Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Ila amini amini nawaambia hata sisi hapa JF ambao kwa sasa tuna malengo mazuri.
Tukipewa nchi mambo yatakuwa kama yalivyo sasa huko serikalini.
Waafrika ndivyo tulivyo!
Samahani kwa niliowakwaza.
Kwa kweli bro umenikwaza, anyway nakaza buti tuendelee mbele....ninaaamini tuna watu wenye mitizamo tofauti na kama wakiwapewa nafasi I believe kutakuwa na mabadiliko...ukisema kama ndo tulivyo ni dalili ya kukata tamaaa na theres no signs of light at the end of the tunnel...