzoefu wa shaft za uzito na ukubwa kama hiyo.... yuko wapi nimuunganishe na wafuga punda wa huko singida, may be he could buy one na amamfanya mke....
 
Kabla ya kuamua unapaswa kufikiri vya kutosha kuhusu uamuzi mkubwa kama huu. Mara nyingi watu huwa tunafikiria tu habari ya size ya mtalimbo bila kufikiria kwamba mtalimbo ni output tu na sio kila kitu. Tunapaswa kufikiria kwamba kuna propotionality ya mwili na viungo vyake mbalimbali mtalimbo ukiwemo.

Kwa kushughulika na size bila kulifikiria hili matokeo yake huwa ni kuzeeka kabla ya wakati, kwa maana kwamba presha inayo support erection ina ulinganifu na mgawanyo na viungo vingine hivyo kwa kuwa na size ya kuazima yaweza pelekea mtu anapokuwa na umri hata wa miaka 45 tu akashindwa kabisa ku erect kwa sababu hana presha ya kutosha kusapoti huo mtalimbo wa kichina ambao hauna ulinganifu na mwili wako.
 
afadhali na wanaume yawakute,mlitusakama sana na makalio yetu wanawake .. kwa kuwa amefikia kuwa na uume huo wa kilo hizo, ina maana hakuna mwanamke atakeyeweza ku-accommodate hiyo mzigo... so easy aanze ku-date punda, wao wanauzoefu wa shaft za uzito na ukubwa kama hiyo.... yuko wapi nimuunganishe na wafuga punda wa huko singida, may be he could buy one na amamfanya mke....

Sikufikiri kuwa unaweza ukawa na akili mgando kiasi hicho cha kumshauri ama kutoa ushauri katika jamii inayozidi kuutafuta ustaarabu kwa kutaka ikajamiiane na mnyama. kukosa adabu na uchafu wa wazungu na watu wachafu wanao-waingilia wanyama HAUKUBALIKI KATIKA TANZANIA ya leo na ya kesho.

Thibitisha kuwa hauna akili mgando, kwa kutueleza una maana gani unapofikiri ni bora mwanadamu mwenzako kaanza kujamiiana na mnyama? Kama ndio mchezo wako huo au umwewahi kuwa na mazoea hayo UKOME!!.
 
afadhali na wanaume yawakute,mlitusakama sana na makalio yetu wanawake .. kwa kuwa amefikia kuwa na uume huo wa kilo hizo, ina maana hakuna mwanamke atakeyeweza ku-accommodate hiyo mzigo... so easy aanze ku-date punda, wao wanauzoefu wa shaft za uzito na ukubwa kama hiyo.... yuko wapi nimuunganishe na wafuga punda wa huko singida, may be he could buy one na amamfanya mke....

Muhanga, kumbuka moja kati ya amri kuu mbili za Mungu: Mpende Jirani Yako Kama Unavyojipenda Mwenyewe. Sasa inakuwaje mwenzio umsagizie aoe punda jike?? Jiweke katika nafasi yake halafu ujute na utubu, please!!!
 
Back
Top Bottom