Post za kidato cha tano 2015/2016

Post za kidato cha tano 2015/2016

Status
Not open for further replies.
aya wakubwa ila wametoa ofa kwa wale wenze2 wa PASS lakn ni kwa wale wa sayansi 2 kama comb yako ya CBG/PCM/PCB ime balance basi jiandae lakn wanataka PASS ya G.P.A 1.3 -1.5.... au download via nacte.go.tz by WILLy pan
 
kuanzia tar.1 june-,16 june will be out bt mkae mkijua wanafunzi 27,000 wameachwa kati ya 73,853
 
kati ya tar.1 june-16 june will be out bt mkae mkijua watu 27,000 wameachwa kati ya 73,853
 
Nyie BRN MNA kelele, au ndo kitaa hakusomeki mnataka mpakimbie? suala LA kujoin advance linajulikana kuwa July but mmepiga kelele hum kitambo xanaaaa. mnaboa
 
Nyie BRN MNA kelele, au ndo kitaa hakusomeki mnataka mpakimbie? suala LA kujoin advance linajulikana kuwa July but mmepiga kelele hum kitambo xanaaaa. mnaboa

Acha wenge bob, kama halikuhusu ndo waliona dogo ama wenzio wafanya mchezo sio,
 
Nyie BRN MNA kelele, au ndo kitaa hakusomeki mnataka mpakimbie? suala LA kujoin advance linajulikana kuwa July but mmepiga kelele hum kitambo xanaaaa. mnaboa

leave a side kama auko interested acha kutokwa povu apa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom