Inategemea na shule uliyopangwa utaratbu wao ukoje,, hapa ninapofundsha mimi hatufanyi huo ujinga, walokupanga ndo wakubadlshe haohao
Mda mfupi uliopita tumetoka kuonge na idara za
ndani na mmoja wa wafanya kazi katika baraza la
mitihani NECTA tukujaribu kumhoji juu ya
kuchelewa kwa posti za kidato cha tano kwa
mwaka 2015 na akaweza kutueleza kuwa
wanaendelea kukamilisha mchakato wa kupanga
majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na
kidato cha tano na kuwa mda wowote kuanzia
sasa wanaweza kutoa majina hayo hivyo endelea
kututembelea kwenye blog yetu kwani mda
wowote tukipata taarifa kamili ya orodha
tutaweka punde si punde unaweza wasiliana nasi
kupitia thomaslugoye@gmail.com/0768248512/
ukurasa wetu wa twitter thomaslugoye/ukurasa
wetu wa facebook thomas lugoye.
Jamani hatuelewi serikali ilikuwa ina malengo gani kutuweka nyumbani takribani miezi 7! Labda mnaweza kunisaidia mawazo😡😡😡
Jamani hii serikali yetu mbona imetusahau kiasi hiki post lini jamanii
Mda mfupi uliopita tumetoka kuonge na idara za ndani na mmoja wa wafanya kazi katika baraza la mitihani NECTA tukujaribu kumhoji juu ya kuchelewa kwa posti za kidato cha tano kwa mwaka 2015 na akaweza kutueleza kuwa wanaendelea kukamilisha mchakato wa kupanga majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na kuwa mda wowote kuanzia sasa wanaweza kutoa majina hayo.
Mda mfupi uliopita tumetoka kuonge na idara za ndani na mmoja wa wafanya kazi katika baraza la mitihani NECTA tukujaribu kumhoji juu ya kuchelewa kwa posti za kidato cha tano kwa mwaka 2015 na akaweza kutueleza kuwa wanaendelea kukamilisha mchakato wa kupanga majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na kuwa mda wowote kuanzia sasa wanaweza kutoa majina hayo.
hiyo mbona n kaz ya moevt sio necta au unatudanganya tuMda mfupi uliopita tumetoka kuonge na idara za ndani na mmoja wa wafanya kazi katika baraza la mitihani NECTA tukujaribu kumhoji juu ya kuchelewa kwa posti za kidato cha tano kwa mwaka 2015 na akaweza kutueleza kuwa wanaendelea kukamilisha mchakato wa kupanga majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na kuwa mda wowote kuanzia sasa wanaweza kutoa majina hayo.