Possible Intelligent Life out there

Mkuu nimerudi, nashukuru sana. Napitia baadhi ya topics mpya za jukwaa hili nipate kuchangia lolote. Cheers..
Duh kiongozi kumbe upo?
Hivi mkuu ule uzi wa ukweli wa kustaajabisha kuhusu nyota mbona kama ulifungwa?
Natamani kweli uendelezwe coz naikubali astronomy
Hapa nina maswali kibao kama ikiwa photons hazina mass kabisa inakuwaje zinavutwa na black holes?
Kwanini black holes hazionekani bali zinakisiwa tu
Maswali yapo mengi mkuu ila uzi ndo umefungwa
 
Duh kiongozi kumbe upo?
Hivi mkuu ule uzi wa ukweli wa kustaajabisha kuhusu nyota mbona kama ulifungwa?
Natamani kweli uendelezwe coz naikubali astronomy
Hapa nina maswali kibao kama ikiwa photons hazina mass kabisa inakuwaje zinavutwa na black holes?
Kwanini black holes hazionekani bali zinakisiwa tu
Maswali yapo mengi mkuu ila uzi ndo umefungwa

Ule uzi ulifungwa zamani kidogo. Kuhusu photons ni kweli hazina mass ila zina gravitational pull ukibase kwa theory ya relativity kuliko ile ya Newtonian. Kwa kifupi photons zina gravitational charges kutokana relativity mass ambayo ni tofauti na mass ya particles nyingine za kawaida. Kuelewa vizuri tabia za massless particles kanuni za special relativity zinahusika. Kuna vitabu na articles kuhusu particle physics zinafafanua vizuri ingawa kuna mianya mingi maana area hii bado ni inachunguzwa.

Black holes hazionekani kwa sababu mwanga hauwezi ku-escape the strong gravitational force kwenye mpaka wa black hole. Kunaweza kuwa na mambo mengine magumu kuelewa kwa sababu gravity ni kubwa na pengine kanuni za kawaida za physics hazitoshi kueleza hiyo phenomenon kwahiyo"black" inaweza pia kumaanisha hatujui zaidi kama ilivyo kwa "dark" matter au "dark" energy.

Na kuvutwa kwa photons na gravity ya black hole kama nilivyosema in the first para, ni kwa sababu photons zina mass charges (tofauti na mass ya particles) kwa kuwa ziko katika mwendo mkali (speed of light) na zina uvutano wa kielectronic (electromagnetism) kwa hiyo kwa kanuni za relativity interaction itakuwepo through magnetic field, electric field etc. Hii sio rahisi kuielezea kwa maneno machache.
 
Ule uzi ulifungwa zamani kidogo. Kuhusu photons ni kweli hazina mass ila zina gravitational pull ukibase kwa theory ya relativity kuliko ile ya Newtonian. Kwa kifupi photons zina gravitational charges kutokana relativity mass ambayo ni tofauti na mass ya particles nyingine za kawaida. Kuelewa vizuri tabia za massless particles kanuni za special relativity zinahusika. Kuna vitabu na articles kuhusu particle physics zinafafanua vizuri ingawa kuna mianya mingi maana area hii bado ni inachunguzwa.

Black holes hazionekani kwa sababu mwanga hauwezi ku-escape the strong gravitational force kwenye mpaka wa black hole. Kunaweza kuwa na mambo mengine magumu kuelewa kwa sababu gravity ni kubwa na pengine kanuni za kawaida za physics hazitoshi kueleza hiyo phenomenon kwahiyo"black" inaweza pia kumaanisha hatujui zaidi kama ilivyo kwa "dark" matter au "dark" energy.

Na kuvutwa kwa photons na gravity ya black hole kama nilivyosema in the first para, ni kwa sababu photons zina mass charges (tofauti na mass ya particles) kwa kuwa ziko katika mwendo mkali (speed of light) na zina uvutano wa kielectronic (electromagnetism) kwa hiyo kwa kanuni za relativity interaction itakuwepo through magnetic field, electric field etc. Hii sio rahisi kuielezea kwa maneno machache.
Shukrani mkuu hapo nimepata mwanga
Nikiwa na swali jingine itabidi nilete humuhumu tu
 
Information za kuwepo au kutokuwepo kwa uhai katika sehemu nyingine tofauti na duniani ni sensitive sana kwa wale wanaojua maana yake. Nitakudokeza kidogo ingawa kuna mengi wao wanayoona ni lazima yawe classified labda kwa muda fulani.

Ikifahamika kwa uhakika kwamba kuna 2nd L. [we are 1st L] basi possibilities nyingine ambazo zinahofiwa sana for future of humanity/life (kikiwemo kiunzi cha uhai, Self replicating Probes, Unfriendly Intelligent beings etc) zitakuwa zimefunguka. Watu wengi hawalijui hili lakini No 2 [other life forms] ina maana maisha yanaweza kutokea au kuumbwa sehemu nyingine nje ya dunia na kwa kuwa sehemu ziko nyingi (trillions) basi kuna maisha mengi sana ya aina nyingi na kwakuwa yanaweza kuanza kwa muda tofauti basi kuna maisha yaliyoendelea sana na kuna yanayoanza.

Information hizi pia zitatengua kitendawili cha kiunzi cha uhai kwa sehemu moja, ambacho kwa sasa kwa kutokuwa na ushahidi wa wazi au uhahika wa 2nd L, ni vigumu kujua kama sisi kama part ya uhai tulishakipita, hatujakipita? (kiko mbele yetu)...kipo? au hakipo?

Hata leo hii SETI wakipata valid signals from space, hawatotangaza kwa jumuia right away. Wenzetu wameshaandaa protocol za kufuata kama wakipata kujua hii kitu na hakika inaweza kuchukua miaka kwa watu wa kawaida kutangaziwa baada ya mlolongo mrefu wa kujiridhisha kuhusu "signals" hizo na mapokeo ya jumuia ya binadamu dunia nzima.

Haya niliyogusia naweza nikakueleza kwa undani wala hayafichwi.
Aiseee
 
Mkuu kwa kuwa umeuliza mtazamo wangu binafsi kuhusu vyote vilivyopo (nadhani universe kwa ujumla wake) ni wazi mimi nasimamia kwenye nguvu zaidi ya universe ndio iliyo nyuma ya kila kitu kilichopo ila sina asilimia maana hakuna utafiti niliousoma wenye maudhui ya asilimia katika hili.
Mkuu Monstgala ni kwa nini ule uzi wako wa ukweli wa kustaajabisha kuhusu nyota za angani ulifungiwa kuchangiwa? Nimetoka kujikumbusha muda si mrefu zile nondo hatari tupu.
 
Wakuu,


Nimepata maswali mengi sana kuhusu dhana ya viumbe anga za mbali. Baadhi nitayajibu hapa kadri ya uwezo wangu.


Utata:


Wana-anga na wanasayansi wamekuwa wakiangalia mienendo ya nyota, sayari, miezi na vitu vingine vilivyoko mbali nasi(outer space) na hata jirani na Dunia yetu au katika ya mfumo wa Jua (Solar system) ili kuhakiki kama kuna maisha kwa sasa, au kuliwahi kuwa na maisha kabla. Baadhi, kwa mazingira zilizonayo maisha tuyajuayo hayawezi kutokea, hamna hewa, hamna ardhi , joto ni kubwa sana au dogo kabisa etc. Lakini pia baadhi ya sayari na miezi (moons) zina ardhi, atmosphere, na aina fulani ya kiwango cha hewa ingawa si sawa na uwiano sawia na ule wa Dunia.


Mbali na kuangalia sayari pia kuna utafiti wa ku-trace signals from outer space kama SETI na science institutions nyingine zile za wazi na za siri wanavyofanya na sasa ni muda mrefu utafiti wa aina hii unaendelea. SETI wanabase katika Drake's equation kutambua ni nini kinahitajika katika kujua maisha katika anga za mbali. Mbinu nyinginezo nyingi zinatumika kutafuta alama au ishara fulani ambazo zinaweza kuwa ni either mawasiliano ya viumbe hawa wenyewe kwa wenyewe au labda pia wao kama wanatafuta kujua kama kuna wengineo kama jinsi sisi tunavyodhani.


Msingi


Na kama tujuavyo ni ukweli usio na shaka kwamba kuna nyota nyingi sana zinazofanana na jua letu katika maeneo mengine ya mbali sana kutoka sisi tulipo katika universe. Wanasayansi wanasema nyota zinazofanana na Jua letu ni kati ya asilimia tano hadi ishirini (5% - 20%) ya nyota zote katika Universe tunayoweza kuiona (observable universe). Hili neno la universe tunayoweza kuiona lina maana kwamba pale tusipoona basi kuna uwezekano universe inaendelea au kunavitu vingine tusivyovijua lakini makadirio yanayofanyika ni ya ulimwengu tunaoweza kuuona.


Sasa ukumbuke katika mada ile ya Ukweli wa kustaajabisha kuhusu Nyota, nilisema nyota zinakadiriwa kuwa sextillion 100 au zaidi katika ulimwengu tunaoweza kuuona sasa tukisema mfano tuchukue tu asilimia 5 yake, basi tutakuwa tunaongelea nyota bilioni-bilioni 500 zinafanana kimazingira (joto, ukubwa, umri, aina, uwepo wa sayari) na Jua.


Kwa hiyo basi kama kuna nyota zinazoshabihiana na Jua, na pia zina sayari zinazozizunguka tena baadhi ya sayari zina mazingira kama ya Dunia. Kwa probability na scientific evidence, sayari zinazofanana na jua ni lukuki hii inafanya pia uwezekano wa kuwepo Earth-like planet au sayari zifananazo na Dunia kuwa mkubwa. Kama kuna sayari nyingi zenye ardhi na zenye mazingira yanayofanana na dunia basi inakaribisha zaidi dhana ya kuwepo uhai sehemu nyingine katika ulimwengu.


Cha kushangaza:


Hamna ushahidi uliotangazwa "wazi" kuhusu kuonekana kwa viumbe wengine/uhai so far kutoka kwa institutions hizi, serikali za nchi au mamlaka nyinginezo. Lakini theoretical views, scientific projections, personal claims, and philosophical reviews zinaleta information nyingi tofauti kuhusu possible intelligent beings out there.


Wanaofikiri kuhusu dhana ya viumbe vingine nje ya sayari yetu hawatarajii sana kuwepo na binadamu wanaofanana na sisi, viumbe wa kawaida au uhai kama tunavyoujua. Ingawa hilo linawezekana lakini kumbuka kisayansi mazingira yanachangia sana mwonekano au matokeo ya viumbe. Kama mazingira yakiwa tofauti kidogo basi matokeo ya maisha au viumbe yatafuata mkondo. Hili tunaliona hata katika viumbe wa kawaida wa duniani jinsi wanavyokuwa na vigezo vinavyoendana na wao kumudu mazingira yao. Kwa kuwa hata hizi sayari zinazofanana na dunia haziwezi kuwa na mfanano pacha yani circumstance zile zile basi tusitegemee kukutana na viumbe wanaofanana asilimia mia na sisi. Jinsi kila kitu kinavyoonekana leo hii ni matokeo ya jinsi mazingira yalivyokuwa miaka milioni iliyopita na vivyo hivyo kadri muda unavyoenda.


Kuwa na akili zaidi yetu au kuwa na maendeleo na technology kubwa sana zaidi yetu hili ni wazi na lina sababu zake.

Kwanza kuna uwezekano wa utofauti wa maisha kuanza mapema au baadae hivyo kufanya viumbe wengine kama wapo basi wengine wanaweza kuwa wame-evolve zaidi yetu kwa kuwa na muda mrefu zaidi katika ulimwengu au vice-versa. Kama tukichukua mfano wa dunia yetu (Earth), maisha yanakadiriwa ku-evolve kutoka katika simple form kati ya miaka bilioni 3.5 iliyopita hii ni kutoka kwa evolutionists. Kuna sayari zilizo na muda mrefu zaidi ya dunia na hapa lazima utaona katika hali ya kawaida sisi ndo tunaanza na kuna wengine waliokwisha piga hatua kubwa sana. Na hata tukisema katika sayari nyingine kuna viumbe waliumbwa au walitokea mamilioni ya miaka kabla yetu alafu sasa tujilinganishe nao lazima watakuwa wametuzidi mbali.


Pili, kama kuna viumbe wataweza kufika katika sayari yetu basi hii ina maana technology inayowezesha kusafiri umbali huo si ya kawaida. Kuna umbali mrefu sana kati ya nyota moja na nyingine hasa zile ambazo haziko katika mfumo wa nyota panya au nyota kundi. Hata nyota iliyo jirani yetu si rahisi kuifikia kwa technolojia ya usafiri tuliyonayo sasa.


Kwa kuwa maswali yaliyoulizwa yamekuwa na uwigo tofauti basi ni vyema kuyajibia hapa kwa ujumla wake, pale nipatapo nafasi au mtu mwingine ajuaye achangie.


Karibuni

CC: juve2012 kadoda11 NICOLAX fyddell mtoto wa mjini neo1 Mjuni Lwambo Eiyer CYBERTEQ
Tofauti ya nyota panya na nyota kundi ni nini?
 
Mkuu Mjuni Lwambo, Kwa lugha nyepesi, makadirio ya idadi ya nyota katika ulimwengu wote yamebase kwenye vigezo vya standard za observable universe. Hii ina maana average ya nyota katika galaxi moja [galaxi ziko aina tofauti na size tofauti, ndogo (dwarf galaxies) zinaweza kuwa na maelfu ya nyota kwa kila moja na zile kubwa kabisa (giant elliptical galaxies) zinakuwa na kuanzia trillioni moja mpaka trillioni mia moja kwa kila galaxi], eneo la universe ambalo ni miaka 13.8 bilioni ya mwendo wa mwanga,(Mwanga husafiri kwa mwendo wa kasi kuliko mwendo wa kitu kingine chochote tunachokijua. Kwa mfano katika sekunde moja mwanga unasafiri umbali wa kuzunguka dunia mara saba.) kadirio la idadi ya galaxi ambazo ni zaidi ya bilioni 100 na kwa makadirio ya karibuni ni galaxi 170 bilioni katika observable universe.

Kwa lugha ngumu itabidi niweke calculations za wataalam hao jinsi walivyokokotoa hizi approximation. Sijui hii inatosha?

NB:Lakini pia inawezekana universe ni kubwa maradufu ya hiyo tunayoweza kupima au pia inawezekana haina ukomo (infinite).
Duuh, sipati picha wa universe kuna nini je ni infinity au tupo ndani ya universe if ndani huko nje kuna nini na mwisho ni wapi?
 
Duuh, sipati picha wa universe kuna nini je ni infinity au tupo ndani ya universe if ndani huko nje kuna nini na mwisho ni wapi?
Sisi tupo ndani ya universe na Kuna possibility yakuwepo multi universes Kwa maelezo ya wataalamu wanasema hizo universes zinaendelea kuexpand.😄
 
Wakuu,


Nimepata maswali mengi sana kuhusu dhana ya viumbe anga za mbali. Baadhi nitayajibu hapa kadri ya uwezo wangu.


Utata:


Wana-anga na wanasayansi wamekuwa wakiangalia mienendo ya nyota, sayari, miezi na vitu vingine vilivyoko mbali nasi(outer space) na hata jirani na Dunia yetu au katika ya mfumo wa Jua (Solar system) ili kuhakiki kama kuna maisha kwa sasa, au kuliwahi kuwa na maisha kabla. Baadhi, kwa mazingira zilizonayo maisha tuyajuayo hayawezi kutokea, hamna hewa, hamna ardhi , joto ni kubwa sana au dogo kabisa etc. Lakini pia baadhi ya sayari na miezi (moons) zina ardhi, atmosphere, na aina fulani ya kiwango cha hewa ingawa si sawa na uwiano sawia na ule wa Dunia.


Mbali na kuangalia sayari pia kuna utafiti wa ku-trace signals from outer space kama SETI na science institutions nyingine zile za wazi na za siri wanavyofanya na sasa ni muda mrefu utafiti wa aina hii unaendelea. SETI wanabase katika Drake's equation kutambua ni nini kinahitajika katika kujua maisha katika anga za mbali. Mbinu nyinginezo nyingi zinatumika kutafuta alama au ishara fulani ambazo zinaweza kuwa ni either mawasiliano ya viumbe hawa wenyewe kwa wenyewe au labda pia wao kama wanatafuta kujua kama kuna wengineo kama jinsi sisi tunavyodhani.


Msingi


Na kama tujuavyo ni ukweli usio na shaka kwamba kuna nyota nyingi sana zinazofanana na jua letu katika maeneo mengine ya mbali sana kutoka sisi tulipo katika universe. Wanasayansi wanasema nyota zinazofanana na Jua letu ni kati ya asilimia tano hadi ishirini (5% - 20%) ya nyota zote katika Universe tunayoweza kuiona (observable universe). Hili neno la universe tunayoweza kuiona lina maana kwamba pale tusipoona basi kuna uwezekano universe inaendelea au kunavitu vingine tusivyovijua lakini makadirio yanayofanyika ni ya ulimwengu tunaoweza kuuona.


Sasa ukumbuke katika mada ile ya Ukweli wa kustaajabisha kuhusu Nyota, nilisema nyota zinakadiriwa kuwa sextillion 100 au zaidi katika ulimwengu tunaoweza kuuona sasa tukisema mfano tuchukue tu asilimia 5 yake, basi tutakuwa tunaongelea nyota bilioni-bilioni 500 zinafanana kimazingira (joto, ukubwa, umri, aina, uwepo wa sayari) na Jua.


Kwa hiyo basi kama kuna nyota zinazoshabihiana na Jua, na pia zina sayari zinazozizunguka tena baadhi ya sayari zina mazingira kama ya Dunia. Kwa probability na scientific evidence, sayari zinazofanana na jua ni lukuki hii inafanya pia uwezekano wa kuwepo Earth-like planet au sayari zifananazo na Dunia kuwa mkubwa. Kama kuna sayari nyingi zenye ardhi na zenye mazingira yanayofanana na dunia basi inakaribisha zaidi dhana ya kuwepo uhai sehemu nyingine katika ulimwengu.


Cha kushangaza:


Hamna ushahidi uliotangazwa "wazi" kuhusu kuonekana kwa viumbe wengine/uhai so far kutoka kwa institutions hizi, serikali za nchi au mamlaka nyinginezo. Lakini theoretical views, scientific projections, personal claims, and philosophical reviews zinaleta information nyingi tofauti kuhusu possible intelligent beings out there.


Wanaofikiri kuhusu dhana ya viumbe vingine nje ya sayari yetu hawatarajii sana kuwepo na binadamu wanaofanana na sisi, viumbe wa kawaida au uhai kama tunavyoujua. Ingawa hilo linawezekana lakini kumbuka kisayansi mazingira yanachangia sana mwonekano au matokeo ya viumbe. Kama mazingira yakiwa tofauti kidogo basi matokeo ya maisha au viumbe yatafuata mkondo. Hili tunaliona hata katika viumbe wa kawaida wa duniani jinsi wanavyokuwa na vigezo vinavyoendana na wao kumudu mazingira yao. Kwa kuwa hata hizi sayari zinazofanana na dunia haziwezi kuwa na mfanano pacha yani circumstance zile zile basi tusitegemee kukutana na viumbe wanaofanana asilimia mia na sisi. Jinsi kila kitu kinavyoonekana leo hii ni matokeo ya jinsi mazingira yalivyokuwa miaka milioni iliyopita na vivyo hivyo kadri muda unavyoenda.


Kuwa na akili zaidi yetu au kuwa na maendeleo na technology kubwa sana zaidi yetu hili ni wazi na lina sababu zake.

Kwanza kuna uwezekano wa utofauti wa maisha kuanza mapema au baadae hivyo kufanya viumbe wengine kama wapo basi wengine wanaweza kuwa wame-evolve zaidi yetu kwa kuwa na muda mrefu zaidi katika ulimwengu au vice-versa. Kama tukichukua mfano wa dunia yetu (Earth), maisha yanakadiriwa ku-evolve kutoka katika simple form kati ya miaka bilioni 3.5 iliyopita hii ni kutoka kwa evolutionists. Kuna sayari zilizo na muda mrefu zaidi ya dunia na hapa lazima utaona katika hali ya kawaida sisi ndo tunaanza na kuna wengine waliokwisha piga hatua kubwa sana. Na hata tukisema katika sayari nyingine kuna viumbe waliumbwa au walitokea mamilioni ya miaka kabla yetu alafu sasa tujilinganishe nao lazima watakuwa wametuzidi mbali.


Pili, kama kuna viumbe wataweza kufika katika sayari yetu basi hii ina maana technology inayowezesha kusafiri umbali huo si ya kawaida. Kuna umbali mrefu sana kati ya nyota moja na nyingine hasa zile ambazo haziko katika mfumo wa nyota panya au nyota kundi. Hata nyota iliyo jirani yetu si rahisi kuifikia kwa technolojia ya usafiri tuliyonayo sasa.


Kwa kuwa maswali yaliyoulizwa yamekuwa na uwigo tofauti basi ni vyema kuyajibia hapa kwa ujumla wake, pale nipatapo nafasi au mtu mwingine ajuaye achangie.


Karibuni

CC: juve2012 kadoda11 NICOLAX fyddell mtoto wa mjini neo1 Mjuni Lwambo Eiyer CYBERTEQ
Dah! Sijajutia kufungua na kusoma huu uzi japo ni mfuatiliaji wa karibu wa hizi vitu njmejikuta na enjoy tu kusoma

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Daaaaaaah mkuu Monstgala/Mgalanjuka nimefurahi kuiona hii post hapa jukwaani nilikua naisubiri sana,
Mkuu umesema kuna institution ambazo ziko open na ambazo ziko secretly kidogo but all of them deal with possible intellince which are far from us, sasa kwanini institution zingine zinafichwa fichwa, au kuna maslahi kwenye hizi mambo???
Tuanzie hapo mkuu

.made in mby city.
Hizo institute japo zipo za open na zipo za secret naamini zote zinafahamiana na kufanya kazi kwa ukaribu tu, na hata hizo za open wakigundua kitu, ni lazima washirikishe hizi institute za siri na wao ndio waamue kipi kiwe wazi na jumuia na kipi kiwe pending na kipi sio cha kusema kabisa! Kifupi hizo institute za wazi ni zipo ku link taharifa chache sana kwa jamii tena ambazo hazina maslahi nao, ila kama kuna taharifa wanayoona ina maslahi kwao hawatoi, mpaka waifanyie kazi na wajiridhishe na waone ni sawa au si sawa ku link kwetu

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu,


Nimepata maswali mengi sana kuhusu dhana ya viumbe anga za mbali. Baadhi nitayajibu hapa kadri ya uwezo wangu.


Utata:


Wana-anga na wanasayansi wamekuwa wakiangalia mienendo ya nyota, sayari, miezi na vitu vingine vilivyoko mbali nasi(outer space) na hata jirani na Dunia yetu au katika ya mfumo wa Jua (Solar system) ili kuhakiki kama kuna maisha kwa sasa, au kuliwahi kuwa na maisha kabla. Baadhi, kwa mazingira zilizonayo maisha tuyajuayo hayawezi kutokea, hamna hewa, hamna ardhi , joto ni kubwa sana au dogo kabisa etc. Lakini pia baadhi ya sayari na miezi (moons) zina ardhi, atmosphere, na aina fulani ya kiwango cha hewa ingawa si sawa na uwiano sawia na ule wa Dunia.


Mbali na kuangalia sayari pia kuna utafiti wa ku-trace signals from outer space kama SETI na science institutions nyingine zile za wazi na za siri wanavyofanya na sasa ni muda mrefu utafiti wa aina hii unaendelea. SETI wanabase katika Drake's equation kutambua ni nini kinahitajika katika kujua maisha katika anga za mbali. Mbinu nyinginezo nyingi zinatumika kutafuta alama au ishara fulani ambazo zinaweza kuwa ni either mawasiliano ya viumbe hawa wenyewe kwa wenyewe au labda pia wao kama wanatafuta kujua kama kuna wengineo kama jinsi sisi tunavyodhani.


Msingi


Na kama tujuavyo ni ukweli usio na shaka kwamba kuna nyota nyingi sana zinazofanana na jua letu katika maeneo mengine ya mbali sana kutoka sisi tulipo katika universe. Wanasayansi wanasema nyota zinazofanana na Jua letu ni kati ya asilimia tano hadi ishirini (5% - 20%) ya nyota zote katika Universe tunayoweza kuiona (observable universe). Hili neno la universe tunayoweza kuiona lina maana kwamba pale tusipoona basi kuna uwezekano universe inaendelea au kunavitu vingine tusivyovijua lakini makadirio yanayofanyika ni ya ulimwengu tunaoweza kuuona.


Sasa ukumbuke katika mada ile ya Ukweli wa kustaajabisha kuhusu Nyota, nilisema nyota zinakadiriwa kuwa sextillion 100 au zaidi katika ulimwengu tunaoweza kuuona sasa tukisema mfano tuchukue tu asilimia 5 yake, basi tutakuwa tunaongelea nyota bilioni-bilioni 500 zinafanana kimazingira (joto, ukubwa, umri, aina, uwepo wa sayari) na Jua.


Kwa hiyo basi kama kuna nyota zinazoshabihiana na Jua, na pia zina sayari zinazozizunguka tena baadhi ya sayari zina mazingira kama ya Dunia. Kwa probability na scientific evidence, sayari zinazofanana na jua ni lukuki hii inafanya pia uwezekano wa kuwepo Earth-like planet au sayari zifananazo na Dunia kuwa mkubwa. Kama kuna sayari nyingi zenye ardhi na zenye mazingira yanayofanana na dunia basi inakaribisha zaidi dhana ya kuwepo uhai sehemu nyingine katika ulimwengu.


Cha kushangaza:


Hamna ushahidi uliotangazwa "wazi" kuhusu kuonekana kwa viumbe wengine/uhai so far kutoka kwa institutions hizi, serikali za nchi au mamlaka nyinginezo. Lakini theoretical views, scientific projections, personal claims, and philosophical reviews zinaleta information nyingi tofauti kuhusu possible intelligent beings out there.


Wanaofikiri kuhusu dhana ya viumbe vingine nje ya sayari yetu hawatarajii sana kuwepo na binadamu wanaofanana na sisi, viumbe wa kawaida au uhai kama tunavyoujua. Ingawa hilo linawezekana lakini kumbuka kisayansi mazingira yanachangia sana mwonekano au matokeo ya viumbe. Kama mazingira yakiwa tofauti kidogo basi matokeo ya maisha au viumbe yatafuata mkondo. Hili tunaliona hata katika viumbe wa kawaida wa duniani jinsi wanavyokuwa na vigezo vinavyoendana na wao kumudu mazingira yao. Kwa kuwa hata hizi sayari zinazofanana na dunia haziwezi kuwa na mfanano pacha yani circumstance zile zile basi tusitegemee kukutana na viumbe wanaofanana asilimia mia na sisi. Jinsi kila kitu kinavyoonekana leo hii ni matokeo ya jinsi mazingira yalivyokuwa miaka milioni iliyopita na vivyo hivyo kadri muda unavyoenda.


Kuwa na akili zaidi yetu au kuwa na maendeleo na technology kubwa sana zaidi yetu hili ni wazi na lina sababu zake.

Kwanza kuna uwezekano wa utofauti wa maisha kuanza mapema au baadae hivyo kufanya viumbe wengine kama wapo basi wengine wanaweza kuwa wame-evolve zaidi yetu kwa kuwa na muda mrefu zaidi katika ulimwengu au vice-versa. Kama tukichukua mfano wa dunia yetu (Earth), maisha yanakadiriwa ku-evolve kutoka katika simple form kati ya miaka bilioni 3.5 iliyopita hii ni kutoka kwa evolutionists. Kuna sayari zilizo na muda mrefu zaidi ya dunia na hapa lazima utaona katika hali ya kawaida sisi ndo tunaanza na kuna wengine waliokwisha piga hatua kubwa sana. Na hata tukisema katika sayari nyingine kuna viumbe waliumbwa au walitokea mamilioni ya miaka kabla yetu alafu sasa tujilinganishe nao lazima watakuwa wametuzidi mbali.


Pili, kama kuna viumbe wataweza kufika katika sayari yetu basi hii ina maana technology inayowezesha kusafiri umbali huo si ya kawaida. Kuna umbali mrefu sana kati ya nyota moja na nyingine hasa zile ambazo haziko katika mfumo wa nyota panya au nyota kundi. Hata nyota iliyo jirani yetu si rahisi kuifikia kwa technolojia ya usafiri tuliyonayo sasa.


Kwa kuwa maswali yaliyoulizwa yamekuwa na uwigo tofauti basi ni vyema kuyajibia hapa kwa ujumla wake, pale nipatapo nafasi au mtu mwingine ajuaye achangie.


Karibuni

CC: juve2012 kadoda11 NICOLAX fyddell mtoto wa mjini neo1 Mjuni Lwambo Eiyer CYBERTEQ

Japan Air Lines Cargo Flight 1628 incident​










Japan Air Lines Cargo Flight 1628 incident

Japan Air Lines Cargo Flight 1628 was a UFO incident that occurred on November 17, 1986, involving a Japanese Boeing 747-200F cargo aircraft. The aircraft was en route from Paris to Narita International Airport, near Tokyo,[2] with a cargo of Beaujolais wine.[3] On the Reykjavík to Anchorage section of the flight, at 17:11 over eastern Alaska, the crew first witnessed two unidentified objects to their left. These abruptly rose from below and closed in to escort their aircraft. Each had two rectangular arrays of what appeared to be glowing nozzles or thrusters, though their bodies remained obscured by darkness. When closest, the aircraft's cabin was lit up and the captain could feel their heat on his face. These two craft departed before a third, much larger disk-shaped object started trailing them.[4] Anchorage Air Traffic Control requested an oncoming United Airlines flight to confirm the unidentified traffic, but when it and a military craft sighted JAL 1628 at about 17:51, no other craft could be distinguished.[4] The sighting lasted 50 minutes[5] and ended in the vicinity of Denali.[6][7]

Observation
On November 17, 1986, the Japanese crew of a JAL Boeing 747 cargo freighter witnessed three unidentified objects after sunset while flying over eastern Alaska. The objects seemed to prefer the cover of darkness to their left, and to avoid the brighter skies to their right.[8] At least the first two of the objects were observed by all three crew members: Captain Kenju Terauchi (寺内謙寿, Terauchi Kenju), an ex-fighter pilot with more than 10,000 hours flight experience,[2] in the cockpit's left-hand seat; co-pilot Takanori Tamefuji (為藤隆憲, Tamefuji Takanori) in the right-hand seat; and flight engineer Yoshio Tsukuda (佃善雄, Tsukuda Yoshio).[9]

The routine cargo flight entered Alaska on auto-pilot, cruising at 565 mph (491 kn; 909 km/h) at an altitude of 35,000 feet (11,000 m).[6] At 17:09, the Anchorage ATC advised a new heading towards Talkeetna, Alaska.

Two objects
Illustration of the first two objects, based on Captain Terauchi's drawings and descriptions. They were "shooting off lights", were square in shape and some 500 to 1,000 feet in front of the cockpit, but somewhat higher in altitude.

As soon as JAL 1628 straightened out of its turn, at 17:11, Captain Terauchi noticed two craft to his far left, and some 2,000 ft (610 m) below his altitude, which he assumed to be military aircraft. These were pacing his flight path and speed.[8] At 17:18 or 17:19 the two objects abruptly veered to a position about 500 ft (150 m) or 1,000 ft (300 m) in front of the aircraft, assuming a stacked configuration.

In doing so they activated "a kind of reverse thrust, and [their] lights became dazzlingly bright".[2] To match the speed of the aircraft from their sideways approach, the objects displayed what Terauchi described as a disregard for inertia: "The thing was flying as if there was no such thing as gravity. It sped up, then stopped, then flew at our speed, in our direction, so that to us it [appeared to be] standing still. The next instant it changed course. ... In other words, the flying object had overcome gravity."[2] The "reverse thrust" caused a bright flare for three to seven seconds,[8] to the extent that captain Terauchi could feel the warmth of their glows. At 17:19:15 the pilots notified air-traffic control, which could not confirm any traffic in the indicated position. After three to five minutes the objects assumed a side-to-side configuration, which they maintained for another 10 minutes. They accompanied the aircraft with an undulating motion, and some back and forth rotation of the jet nozzles, which seemed to be under automatic control,[8] causing them to flare with brighter or duller luminosity.

