Posho za Wabunge na Maisha ya Dodoma

- Wabunge ni tofauti sana na hao wengine, WAO NI WATUNGA SHERIA! sasa mwenye kutaka sheria mbovu kwa wananchi akiwapa rushwa na kutupitishia sheria mbovu kwa taifa utasema ni sawa na wengine serikalini?


William.
.....kutunga sheria kwa Wabunge hizo ni Hypothesis; mtu mwenye Elimu ya Darasa lama kama yule MBunge wa Lorya unafikili atatunga sheria gani????

in reality wao wanapitisha tu hizo sheria kwa kusema NDIYOOO, NDIYOOO na Kuunga mkono mia kwa mia kila HOJA hata kama ni ya kipuuzi.

Kama kazi imewashinda ya kutetea maslahi ya wapiga kura wao na wananchi kwa ujumla waachie ngazi.
 
- Heshima mbele JF, hivi karibuni nilikuwa Dodoma hili la Wabunge na posho limenishitua sana ukizingatia kwamba nilikuwa mmoja wa wananchi waliopinga sana Wabunge kuongezewa posho, there I was in Dodoma, hotel ya hadhi ya wabunge ni Dodoma hotel, bei ya chini sana kwa chumba ni Sh. 65,000 kwa siku; ukienda mtaani ni sh. 50,000 kwa siku, I mean bado wabunge hawajala na ku-deal na wananchi kutoka majimbo yao ambao humiminika kila siku Wabunge wanapokuwa Dodoma, kuwalilia shida za binafsi.

- Serikali itafute suluhisho la hili tatizo kwa sababu ni tatizo, tunaawaacha wabunge in an open field ya kupokea rushwa, nimeona Wabunge wengine wakiishi sehemu ambazo ni very dangerous kwa kiongozi wa taifa tunayemtegemea kuishi, halafu unakuta magazeti yakifurahia mbunge apigwa mapanga, mbunge aibiwa, I mean as taifa we have to do something, nchi nyingi Duniani, infact hata Zambia tu Serikali imewajengea Special Hostel wabunge wake kwenye maeneo ya viwanja vya bunge kupunguza hili tatizo la posho, I mean kwa hali niliyoiona hili tatizo halikwepeki ni lazima lizungumzike.

- Nilichojifunza kule Dodoma ni kwamba wengi wa Wabunge waliokuwa wanapinga posho ni wale wenye uwezo mkubwa sana kipesa kwamba hata hawahitaji hiyo posho ya sh. 70,000 kwa siku maana kwao ni peanuts na ni wachache sana, ninasema hii hoja ijadiliwe tena, tunawaweka wabunge wengi pagumu sana kimaishana hata kutuongoza.



William John Samwel Malecela @DSM City!

Mkuu posho ya wabunge ni kubwa sana kulinganisha na mahitaji unayosema. Kwanza mbunge ana 80,000/= kwa kila siku (DSA) kila anapokuwa Dodoma aingie bungeni au la. Halafu anapata 70,000/= kila anapohudhuria kikao kila siku. Hivyo jumla anapata posho tu 150,000/= kwa siku ukitoa 50,000/= ya chumba anabakiwa na 100,000/= kwa siku. Hizo hazitoshi kula?

Kuhusu kufuatwa na wananchi wake Dodoma ni kwa sababu wabunge wengi hawaonekani majimboni kwa hiyo kipindi kizuri cha kumpata ni kile kipindi cha bunge. Hata hivyo wengine huwaita wananchi wao ili wawatembeze mjini dodoma na kuwarusha kwenye TV wakati spika anapowatambulisha kama sehemu ya kampeni na kutudanganya kuwa wananchi wamemfuata kumwomba msaada.

Ikumbukwe kuwa kule majimboni kuna mfuko wa maendeleo ya jimbo ambayo ingewasaidia wananchi huko huko na sii kuja Dodoma. Hata sisi wafanyakazi wa kawaida huwa tunafuata na watu wetu tunapotoka wakati wanapokuja mjini wakakwama na tunalazimika kuwasaidia na sii kwa wabunge tu. Kama hujawahi kufuatwa basi ujue kwenye jamii hukubaliki.

Kama wanataka posho iongezwe, wahakikishe kuwa ni nyongeza kwa wafanyakazi wote na kama ni maisha magumu, wao ndo wako pazuri pa kuibana serikali idhibiti mfumuko wa bei.

Mwisho napenda tu kukumbusha kuwa kazi ya ubunge si kuwa mfadhili wa jimbo kama unavyotaka kukueleza ila ni kusimamia rasilimali za nchi zitumike kwa manufaa ya wananchi wenyewe haswa wa jimbo lako.
 
- heshima mbele jf, hivi karibuni nilikuwa dodoma hili la wabunge na posho limenishitua sana ukizingatia kwamba nilikuwa mmoja wa wananchi waliopinga sana wabunge kuongezewa posho, there i was in dodoma, hotel ya hadhi ya wabunge ni dodoma hotel, bei ya chini sana kwa chumba ni sh. 65,000 kwa siku; ukienda mtaani ni sh. 50,000 kwa siku, i mean bado wabunge hawajala na ku-deal na wananchi kutoka majimbo yao ambao humiminika kila siku wabunge wanapokuwa dodoma, kuwalilia shida za binafsi.

- serikali itafute suluhisho la hili tatizo kwa sababu ni tatizo, tunaawaacha wabunge in an open field ya kupokea rushwa, nimeona wabunge wengine wakiishi sehemu ambazo ni very dangerous kwa kiongozi wa taifa tunayemtegemea kuishi, halafu unakuta magazeti yakifurahia mbunge apigwa mapanga, mbunge aibiwa, i mean as taifa we have to do something, nchi nyingi duniani, infact hata zambia tu serikali imewajengea special hostel wabunge wake kwenye maeneo ya viwanja vya bunge kupunguza hili tatizo la posho, i mean kwa hali niliyoiona hili tatizo halikwepeki ni lazima lizungumzike.

- nilichojifunza kule dodoma ni kwamba wengi wa wabunge waliokuwa wanapinga posho ni wale wenye uwezo mkubwa sana kipesa kwamba hata hawahitaji hiyo posho ya sh. 70,000 kwa siku maana kwao ni peanuts na ni wachache sana, ninasema hii hoja ijadiliwe tena, tunawaweka wabunge wengi pagumu sana kimaishana hata kutuongoza.



william john samwel malecela @dsm city!
kwanini wasikodi nyumba , rent za dodoma ni kuanzia laki 2 hadi 4 kwa mwezi , ni sawa na kukuaa hotel siku 4.
 
- Kama hatuwezi kuwaongeza posho, then lets talk the alternative lakini Taifa we should be responsible na maisha yao wakiwa bungeni, badala ya kuwaacha ovyo ovyo tunawajengea mazingara ya rushwa na kutuletea sheria mbovu!

- People ninawasoma sana, lakini kubalini kwamba Watunga sheria ni muhimu sana kwa taifa kuliko wengine wote, hawa wana msiha yetu mikononi mwao, I undestand kwamba tumezoea maneno maneno sana, lakini hii hoja haikwepeki, kivuli cha posho na maisha ya wabunge kitaendelea kututafuna hili taiofa mpaka tutakapokubali kujadili na a compromise!

- Sawa wengine wote kwenye jamii wanahitaji kuongezwa posho, lakini priority iwe kwa wabunge kwanza watunga sheria za jamhuri!, sio lazima iwe 200,000 lakini something needs to be done!


William.

Kuongeza posho si suluhisho mkuu William. Hivi unajua wakiongezewa posho na hayo mahotel nao wataongeza bei, halikadhalika mahitaji mengine kama chakula nao wataongeza bei. Maisha yapo juu Dodoma ni kwakuwa wenye mahotel na bidhaa nyingine wanajua wabunge wanafweza za kutosha. Mfano mzuri ni pale serikali inapotangaza kuongeza mishahara kwa wafanyakazi utaona na bidhaa nazo bei inakwenda juu. So, soluhisho hapa ni kuwe na sheria (kama haipo) au chombo cha kudhibiti hao wenye mahotel na bidhaa nyingine na hizo sheria ziwe reinforced. Hata machangu wakati wa vikao vya bunge wanajaa huko Dom wanawafuata nini kama si pesa za wabunge. Kuongeza posho ni kuongeza machangu Dom.
 
Je umefikiria walimu or police wanapata laki na nusu kwa mwezi vipi wanaishi??? kimo cha chini matumizi kwa siku ni tsh elf 5, tafakari sana. ahsante
 
kama wanayo akili za kutunga sheria basi naamini pia wazo akili za kuishi dodoma, kuna watu wanaishi hata mlo 1 kwa siku hawapati jee uja waona dodoma???
 
Niliwahi kuandika humu, kwa Mbunge hata posho ya 300,000 kwa siku ni ndogo sana.

Siamini kama posho wanazolipwa haziwatoshi, mpaka ntakapoona wanajiuzulu au wanatimiza majukumu yao ipasavyo na sio kuwa rubber stamp ya serikali ....hilo la kuwasaidia wapiga kura wake ni la binafsi halitakiwi kuwa kwenye bajeti ya nchi..
 
kwakweli kuna jambo naamini unajaribu kulispin...sijawahi kukusikia popote ukipinga posho. nakumbuka ukiwa ulipokuwa ulikuwa ukisema posho kuongezeka ni halali hata huko huwa mnalipwa posho ya kikao so na hapa pia izingatiwe!!!

Maoni yangu kwako, ni bora kutafuta huruma ya wananchi kwa kutenda watakavyo bwana wiliam,kuliko kutafuta huruma ya watawala kwa kuunga mkono kile tu kinachowanufaisha ili nawe wakukumbuke katika hayo manufaa, jaribu kutathmini hilo chaguo lako, si sahihi kwani hayo manufaa huwa hayadumu...
 
- Heshima mbele JF, hivi karibuni nilikuwa Dodoma hili la Wabunge na posho limenishitua sana ukizingatia kwamba nilikuwa mmoja wa wananchi waliopinga sana Wabunge kuongezewa posho, there I was in Dodoma, hotel ya hadhi ya wabunge ni Dodoma hotel, bei ya chini sana kwa chumba ni Sh. 65,000 kwa siku; ukienda mtaani ni sh. 50,000 kwa siku, I mean bado wabunge hawajala na ku-deal na wananchi kutoka majimbo yao ambao humiminika kila siku Wabunge wanapokuwa Dodoma, kuwalilia shida za binafsi.

- Serikali itafute suluhisho la hili tatizo kwa sababu ni tatizo, tunaawaacha wabunge in an open field ya kupokea rushwa, nimeona Wabunge wengine wakiishi sehemu ambazo ni very dangerous kwa kiongozi wa taifa tunayemtegemea kuishi, halafu unakuta magazeti yakifurahia mbunge apigwa mapanga, mbunge aibiwa, I mean as taifa we have to do something, nchi nyingi Duniani, infact hata Zambia tu Serikali imewajengea Special Hostel wabunge wake kwenye maeneo ya viwanja vya bunge kupunguza hili tatizo la posho, I mean kwa hali niliyoiona hili tatizo halikwepeki ni lazima lizungumzike.

- Nilichojifunza kule Dodoma ni kwamba wengi wa Wabunge waliokuwa wanapinga posho ni wale wenye uwezo mkubwa sana kipesa kwamba hata hawahitaji hiyo posho ya sh. 70,000 kwa siku maana kwao ni peanuts na ni wachache sana, ninasema hii hoja ijadiliwe tena, tunawaweka wabunge wengi pagumu sana kimaishana hata kutuongoza.



William John Samwel Malecela @DSM City!


William kama kijana wa kileo jaribu kuwa na huruma na masikini wa Tanzania ambao kula yao ya siku ni kitendawili. Najua hili kwako ni gumu kwa kuwa umeishi maisha ya mkate na blueband toka kuzaliwa mpaka leo kiasi kwamba huwezi jua shida na dhiki zinazowakabili watanzania wengi.Kwamba wabunge waongezewe posho kwa kuwa kuna wapiga kura wanawafuata Dodoma kuwapiga mizinga haina maana yoyote na ni upotoshaji wa mwaka. Jamii yetu ni masikini sana hivyo kila mwenye afadhali(ajira) kidogo hawezi kwepa jukumu la kusaidia ndugu na jamaa. Kwa hiyo si wabunge tu wanaoombwa bali wote tunaombwa ni nafuu kwa wenzetu wabunge walau hicho cha kutoa wanacho.

Hoja ya gharama za maisha Dodoma iliwahi pia kutolewa na Spika lakini si kweli ni uongo wa mwaka, katika miji ya nchi hii mji wenye hoteli nzuri na za bei nafuu ni Dodoma.Wabunge wengi tunawajua wanakaa hoteli za shs 10,000/ na 15,000/ zilizopo maeneo ya mjimpya , sokoni, area A nk. Hizi ni hoteli ambazo zaidi hutumiwa na madereva lakini ajabu yake waheshimiwa nao wanabanana huko huko. Kama si malengo ya kubana matumizi tu Dodoma kuna hoteli nzuri sana za shs 20,000 - 25,000 - 30,000/= kama vile Area D lodge, Merryland, Dearmama, Simba Hotel, Giftland, Rock hotel, Munisi lodge, Goldcoins na Liberty lodge nk. Sasa hoja ya Makinda na William kuwa gharama za kulala Dodoma ni kubwa inatoka wapi? Makinda alifikia kusema Dodoma chumba cha laki moja hupati! Dodoma ya wapi? Unasema kuna wabunge wanaishi maeneo ya hatari, ni maeneo yapi hayo ya hatari ambayo wakati wanaomba kura yalikuwa salama na walienda wakacheza kiduku na wananchi bila tatizo leo baada ya kuukwa ubunge yamekuwa hatarishi, acheni masihara! William inawezekana unajiandalia mazingira mazuri ili utakapoingia bungeni 2015 ukute posho hizo za kutesea at the expense of poor Tanzanians, nasikia sasa unaelekeza nguvu zako Mtera kwenda kumng'oa nduguyo taahira Lusinde. Kaka chama chako kiko pagumu sana, wananchi wanateseka sasa badala ya kufikiria namna ya kuwapunguzia makali ya maisha mnawaza jinsi ya kujiongezea anasa wateule wachache. Kumbe wabunge walitumia busara sana kukunyima kura, HUNA JIPYA!!
 
Wajengewe hostel na waajiri wapishi. Mbona mawaziri wamejengewa hostel na cafeteria hapa mikocheni? (Ubunifu wa Kikwete)

Wapemba wao hupanga nyumba moja watu kama 20 na wanapeana zamu za kupika. Safi sana!
 
- Heshima mbele JF, hivi karibuni nilikuwa Dodoma hili la Wabunge na posho limenishitua sana ukizingatia kwamba nilikuwa mmoja wa wananchi waliopinga sana Wabunge kuongezewa posho, there I was in Dodoma, hotel ya hadhi ya wabunge ni Dodoma hotel, bei ya chini sana kwa chumba ni Sh. 65,000 kwa siku; ukienda mtaani ni sh. 50,000 kwa siku, I mean bado wabunge hawajala na ku-deal na wananchi kutoka majimbo yao ambao humiminika kila siku Wabunge wanapokuwa Dodoma, kuwalilia shida za binafsi.

- Serikali itafute suluhisho la hili tatizo kwa sababu ni tatizo, tunaawaacha wabunge in an open field ya kupokea rushwa, nimeona Wabunge wengine wakiishi sehemu ambazo ni very dangerous kwa kiongozi wa taifa tunayemtegemea kuishi, halafu unakuta magazeti yakifurahia mbunge apigwa mapanga, mbunge aibiwa, I mean as taifa we have to do something, nchi nyingi Duniani, infact hata Zambia tu Serikali imewajengea Special Hostel wabunge wake kwenye maeneo ya viwanja vya bunge kupunguza hili tatizo la posho, I mean kwa hali niliyoiona hili tatizo halikwepeki ni lazima lizungumzike.

- Nilichojifunza kule Dodoma ni kwamba wengi wa Wabunge waliokuwa wanapinga posho ni wale wenye uwezo mkubwa sana kipesa kwamba hata hawahitaji hiyo posho ya sh. 70,000 kwa siku maana kwao ni peanuts na ni wachache sana, ninasema hii hoja ijadiliwe tena, tunawaweka wabunge wengi pagumu sana kimaishana hata kutuongoza.



