Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,730
- 536
Willie JM, umenishangaza sana unapoelekea kuunga mkono hoja ya kuongeza posho kwa Wabunge.
Mbunge yeyote, wa Chama chochote ambaye kwa mwaka mmoja ana hakika ya kuishi Dodoma kwa miezi minne kwa mwaka na miaka karibu miwili ndani ya miaka mitano na kila anapohudhuria Mikutano ya Bunge anakaa Hotelini kwa miezi hiyo minne kwa mwaka, NATUHUBUTU KUSEMA Mbunge huyo atakuwa na matatizo ya akili na hana hadhi ya kuwa Mbunge.
Mbunge yeyote, wa Chama chochote ambaye kwa mwaka mmoja ana hakika ya kuishi Dodoma kwa miezi minne kwa mwaka na miaka karibu miwili ndani ya miaka mitano na kila anapohudhuria Mikutano ya Bunge anakaa Hotelini kwa miezi hiyo minne kwa mwaka, NATUHUBUTU KUSEMA Mbunge huyo atakuwa na matatizo ya akili na hana hadhi ya kuwa Mbunge.