Each object had a square shape, consisting of two rectangular arrays of what appeared to be glowing nozzles or thrusters, separated by a dark central section. Captain Terauchi speculated in his drawings, that the objects would appear cylindrical[6] if viewed from another angle, and that the observed movement of the nozzles could be ascribed to the cylinders' rotation. The objects left abruptly at about 17:23:13, moving to a point below the horizon to the east.[8]

Third object
Illustration of the third object described by Captain Terauchi, sometimes referred to as the "mothership", trailing the port side of the Boeing 747 cargo freighter of Japan Air Lines.

Where the first objects disappeared, Captain Terauchi now noticed a pale band of light that mirrored their altitude, speed and direction.[4] Setting their onboard radar scope to a 25 nautical miles (46 km) range, he confirmed an object in the expected 10 o'clock direction at about 7.5 nmi (13.9 km) distance,[5] and informed ATC of its presence. Anchorage found nothing on their radar, but Elmendorf's NORAD Regional Operations Control Center (ROCC), directly in his flight path, reported a "surge primary return" after some minutes.[4]

As the city lights of Fairbanks began to illuminate the object, captain Terauchi believed to perceive the outline of a gigantic spaceship on his port side that was "twice the size of an aircraft carrier". It was, however, outside first officer Tamefuji's field of view.[12] The object followed "in formation", or in the same relative position throughout the 45 degree turn, a descent from 35,000 to 31,000 feet (10,700 to 9,400 m), and a 360 degree turn.[inconsistent][13] The short-range radar at Fairbanks airport failed, however, to register the object.[4]

Anchorage ATC offered military intervention, which was declined by the pilot, due to his knowledge of the Mantell incident.[5] The object was not noted by either of two planes which approached JAL 1628 to confirm its presence, by which time JAL 1628 had also lost sight of it. JAL 1628 arrived safely in Anchorage at 18:20.

Aftermath
Captain Terauchi cited in the official Federal Aviation Administration report that the object was a UFO. In December 1986, Terauchi gave an interview to two Kyodo News journalists. JAL soon grounded him for talking to the press and moved him to a desk job. He was reinstated as a pilot several years later, and retired eventually in the north Kanto, Japan.[2]

Kyodo News contacted Paul Steucke, the FAA public information officer in Anchorage on December 24, and received confirmation of the incident, followed by UPI on the 29th.[13][14] The FAA's Alaskan Region consulted John Callahan,[note 4] the FAA Division Chief of the Accidents and Investigations branch, as they wanted to know what to tell the media about the UFO.[15] John Callahan was unaware of any such incident, considering it a likely early flight of a stealth bomber, then in development. He asked the Alaskan Region to forward the relevant data to their technical center in Atlantic City, New Jersey, where he and his superior played back the radar data and tied it in with the voice tapes by videotaping the concurrent playbacks.[15]

A day later at FAA headquarters, they briefed Vice Admiral Donald D. Engen, who watched the whole video of over half an hour, and asked them not to talk to anybody until they were given the OK, and to prepare an encompassing presentation of the data for a group of government officials the next day.[16] The meeting was attended by representatives of the FBI, CIA and President Reagan's Scientific Study Team, among others. Upon completion of the presentation, all present were told that the incident was secret and that their meeting "never took place". According to Callahan, the officials considered the data to represent the first instance of recorded radar data on a UFO, and they took possession of all the presented data.[15] John Callahan however managed to retain the original video, the pilot's report and the FAA's first report in his office.[16] The forgotten target print-outs of the computer data were also rediscovered, from which all targets can be reproduced that were in the sky at the time.[15]

After a three-month investigation, the FAA formally released their results at a press conference held on March 5, 1987. Here Paul Steucke retracted earlier FAA suggestions that their controllers confirmed a UFO,[13] and ascribed it to a "split radar image" which appeared with unfortunate timing. He clarified that "the FAA [did] not have enough material to confirm that something was there", and though they were "accepting the descriptions by the crew" they were "unable to support what they saw".[12] The McGrath incident was revealed here amongst the ample set of documents supplied to the journalists.

The sighting received special attention from the media,[17] as a supposed instance of the tracking of UFOs on both ground[13] and airborne radar, while being observed by experienced airline pilots, with subsequent confirmation by an FAA Division Chief.

Skeptical reactions
UFO researcher Philip J. Klass investigated the incident and wrote in his book The UFO Invasion that:

"The FAA [information] reveals Terauchi to be a “UFO repeater,” with two other UFO sightings prior to November 17, and two more this past January, which normally raises a “caution flag” for experienced UFO investigators. The JAL pilot is convinced that UFOs are extraterrestrial and when describing the light(s) Terauchi often used the term spaceship or mothership"
— Philip J. Klass, The UFO Invasion (1997)[18]

According to UFO skeptic Robert Sheaffer, "[t]he bottom line is, Terauchi’s own flight crew saw only 'lights,' and other aircraft checking out the situation saw nothing unusual."[18]

Subsequent Alaskan sightings
Alaska Airlines Flight 53 incident
On 29 January 1987[12][note 5] at 18:40,[19] Alaska Airlines Flight 53 observed a fast moving object on their onboard weather radar. While at 35,000 ft (11,000 m), some 60 miles (97 km) west of McGrath, on a flight from Nome to Anchorage, the radar registered a strong target in their 12 o'clock position, at 25 miles (40 km) range.

