Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Ulikuwa unavaa Suti ya Kizungu, sasa hivi unavaa Kaunda Suti ya Mzee Malecela, kulikoni?
Mtu mlafi siku zote atabaki kuwa mlafi na kuugombania kwa kuutetea ulafi wake kwa kila namna! William- hivi kweli hakuna hotel nzuri za chini ya hapo na zenye usalama zaidi??
Hivi nchi nzima hii watumisi wa serikali wanaofanyaga kazi zao Dodoma ni wabunge tu na wao wanalalamika hivyohivyo?? Mbona wadau wakubwa wa hotel na guest ni wanafunzi( nfano hai Udom) na wanamudu bei ya huduma tena kwa bei mruua t,je hao wabonge wa bunge hawaoni kwingine??
Kama kweli wewe sio mnafiki n a umefanya utafiti kabal ya kukurupuka,tuambie wamiliki wa hiyo Dodoma hotel ni kina nani kama sio hao mafisadi wenzenu wenye mirija ya kufyonza kila kitu?!
ungetetea posho wa waalimu na madaktari plus boom kwa wanafunzi ungeeleweka lakini sio nyie wabunge wapuuzi haswa ccm-eti muongezwe pesa kwa kulala bungeni huku mnamwaga mashuzi,udenda na kusubiri kuzomea msipopigiana meza kwa kutetea uozo,shame upon you fisadis,mazafanta!!
Kaka William hivi hii attitude ya kuwapa wapiga kura pesa ni priority in your thinking??? Ungepata ubunge ungetupa wote wenye shida tukikufuata hapo Arusha mathalani??? Kuna fedha za mfuko wa jimbo.......why not sustainable projects huko majimboni? Kumpa nyavu au samaki mwenye shida ya kitoweo nini bora kwako??? With all due respects.......umekuja hapa kitaani (Tanzania) recently......watu tumesomea chini.....tumepigwa mabomu ya machozi.....wake zetu wamejifungulia hospitali kwa utata na watoto wetu wanasoma kwa mbinde so we know better mkuu......if to speak of reality you would need more than five years to feel the pinch that is within the nerves na kwa kuwa you have a base for the rest of your life huwezi jua ugumu wa maisha watu wanaoongelea na ndo maana huwezi jua kwa nini suala la posho kuongezwa ni kilio cha wananchi wote- Unajua itatuchukua muda mrefu sana kwa mataifa masikini kujifunza kutoka kwa wachina, wao kila sheria zao zinajali mazingara yao zaidi kuliko siasa za kimtaifa, nimetoa hoja kutokana na niliyoyaona na ni kawaida yetu sisi waafrika kwa wananchi kuwafuata wabunge Dodoma kwenye kikao kuwaomba misaada! - Sasa yes, inapotaka kutatua tatizo la posho za wabunge lazima uliangalie hilo cause ni reality, Wabunge wetu pesa tunazo walipa atleast nusu zinaishia kwenye mikono ya wananchi wa majimbo yao, hiyo ni FACT, lakini mimi naongelea niliyoyaona Dodoma as a reality, sio hadithi za mtaani! William.
- Wabunge ni tofauti sana na hao wengine, WAO NI WATUNGA SHERIA! sasa mwenye kutaka sheria mbovu kwa wananchi akiwapa rushwa na kutupitishia sheria mbovu kwa taifa utasema ni sawa na wengine serikalini?
William.
Naomba nikurekebishe TIQO, mkopo wa EAC ni 90,000 USD na sio madafuWabunge wa Afrika Mashariki mshahara Tsh. 17m, posho kwa kikao laki 9, mkopo wa shangingi Tsh.90m
Wewe kweli mtizamo wako ni finyu na wakimagamba. Sisi tunapigania ukombozi wa taifa kwa ujumla ww unaongelea wabunge na kuwabagua wasio wabunge. Kwako ww ni haki wafanyakazi wengine waendelee kupewa posho ndogo wakati wabunge wakineemeshwa.Je hizo gharama za maisha na hadhi ya malazi zinawaathiri tu wabunge? Je kipaumbele cha taifa ni kipi ni kubagua tabaka fulani na kuwaacha wengine? kwann usifikirie tuanze kuwajengea wanafunzi na wanachuo hosteli/mabweni? kujenga wodi na kukarabati vituo vya afya. Ukweli unajidhalilisha kwa kupost mawazo mgando na yasiokubalika kwa jamii ya wastaarabu na wapendao maendeleo. Fikiria kwanza utatuzi wa changamoto kuu na maadui wakuu wa jamii na taifa kwa ujumla na siyo ya tabaka la watawala- Heshima mbele JF, hivi karibuni nilikuwa Dodoma hili la Wabunge na posho limenishitua sana ukizingatia kwamba nilikuwa mmoja wa wananchi waliopinga sana Wabunge kuongezewa posho, there I was in Dodoma, hotel ya hadhi ya wabunge ni Dodoma hotel, bei ya chini sana kwa chumba ni Sh. 65,000 kwa siku; ukienda mtaani ni sh. 50,000 kwa siku, I mean bado wabunge hawajala na ku-deal na wananchi kutoka majimbo yao ambao humiminika kila siku Wabunge wanapokuwa Dodoma, kuwalilia shida za binafsi.William John Samwel Malecela @DSM City!
- Wabunge ni tofauti sana na hao wengine, WAO NI WATUNGA SHERIA! sasa mwenye kutaka sheria mbovu kwa wananchi akiwapa rushwa na kutupitishia sheria mbovu kwa taifa utasema ni sawa na wengine serikalini?
William.
- Heshima mbele JF, hivi karibuni nilikuwa Dodoma hili la Wabunge na posho limenishitua sana ukizingatia kwamba nilikuwa mmoja wa wananchi waliopinga sana Wabunge kuongezewa posho, there I was in Dodoma, hotel ya hadhi ya wabunge ni Dodoma hotel, bei ya chini sana kwa chumba ni Sh. 65,000 kwa siku; ukienda mtaani ni sh. 50,000 kwa siku, I mean bado wabunge hawajala na ku-deal na wananchi kutoka majimbo yao ambao humiminika kila siku Wabunge wanapokuwa Dodoma, kuwalilia shida za binafsi.
- Serikali itafute suluhisho la hili tatizo kwa sababu ni tatizo, tunaawaacha wabunge in an open field ya kupokea rushwa, nimeona Wabunge wengine wakiishi sehemu ambazo ni very dangerous kwa kiongozi wa taifa tunayemtegemea kuishi, halafu unakuta magazeti yakifurahia mbunge apigwa mapanga, mbunge aibiwa, I mean as taifa we have to do something, nchi nyingi Duniani, infact hata Zambia tu Serikali imewajengea Special Hostel wabunge wake kwenye maeneo ya viwanja vya bunge kupunguza hili tatizo la posho, I mean kwa hali niliyoiona hili tatizo halikwepeki ni lazima lizungumzike.
- Nilichojifunza kule Dodoma ni kwamba wengi wa Wabunge waliokuwa wanapinga posho ni wale wenye uwezo mkubwa sana kipesa kwamba hata hawahitaji hiyo posho ya sh. 70,000 kwa siku maana kwao ni peanuts na ni wachache sana, ninasema hii hoja ijadiliwe tena, tunawaweka wabunge wengi pagumu sana kimaishana hata kutuongoza.
William John Samwel Malecela @DSM City!
Willy
Siasa bado hujazijua wewe,inashangaza kuwa unajitahidi kutoa hoja ila zinakosa kichwa kama sio uungwaji mkono.Unatakiwa ujipime kwa hoja zako,humu jf kuna watanzania/member wachache sana ukilinganisha na idadi ya watanzania.Uwe unahesabu ama kujiweka kwenye mizani kupitia hoja zako zenye muonekano na mitazamo yako ya kisiasa kuwa zinakubalika au la!?. ukweli ni kwamba wewe hulijui hilo ndio maana hukujipima na ukaenda kugombea ubunge wa afrika mashariki wakakutosa vile vile.
Jitahidi sana kupunguza jazba na ushabiki watanzania wa leo ni waelewa sana sio humu Jf tu hata huko mitaani,hujakaa kwenye mitaa ukasikia vijana walioko vijiweni wanavyojenga hoja.Ungekuwa unaulewa wa kutosha ungezungumzia Polisi,Walimu,Wauguzi,Madaktari...nk. Kwa nini wewe umekuja kutoka USA moja kwa moja unataka uwe mbunge? kwa nini usilitumikie taifa kwa njia nyingine ukaenda kufanya kazi kule bandarini kwa sababu wewe ni baharia? Unachotaka kutuambia hapa ni kwamba hizo kada nyingine sio special na michango yao kwa jamii ni midogo ukilinganisha na wabunge!!!!
Funguka kaka unapotea sana kama sio kujiaibisha,naamini hata hiyo CCM kamwe haiwezi kukupa uongozi kwa taswira unayozidi kuionyesha kula kukicha kwa jamii.
nilikuwa kikazi Dodoma kwa maswala ya nanenane,ukiwa na 10.000-37000 unapata gest nzuri yenye ulinzi wa kutosha
si lazima walale ktk gest za kitalii,nchi za wenzetu gest hizo huachiwa watu kutoka nje ya nchi walale na hata ukiwa umetoka tanzania ukaenda Taiwan kamwe hawatakuruhusu ukalale ktk gest ya bei ya chini ni lazima wakupe gest ama hotel ya bei ya juu hiyo ni sheria ila wenye nchi hawana shida wanalala hotel za bei ya chini na hata kama utataka kulala hotel ya bei ya juu ni chaguo lako,lakini sheria yao imejikita kwa hao kutoka nje ya nchi
hivyo basi wabunge wetu hawana haja ya kulala ktk mahotel hayo na hata kama wasipo lala hakuna kitakacho pungua,ubunge utabaki palepale na afya pia
william unanichekesha sana
nchi za wenzetu wanakazana kupunguza matumizi wewe unakuja na jibu la kuongeza matumizi
umejionea ufaranza juzi,rais wao kapunguza mshahara wake na mawaziri wake,yote hiyo ni kutaka kuwa na pesa za kuisaidia nchi yao na kipa mikopo tanzania,lakini nchi inayopewa mikopo haitaki kubana matumizi
nadhani hakuna haja ya kugombea ubunge kama mtu anaona pesa haitoshi,je walimu wa shule za msingi nao wasemaje,maana ndio waliozalisha wote hao
"I mean bado wabunge hawajala na ku-deal na wananchi kutoka majimbo yao ambao humiminika kila siku Wabunge wanapokuwa Dodoma, kuwalilia shida za binafsi". W.J, malecela
W.J. Malecela, with due respect, are you proposing that MPs should be paid allowances for such uncalled for expenses. Yaani serikali iwapatie fedha MPs ili wawapatie wapiga kura wao fedha za kula, kutibiwa, kusomesha watoto wao? Ridiculous!!! William, sitakuwa nimekosea nikiisema kwamba unatafuta kura za huruma in future elections. Nashukuru kwamba hukuchaguliwa kwani kwa staili hii ungalipigania maslahi yako binafsi.
Hivi kwa njia hii unatarajia Wtz waendelee? Kwa nini usiishauri serikali iboreshe uchumi wa nchi ili Wtz waweze kujitegemea? Kumbuka utoaji wa huduma bora is a mandatory function of the Govt. Not individual MPs. MPs hulipwa per diem 80,000/=, sitting allowance 70,000/ na usafiri 50,000/= jumla 210,000/ na siyo 70,000/= unayoenesha hapa.
Hapana hapana.
nilikuwa kikazi Dodoma kwa maswala ya nanenane,ukiwa na 10.000-37000 unapata gest nzuri yenye ulinzi wa kutosha
si lazima walale ktk gest za kitalii,nchi za wenzetu gest hizo huachiwa watu kutoka nje ya nchi walale na hata ukiwa umetoka tanzania ukaenda Taiwan kamwe hawatakuruhusu ukalale ktk gest ya bei ya chini ni lazima wakupe gest ama hotel ya bei ya juu hiyo ni sheria ila wenye nchi hawana shida wanalala hotel za bei ya chini na hata kama utataka kulala hotel ya bei ya juu ni chaguo lako,lakini sheria yao imejikita kwa hao kutoka nje ya nchi
hivyo basi wabunge wetu hawana haja ya kulala ktk mahotel hayo na hata kama wasipo lala hakuna kitakacho pungua,ubunge utabaki palepale na afya pia
william unanichekesha sana
nchi za wenzetu wanakazana kupunguza matumizi wewe unakuja na jibu la kuongeza matumizi
umejionea ufaranza juzi,rais wao kapunguza mshahara wake na mawaziri wake,yote hiyo ni kutaka kuwa na pesa za kuisaidia nchi yao na kipa mikopo tanzania,lakini nchi inayopewa mikopo haitaki kubana matumizi
nadhani hakuna haja ya kugombea ubunge kama mtu anaona pesa haitoshi,je walimu wa shule za msingi nao wasemaje,maana ndio waliozalisha wote hao