StaffordKibona
JF-Expert Member
- Apr 21, 2008
- 669
- 57
Yah:
Leo asubuhi kipindi cha "Power Breakfast" kimeongelea kuhusu mgao wa umeme na kutopatikana kwa LUKU kwa "lugha kali sana" na natumaini Wakuu wa TANESCO ujumbe umewafikia!
Asante sana Clouds - for the first time!
Kwa mara ya kwanza hata mimi nimewakubali. Siyo vibaya kuwapa credit wanapofaanya vizuri