While they could not distinguish any object or light visually, they noticed that the radar object was increasing its distance at a very high rate. With every sweep of their radar, about 1 second apart, the object added five miles to its distance, translating to a speed of 18,000 mph (29,000 km/h).[19][20] The pilot however relayed a speed of 'a mile a second' to the control tower, or a speed of 3,600 mph (5,800 km/h),[21] but confirmed that the target exceeded both the 50 mi (80 km) and 100 mi (160 km) ranges of their radar scope in a matter of seconds.[19][20] The object was outside the radar range of the Anchorage ARTCC,[19] and additional radar data covering the specified time and location failed to substantiate the pilots' claim.[20]

KC-135 observation
A US Air Force KC-135 jet flying from Anchorage to Fairbanks once again observed a very large, disk-shaped object on January 30, 1987. The pilot reported that the object was 12 m (40 ft) from the aircraft. The object then disappeared out of sight.
Excerpts of communication with Anchorage ATC Center[22]

In popular culture
The incident was described on an episode of the documentary series The Unexplained Files, broadcast on Science Channel on 23 September 2014.[23]
 
Mkuu kadoda11 Uko ndani ya mada. Ndio kuna tafiti nyingi kuhusu uwezekano wa kuwepo maisha nje ya dunia yetu, nyingi sana. Kuna zile za wazi kabisa na kuna zile ambazo ziko chini ya mamlaka fulani na hivyo mwenendo na ripoti zake si za umma na hazitotewi kwa watu wala machapisho yake hayaendi kuwa published kwenye science journals. Kuna sababu zao. Kuhusu kushirikiana na Aliens kwa kweli hili halipo.

Pamoja na uwezekano mkubwa wa kuwepo aina za maisha huko katika sehemu tofauti za regions za universe au hata katika galaxi yetu hii ya MilkyWay bado kuna vitendawili vizito sana kuhusu swala hili. Vitendawili hivi vitapata step moja ya kutatuliwa pale chochote kuhusu kuwepo kwa aina ya maisha sehemu nyingine ya nje ya sayari yetu. Iwe mabaki ya uhai, uhai katika simple form au sign za mawasiliano au mwonekano halisi wa viumbe hawa basi kila kitu kitabadilika katika maswali makuu magumu waliyonayo binadamu. Impact yake ni kubwa sana na ingawa jamii itachelewa kujua pale itakapothibitika lakini mwisho tutajua tu na tutaandaliwa sana kabla ya kuambiwa.

Hatuna ushirikiano na Aliens na hawajafika kwetu.

Kwa nini?

Technolojia tuliyonayo ni primitive kabisa kama wataalamu wanavyoweza kukadiria kiumbe aliyeendelea zaidi kwa miaka milioni mia tano zaidi ya tulipo sasa. Kama unavyoona sisi bado hatujaweza hata kwenda sayari jirani ingawa tumefikia hatua ya kutuma vyombo tu. Kama tungekuwa tunashirikiana na kiumbe/viumbe waliotoka nje ya dunia lazima watakuwa wametoka kwenye mfumo mwingine wa nyota [solar system is not likely]. Viumbe wanaotoka kwenye mfumo mwingine wa nyota technologia yao lazima iwe ya hali ya juu sana maana umbali uliopo kati ya mfumo wa nyota moja na nyingine ni balaa. Chombo cha kawaida hakifiki kwa sayansi tuliyonayo sasa. Hivyo basi technolojia yao lazima ingekuwa kubwa kiasi kwamba hatuwezi kuvuka hilo gap la uelewa na hatuwezi kushirikiana wala kuitumia. Ni sawa na kumpa nyani laptop awasiliane na mwenzie.

Kutokana na nature ya maisha kama kuna Possible Intelligent beings hawawezi kuwa marafiki tu kirahisi kwamba waje duniani waanze kutufundisha uelewa wao labda iwapo watafaidika kwa jambo hilo. Asili ya viumbe ni kushindana either ni kimoja kimoja au jamii kwa jamii. Kama kuna ushirikiano basi ni kwa faida ya fulani. Wakiingia intelligent beings lazima tutakuwa watumwa au tutawakamata wawe watumwa lakini ushirikiano haupewi nafasi na wataalam wa mambo haya.
Hapa nimeelewa vizuri kabisa
JamiiForums1248813803.jpg


Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Nimekupata mkuu Monstgala/Mgalanjuka
Mkuu kuna ukweli usiopingika ulimwenguni kote kuwa "we think different"
Sasa mkuu inawezekana law za physics tunazo apply katika maisha ya kila siku zikawa tofauti kabisa na law zitumiwazo na viumbe waishio anga za mbali?
Nimeuliza hivi kwa sababu sina uhakika kama kuna akina NEWTON, EINSTEIN, GALILEO, DA VINCI n.k. Huko space
Inawezekana wapo lakini wakawa na maBONGO yenye nguvu sana, tatizo linaloniletea mkanganyiko ni juu ya sheria za kifizikia kua au kutokua sawa

.made in mby city.
Umewaza mbali sana mkuu!

Tangu nimeanza kufuatilia haya mambo, sijawahi kuona mtu yoyote kua na swali kama hili

Hivi mpaka leo hakunaga fomular nyingine mpya za ki physics au mathematics zisizo fuata misingi ya au kutoa majibu bila kufuata au kutegemea zile za zamani!!?

Pia nimewahi ona mahala mjadala wa madini, kua aina za madini yanayopatikana hapa duniani hayatoshelezi kuweza kufanya yanayo fikiria.

mfano: madini ambayo yatahimili dhoruba na mazingira ya chombo kitakacho safari mwendo mkali kuliko hivi vyombo vya sasa n.k

Pia almasi na dhahabu zina kazi zaidi ya tunazo zijua na zinaweza kufanya mambo mengi ambayo hatujui tunazitumiaje ilizifanye hivyo " kama kuna mtu mwenye uelewa zaidi atu boost kidogo "

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom