housegirl
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 3,125
- 2,194
Just a millitary balloon! so the US gvt says. mbona walikataa waandishi wapige picha if it was "just a millitary balloon". mbona eye witnesses walisema waliona miili ikitolewa, imebebwa in plastic bags. And an eyewitness said kuna mwanajeshi alimwambia "you never saw anything, you hear?".Roswell incident ingawa ni issue ya kweli lakini si kwamba ilikuwa ni unidentified flying object bali military balloon katika harakati za kuchunguzana wakati wa cold war.
LOL I'm not purporting that it was an allien "plane crush", I dont want to get carried away with these things. Lakini the fact that waandishi walipigwa marufuku kusogea pale gets me curious. Au hawakutaka mataifa mengine yaone technology yao wamarekani)!! I dont know.