Nyangumi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2007
- 507
- 17
mijitu mingine kwa kuharibu bana ! kula weye basi !
kila kitu kina raha yake, either kichuguu au mlima !
Nina hakika we ungekuwa ndege basi ungekuwa BUNDI
mijitu mingine kwa kuharibu bana ! kula weye basi !
kila kitu kina raha yake, either kichuguu au mlima !
Mimi nimewasiliana na mmoja wa wakurugenzi hao (ambaye hajaguswa na hii kashfa) ndio maana naamini info niliyokuwa nayo ni more reliable. Amenihakikishia kama kungekuwa na jambo kama hilo angejulishwa.kana-ka-nsungu....hizo habari si sahihi...wakurugenzi watatu maepewa barua jana jioni...wanaenda likizo ya lazima kwa kipindi kisichojulikana.HIZO NI FACT....SI DHANA
Alhau Alakbar
Kana Kansungu jamaa yako hakujulishwa kwa sababu hayuko kwenye loop!
Ila amini amini nawaambia hata sisi hapa JF ambao kwa sasa tuna malengo mazuri.
Tukipewa nchi mambo yatakuwa kama yalivyo sasa huko serikalini.
Waafrika ndivyo tulivyo!
Samahani kwa niliowakwaza.
Ila amini amini nawaambia hata sisi hapa JF ambao kwa sasa tuna malengo mazuri.
Tukipewa nchi mambo yatakuwa kama yalivyo sasa huko serikalini.
Waafrika ndivyo tulivyo!
Samahani kwa niliowakwaza.
Ila amini amini nawaambia hata sisi hapa JF ambao kwa sasa tuna malengo mazuri.
Tukipewa nchi mambo yatakuwa kama yalivyo sasa huko serikalini.
Waafrika ndivyo tulivyo!
Samahani kwa niliowakwaza.
.... ha ha, tumia PM au email, ukishindwa hivo zitundike kwenye globu ya kaka Michuzi ........