Post za kidato cha tano 2015/2016

Post za kidato cha tano 2015/2016

Status
Not open for further replies.
Kumbe humu ndani wapo hawa manyoka. dah JF imeshakuwa nyavu. Mungu bariki Jf.

Ficha ujinga wako...kwa jinsi ulivo siamini kama wewe ndiye ulipost huu ujinga...

Kwanini usifurahi na kukaribisha vijana wadogo kama hawa ili wawe na wao ni ma GT..

Inaonekana computer ungegundua wewe usingewapa watu wengine..shame on you
 
Ficha ujinga wako...kwa jinsi ulivo siamini kama wewe ndiye ulipost huu ujinga...

Kwanini usifurahi na kukaribisha vijana wadogo kama hawa ili wawe na wao ni ma GT..

Inaonekana computer ungegundua wewe usingewapa watu wengine..shame on you

kweli kabisa kwa kitendo alichokuwa amekifanya sijapendezwa nacho, nashukuru sana mkuu kwa kuweza kumueleza ukweli uyo ndg
 
Ni mwezi wa tano sasa umetia hatuoni dalili zozote au fununu kuhusu post za kidato cha tano,kwa kweli serikali ituonee huruma uku mtaani tulipo tumekaa mpaka tumechoka,au kwa yule anaye jua au hata fununu kuhusu hizo post zinatoka lini,tena tafadhali sana tujulishe ndg.

wanatuchungulia ao mwanangu
 
Mkuu nimekupata vizuri anyway ilikua kama utani tu , vijana karibuni jukwaani , mkuu chuma cha reli lets peace reign between me and you . seleman msumeno karibuni sana jukwani ni matani dont take it serious.
Ficha ujinga wako...kwa jinsi ulivo siamini kama wewe ndiye ulipost huu ujinga...

Kwanini usifurahi na kukaribisha vijana wadogo kama hawa ili wawe na wao ni ma GT..

Inaonekana computer ungegundua wewe usingewapa watu wengine..shame on you
 
Last edited by a moderator:
Usijali kijana post zitatoka tu mwez wa 6 kama tulivyo fanyiwa ss mwaka jana we vumilia tu...
 
Hilo ndo kubwa zaid..zile form ni kwa ajili ya kulinda democracy tu..kuna shule hazchaguliwi kabisa...unafikiri watapelekwa kina nan?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom