Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,031
- 132,786
Na mimi pia!.Naunga mkono hoja 100%
Na mimi pia!.Naunga mkono hoja 100%
Ubunge ni utumishi na sin ufalme, kazi hiyo niya kujitolea kutumika sio mahali pa kuneemekea, tatizo tumefanya ubunge kama ufalme ndio maana kila wakati wanajadili maslahi yao badala jinsi ya kuwatumikia wananchi.- Wabunge ni tofauti sana na hao wengine, WAO NI WATUNGA SHERIA! sasa mwenye kutaka sheria mbovu kwa wananchi akiwapa rushwa na kutupitishia sheria mbovu kwa taifa utasema ni sawa na wengine serikalini?
William.
- Heshima mbele JF, hivi karibuni nilikuwa Dodoma hili la Wabunge na posho limenishitua sana ukizingatia kwamba nilikuwa mmoja wa wananchi waliopinga sana Wabunge kuongezewa posho, there I was in Dodoma, hotel ya hadhi ya wabunge ni Dodoma hotel, bei ya chini sana kwa chumba ni Sh. 65,000 kwa siku; ukienda mtaani ni sh. 50,000 kwa siku, I mean bado wabunge hawajala na ku-deal na wananchi kutoka majimbo yao ambao humiminika kila siku Wabunge wanapokuwa Dodoma, kuwalilia shida za binafsi.
- Serikali itafute suluhisho la hili tatizo kwa sababu ni tatizo, tunaawaacha wabunge in an open field ya kupokea rushwa, nimeona Wabunge wengine wakiishi sehemu ambazo ni very dangerous kwa kiongozi wa taifa tunayemtegemea kuishi, halafu unakuta magazeti yakifurahia mbunge apigwa mapanga, mbunge aibiwa, I mean as taifa we have to do something, nchi nyingi Duniani, infact hata Zambia tu Serikali imewajengea Special Hostel wabunge wake kwenye maeneo ya viwanja vya bunge kupunguza hili tatizo la posho, I mean kwa hali niliyoiona hili tatizo halikwepeki ni lazima lizungumzike.
- Nilichojifunza kule Dodoma ni kwamba wengi wa Wabunge waliokuwa wanapinga posho ni wale wenye uwezo mkubwa sana kipesa kwamba hata hawahitaji hiyo posho ya sh. 70,000 kwa siku maana kwao ni peanuts na ni wachache sana, ninasema hii hoja ijadiliwe tena, tunawaweka wabunge wengi pagumu sana kimaishana hata kutuongoza.
William John Samwel Malecela @DSM City!
- .......... ukienda mtaani ni sh. 50,000 kwa siku, I mean bado wabunge hawajala na ku-deal na wananchi kutoka majimbo yao ambao humiminika kila siku Wabunge wanapokuwa Dodoma, kuwalilia shida za binafsi......................
William John Samwel Malecela @DSM City!
siasa za maji taka ili kuwafurahisha wabunge wa ccm....damn idiot....hivi ile safari ya kutembelea vijijini kwenu ugogoni kwenye umaskini uliokithiri ilikusaidia kweli we????..au kwa vile sasa uko dar umeshasahau vijijini kwenu wanaishije wagogo wenzako????????....by the way..hivi we unafanya kazi kweli we???..maana ungekua unafanya kazi na unakatwa kodi usingekuja hapa na haya mashonde.......Angalizo tu kwako: mwenyekiti wako wa chama (JK)alizikataa nyongeza za hizi posho.......sasa we hapa unaongea kwa niaba ya nani???....nani amekutuma?????....unamfanyia nani udalali hapa we????
Ebu kwa kukusaisaidia tu...(maana naona huna kazi ya kukufanya busy we)..nenda pale NIMR kamwombe dada yako Mwela angalau kazi ya udereva....hata ya kumwendesha tu...maana wanasema...'an idle mind(like yours).is a devil's workshop'....very true........
- Europe ukishitakiwa na kesi ya rape, jaji huwa anataka kujua jinsi victim alivyokuwa amevaa kwanza, kama hakuvaa inavyotakiwa unaanchiwa kwamba aliyataka, sasa mbunge akipewa rushwa inatakiwa tujiulize mazingara yakoje?
William.
- Heshima mbele JF, hivi karibuni nilikuwa Dodoma hili la Wabunge na posho limenishitua sana ukizingatia kwamba nilikuwa mmoja wa wananchi waliopinga sana Wabunge kuongezewa posho, there I was in Dodoma, hotel ya hadhi ya wabunge ni Dodoma hotel, bei ya chini sana kwa chumba ni Sh. 65,000 kwa siku; ukienda mtaani ni sh. 50,000 kwa siku, I mean bado wabunge hawajala na ku-deal na wananchi kutoka majimbo yao ambao humiminika kila siku Wabunge wanapokuwa Dodoma, kuwalilia shida za binafsi.
William John Samwel Malecela @DSM City!
Ubunge ni utumishi na sin ufalme, kazi hiyo niya kujitolea kutumika sio mahali pa kuneemekea, tatizo tumefanya ubunge kama ufalme ndio maana kila wakati wanajadili maslahi yao badala jinsi ya kuwatumikia wananchi.
Sio lazima kuwa mbunge. Kama hiyo kazi wanaona haiendani na kipato wanachokipata, ziko kazi nyingine za kufanya. Umeshawahi kujiuliza kwanini huwa wanaacha kazi zao za maana na zenye kipato kikubwa na kukimbilia ubunge ambao wanajua ni kipato gani watakachokuwa wakikipata?
Mkuu usiyaangalie maisha ya watanzania kwa 'majicho' ya kimarekani au ulaya ulaya. Kama hiyo kazi wanaona ni kupigika, ni vyema wakajitoa ili wenye lengo la kutuletea maendeleo kwa kiasi hicho hicho cha posho ya 70,000/= kwa siku wachukue nafasi zao. Kazi ziko nyingi za kufanya sio lazima ubunge!
Mkuu usianze kujitengenezea mazingira ya 'ulaji' kabla hata hujafikia lengo lako la kuwa mbunge. Inatia shaka pindi ukiingia huko mjengoni kama kabla ya kuwa mbunge tayari umeanza kuwa na mtazamo wa kimaslahi zaidi!
Mkuu umesahau 50,000 za mafuta kila siku. Sijui dod6a matembea km zote hizo kwenda wapi. Hizo ni nje ya mafuta ya kila mwezi lita 1,000.Mkuu posho ya wabunge ni kubwa sana kulinganisha na mahitaji unayosema. Kwanza mbunge ana 80,000/= kwa kila siku (DSA) kila anapokuwa Dodoma aingie bungeni au la. Halafu anapata 70,000/= kila anapohudhuria kikao kila siku. Hivyo jumla anapata posho tu 150,000/= kwa siku ukitoa 50,000/= ya chumba anabakiwa na 100,000/= kwa siku. Hizo hazitoshi kula?
.
- - JAMANI HUKU BONGO NI USIKU SAA HIZI NAWAHI MSONDO NGOMA KUONA WANANCHI WAKIONYESHA TALENTS ZAO ZA SANAA, HA! HA! HA! USIKU MWEMA WENGINE SIWEZI KUWAJIBU MAANA HOJA ZENU HAZINA MASHIKO KABISAA, WENGINE MNAKUWA KAMA WATOTO WA CHEKECHEA BANA, HA1 HA! HA!
William.