Post za kidato cha tano 2015/2016

Post za kidato cha tano 2015/2016

Status
Not open for further replies.
Jamani hatuelewi serikali ilikuwa ina malengo gani kutuweka nyumbani takribani miezi 7! Labda mnaweza kunisaidia mawazo😡😡😡

heri yako wewe uliyefaulu kuna wengine wanawaza wafanye nn hawafikirii post muda huu wewe subiri form 5 wenyewe shule hawajafunga then unataka post walimu soon ndo wameajiriwa wanangoja chaguo la pili chamsingi kama umepata GPA 5.0 - 1.6 Kwa GIRLS mbona shule ushapata kwa boys GPA 5.0-2.0 usitie shaka we katafute material ya form 6 waliomaliza ujipige brash dogo.
 
Mda mfupi uliopita tumetoka kuonge na idara za ndani na mmoja wa wafanya kazi katika baraza la mitihani NECTA tukujaribu kumhoji juu ya kuchelewa kwa posti za kidato cha tano kwa mwaka 2015 na akaweza kutueleza kuwa wanaendelea kukamilisha mchakato wa kupanga majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na kuwa mda wowote kuanzia sasa wanaweza kutoa majina hayo.

haya bwana Natinal Examination Counsil of Tanzania (NECTA) Kama watatoa ncheki kwa email hii adamchrisshassan@gmail.com
 
Jamani hatuelewi serikali ilikuwa ina malengo gani kutuweka nyumbani takribani miezi 7! Labda mnaweza kunisaidia mawazo😡😡😡

Bora mbaki nyumbani kwanza mpaka mabweni/maabara/madarasa/walimu/posho/mishahara vipatikane na madeni ya serikali yalipwe.
 
Jamani hatuelewi serikali ilikuwa ina malengo gani kutuweka nyumbani takribani miezi 7! Labda mnaweza kunisaidia mawazo😡😡😡

yani ww dogo miez 7 umeona mingi sana...acha wenge
 
Msidanganyane necta hawahucki na kpnga majna ya kdato cha tano hlo n balaz la mitihan
hyo kaz ya kpnga majna ya kdato cha 5 ipo chn ya tamisemi
 
Mda mfupi uliopita tumetoka kuonge na idara za ndani na mmoja wa wafanya kazi katika baraza la mitihani NECTA tukujaribu kumhoji juu ya kuchelewa kwa posti za kidato cha tano kwa mwaka 2015 na akaweza kutueleza kuwa wanaendelea kukamilisha mchakato wa kupanga majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na kuwa mda wowote kuanzia sasa wanaweza kutoa majina hayo.

jaman hiv kwel eeeh! maana nilisha choka kukaa kitaa! wa2 wamenenepa balaaa!
 
Mda mfupi uliopita tumetoka kuonge na idara za ndani na mmoja wa wafanya kazi katika baraza la mitihani NECTA tukujaribu kumhoji juu ya kuchelewa kwa posti za kidato cha tano kwa mwaka 2015 na akaweza kutueleza kuwa wanaendelea kukamilisha mchakato wa kupanga majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na kuwa mda wowote kuanzia sasa wanaweza kutoa majina hayo.

necta ndiyo yenyedhamana ya kupanga hayo majina au ni wizara ya elimu ndio yenyedhamana?

necta ni chombo chenyedhamana ya kuwapima wanafunzi kupitia mitihani.
 
Mda mfupi uliopita tumetoka kuonge na idara za ndani na mmoja wa wafanya kazi katika baraza la mitihani NECTA tukujaribu kumhoji juu ya kuchelewa kwa posti za kidato cha tano kwa mwaka 2015 na akaweza kutueleza kuwa wanaendelea kukamilisha mchakato wa kupanga majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na kuwa mda wowote kuanzia sasa wanaweza kutoa majina hayo.

Huyo uliyemuuliza kakuona wewe zwazwa ndiyo maana kakujibu hivyo au anataka sifa kutoka kwako...

Baraza la Mitihani halimiliki shule, hivyo haliwezi kupangia wanafunzi mahali pa kwenda.

Suala la kupanga shule ni la TAMISEMI tangu mwaka jana. Kabla ya mwaka jana MoEVT ndiyo walikuwa na jukumu hilo.

Tafakari...
 
jamaani kwa post za selection za kidato cha tano watoe mapema wanafunzi wajue wako wap waweke mambo ya vizur
 
Haraka ya nini? Karibia yote ya A-level yanajirudia mliyosoma kutoka O-level.
 
mmmhh mnahamu ya kwenda a-levo mtatamani likizo ya miezi saba mtakosa mtakapojua nyumbani kuzuri kuliko shule na a-levo sio kazi ndogo hasa kwa science, post njema mkasome
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom