Posta yatimua wakurugenzi.. kisa JF!

ukiona ufisadi kwenye ofisi yenu usiseme hadharani na hata kama umeshindwa kuwasilisha kwenye vyombo husika kwa sababuu za kuhofia kibarua chako; na kwa vile Tanzania hatuna sheria ya kuwakinga wanaotoa habari za ufisadi basi watu hawa kuanzia sasa wanatakiwa wakae kimya na wasitoe habari hizo kwa umma; wajaribu kumalizana kimya kimya.. vinginevyo wajiandae kwa retaliation..
 
ukiona ufisadi kwenye ofisi yenu usiseme hadharani na hata kama umeshindwa kuwasilisha kwenye vyombo husika kwa sababuu za kuhofia kibarua chako; na kwa vile Tanzania hatuna sheria ya kuwakinga wanaotoa habari za ufisadi basi watu hawa kuanzia sasa wanatakiwa wakae kimya na wasitoe habari hizo kwa umma; wajaribu kumalizana kimya kimya.. vinginevyo wajiandae kwa retaliation..

Very sad indeed Mkjj,

Kiburi chote anawapatia mkuu wa Kaya mwenyewe Jakaya Kikwete. Hawa watu wangereact tofauti kama Kikwete angewachukulia hatua mafisadi kwenye serikali yake.

Inaonekana wao wameamua kudeal na kila mmoja anayefukua habari zao nje. Waandishi wa habari Tanzania nadhani mnasoma hizi habari hapa na kama kawa, fuatilieni hili kama yale mengine yote yaliyopitia hapa JF!
 
nafikiri kama kulikuwa na tuhuma basi kulikuwa na sehemu nzuri zaidi ya kupeleka hizo tuhuma kabla hazijaenda public, ona sasa kibarua kimeota nyasi !

Wewe Kada inaonekana uko tayari kuficha uvundo katika system alimradi tu kibarua chako kinastawi.....

i'm sure there is a suitable word to describe someone exhibiting this kinda demeanor ........

Je ulisoma maelezo yaliyotolewa kwenye thread inayo elezea ubadhirifu huo?.... kweli unauhakika kuwa (kama) kuna watu wamefukuzwa kazi, basi hawakutenda ipasavyo au kufata taratibu katika kutetea haki zao kabla ya kuanika uozo huo?
 
Toba!:eek: Sasa barua zangu itakuwaje...tehe si ndio basi.

Mbona Posta ilishaenda kufanya shughuli zake siku nyingi sana (Early 90s) na Benki ya Posta ikabakia yenyewe as Financial Sector. Maswala ya shughuli za Posta hazihusu Benki ya Posta kabisa. Hivyo barua zako ziko salama tu.
 
labda yeye anataka uozo ufumbiwe macho kwa sababu ya kibarua tu...

ulikuwa wapi wakati watu wanafichua uozo wa mbowe ?? ulisema chochote au na wewe ndio hukutaka kibarua kiote nyasi ?

unajua haya mambo ya kusema wengine utadhani haya-apply kwako is really ridiculous!

Ufisadi kwa wenzio sawa, kwako wewe sivyo(unasema sio ufisadi)! haya kwaheri!
 
Naona mzimu wa Mbowe utapelekea wafanyakazi wote wa Posta wafukuzwe kazi just because Mkjj hakusema chochote kuhusu deni la Mbowe ambalo hata serikali yenyewe na NSSF hawasemi anadaiwa kiasi gani ..... lol
 
Wewe Kada inaonekana uko tayari kuficha uvundo katika system alimradi tu kibarua chako kinastawi.....

TO BE HONEST WITH YOU, ABSOLUTELY NINGEFANYA HIVYO !
Hey, as long as am getting mine, what do i have to worry about ?
 
Asante Mkjj,

Juhudi zake za kutaka kubadili mada zimekuwa ignored rasmi for now!

http://www.abracadabrasuperstore.co.../circus/images/circus ringleader whip_jpg.jpg

sawa african byuti ! wewe ndio ulikuwa na lengo la kupotosha mada, nasema mwanakijiji kwa nini alikuwa amekaa kimya na kutetea uozo wa mbowe (ili kibarua kisiote nyasi)Baada ya yeye kusema ningekaa kimya ili kibarua kisiote nyasi, wakati yeye ndiye aliyekaa kimya..........wewe from nowhere (maybe hell)unaingilia na kuleta uozo wako ! ungekaa kimya !

Muone kwanza !
 
TO BE HONEST WITH YOU, ABSOLUTELY NINGEFANYA HIVYO !
Hey, as long as am getting mine, what do i have to worry about ?
....okay, you don't have to worry about any injustice and the need to bust it. That's you and that's fine. It is so unfortunately or should I say fortunately, Africa is cluttered or should i say blessed by many like you. Live in peace!!
 
....okay, you don't have to worry about any injustice and the need to bust it. That's you and that's fine. It is so unfortunately or should I say fortunately, Africa is cluttered or should i say blessed by many like you. Live in peace!!

sasa nini steve-d maana najua hata wewe ungekaa kimya as long as unapata chako ! usikane mbele ya baraza mzee halafu kwenye kiza unaendeleza haya mambo !

si ndio kazi za viongozi wa kiafrica, kupigia kelele mambo hadharani na wakiwa gizani aibu tupu ! afadhali mie nimekubali ukweli yaishe ! ningekaa kimya and i still hold my statement !

live in peace !
 
Maisha haya labda MUNGU aje kuingilia kati na kuwasaidia hao waliofukuzwa kwa kutoa habari kwa JF!

Weekend njema kwa kila mtu!
 
.... ha ha, tumia PM au email, ukishindwa hivo zitundike kwenye globu ya kaka Michuzi ........ :D

Kama alivyosema Kisura hapo juu, uvundo unaojadiliwa hapa ni wa Tanzania Postal Bank (TPB) na siyo Tanzania Posts Corporation (TPC) ambao ndio wanahusika na masuala ya barua.
Kitu kimoja ambacho ni common kwa TBP na TPC ni kwamba mashirika haya mawili ni miongoni mwa majungu mengi ya CCM, wakihitaji hela huku wanachota saa yoyote. Ukichunguza utagundua kuwa wenyeviti wa bodi zake na members ni watu wa CCM na MDs lazima awe anongea kiCCM.
 
Back
Top Bottom