Latete Snr
Member
- Feb 21, 2015
- 79
- 24
Wacha nile bataaa mpaka kuku waone wivu miaka minne shuleni then hz miez 6 tu ngoja tu nile raha za kitaa zikitoka tunaenda skul zikichelewa tunazidi kuchelewa so nawashauri form 4 lever wenzangu nyie kuleni bata tu coz naskia ukifika huko utakumbuka kwenu