William John Samwel Malecela @DSM City!

Heshima yako mkuu,

Samahani,sina maneno mazuri ya kukueleza.Ukweli ni kwamba tangu aungushwe kwenye kuwania ubunge wa Afrika Mashariki umekuwa ukitoa kauli ambazo kwa hakika zinawezakumfanya mtu ahisi umechanganyikiwa.Pengine ni vema ukarejea ughaibuni kupumzisha akili.

Unazungumzia ugumu wa hali ya maisha Dodoma,na kutanabaisha kuwa serikali iangalie namna ya kuwasaidia wabunge wamudu gharama za maisha katika mji huo.Hivi unafahamu mshahara wa mbunge kwa mwezi ni shilingi ngapi?Halafu bila kufanya utafiti wowote ule unahitimisha kuwa waliokuwa wakipinga posho ni wenye uwezo mkubwa wa kifedha.Unamaanisha Zitto Kabwe (mmoja ya wapinzani wakubwa wa posho) ana uwezo mkubwa wa kifedha kuliko Rostam Aziz (ambaye hakupinga posho)?No research,no right to speak.

Halafu,kwanini uitake serikali iangalie jinsi ya kuwasidia wabunge kumudu gharama (licha ya mshahara mnono wanaolipwa sambamba na posho ya nguvu) lakini ukalie kimya kiama wanachokumbana nacho walahoi mtaani?Ushaskia wakulima wanaitaka serikali iwape posho kwa kwenda shambani?Wabunge wanalipwa mishahara kwa kazi ya uwakilishi,lakini pia wanalipwa posho kwa kuingia bungeni kila siku.

Pumzisha akili Mzee Es Sauti ya Umeme
 
W.J. Malecela a.k.a William pole sana na nakusikitikia kwa kukurupuka kuleta thread ambayo haiitaji kuumiza kichwa sana kuitolea majibu, labda kwa vile hapa Tanzania we ni mgeni unaweza kusamehewa bure;

lkn ni bora uishie hapo vinginevyo utazidi kujidhalilisha; hoja ya kwamba Wabunge ndo wanaoutunga sheria hivyo wanastahili kuongezewa posho inaonyesha ni namna gani vipi ujui ulisemalo sana sana ni kutafuta umaarufu tu:

We ulipokuwa unagombea nafasi ya ubunge ktk Bunge la Afriki Mashariki ulifikiri ungepata ungeenda huko kutunga Sheria???? Hivyo ya posho ya Wabunge we uwezi kuisemea kwani Vigezo huna..
 
We baharia bana acha porojo hapa, unaweza kuthibitisha kwamba wabunge wakipewa posho ya laki 4 kwa siku hawatakubali kupitisha sheria mbovu kwa kuhongwa?

Kuna wabunge wanakaa kwenye guest houses za kawaida kabisa 15k mpaka 20k, na hao hata ukiwapa posho ya laki 8 kwa siku, hawatahama huko wanapokaa.
:A S 13:
- Wabunge ni tofauti sana na hao wengine, WAO NI WATUNGA SHERIA! sasa mwenye kutaka sheria mbovu kwa wananchi akiwapa rushwa na kutupitishia sheria mbovu kwa taifa utasema ni sawa na wengine serikalini?


William.
 
- Heshima mbele JF, hivi karibuni nilikuwa Dodoma hili la Wabunge na posho limenishitua sana ukizingatia kwamba nilikuwa mmoja wa wananchi waliopinga sana Wabunge kuongezewa posho, there I was in Dodoma, hotel ya hadhi ya wabunge ni Dodoma hotel, bei ya chini sana kwa chumba ni Sh. 65,000 kwa siku; ukienda mtaani ni sh. 50,000 kwa siku, I mean bado wabunge hawajala na ku-deal na wananchi kutoka majimbo yao ambao humiminika kila siku Wabunge wanapokuwa Dodoma, kuwalilia shida za binafsi.

- Serikali itafute suluhisho la hili tatizo kwa sababu ni tatizo, tunaawaacha wabunge in an open field ya kupokea rushwa, nimeona Wabunge wengine wakiishi sehemu ambazo ni very dangerous kwa kiongozi wa taifa tunayemtegemea kuishi, halafu unakuta magazeti yakifurahia mbunge apigwa mapanga, mbunge aibiwa, I mean as taifa we have to do something, nchi nyingi Duniani, infact hata Zambia tu Serikali imewajengea Special Hostel wabunge wake kwenye maeneo ya viwanja vya bunge kupunguza hili tatizo la posho, I mean kwa hali niliyoiona hili tatizo halikwepeki ni lazima lizungumzike.

- Nilichojifunza kule Dodoma ni kwamba wengi wa Wabunge waliokuwa wanapinga posho ni wale wenye uwezo mkubwa sana kipesa kwamba hata hawahitaji hiyo posho ya sh. 70,000 kwa siku maana kwao ni peanuts na ni wachache sana, ninasema hii hoja ijadiliwe tena, tunawaweka wabunge wengi pagumu sana kimaishana hata kutuongoza.



William John Samwel Malecela @DSM City!

Mtu mlafi siku zote atabaki kuwa mlafi na kuugombania kwa kuutetea ulafi wake kwa kila namna! William- hivi kweli hakuna hotel nzuri za chini ya hapo na zenye usalama zaidi??

Hivi nchi nzima hii watumisi wa serikali wanaofanyaga kazi zao Dodoma ni wabunge tu na wao wanalalamika hivyohivyo?? Mbona wadau wakubwa wa hotel na guest ni wanafunzi( nfano hai Udom) na wanamudu bei ya huduma tena kwa bei mruua t,je hao wabonge wa bunge hawaoni kwingine??

Kama kweli wewe sio mnafiki n a umefanya utafiti kabal ya kukurupuka,tuambie wamiliki wa hiyo Dodoma hotel ni kina nani kama sio hao mafisadi wenzenu wenye mirija ya kufyonza kila kitu?!

ungetetea posho wa waalimu na madaktari plus boom kwa wanafunzi ungeeleweka lakini sio nyie wabunge wapuuzi haswa ccm-eti muongezwe pesa kwa kulala bungeni huku mnamwaga mashuzi,udenda na kusubiri kuzomea msipopigiana meza kwa kutetea uozo,shame upon you fisadis,mazafanta!!
 
Mkuu W J M,

Mwaka jana nilikuwa Dodoma nililala Hotel jina limenitoka ipo karibu na yatakapojengwa makazi mapya ya waziri mkuu 35,000/=@ DStv,maji moto & break fast ya nguvu [juice + kahawa + chai na vitafunwa vya haja. Hotel hiyo hiyo nilikuwa na baadhi ya waheshimiwa wabunge na wakuu wa taasisi za umma.

Ipo tabia ya baadhi ya waheshimiwa wabunge na baadhi ya watendaji wakuu wa mashirika ya umma ya kupenda kudanganya gharama halisi wanazotumia wawapo nje ya vituo vyo vya kazi.Pia kuna gharama nyingine wanazotumia waheshimiwa wabunge wetu kama kuchukua madada poa na unywaji wa pombe kupita kiasi na bado watataka gharama zote hizo zibebwe na walipa kodi.

Ifike wakati waheshimiwa wabunge watambue kwamba wao ni sehemu ndogo ya jamii ya watanzania hivyo wanapaswa kuishi sawa sawa na watanznaia wengine.Ikiwa mbunge atataka nyongeza ya posho zaidi ya hizi wanazozipata itawalazimu wa kutafuta mapato mengine ya ziada na si kodi zetu.
 
Heshima yako mkuu,

Samahani,sina maneno mazuri ya kukueleza.Ukweli ni kwamba tangu aungushwe kwenye kuwania ubunge wa Afrika Mashariki umekuwa ukitoa kauli ambazo kwa hakika zinawezakumfanya mtu ahisi umechanganyikiwa.Pengine ni vema ukarejea ughaibuni kupumzisha akili.

Unazungumzia ugumu wa hali ya maisha Dodoma,na kutanabaisha kuwa serikali iangalie namna ya kuwasaidia wabunge wamudu gharama za maisha katika mji huo.Hivi unafahamu mshahara wa mbunge kwa mwezi ni shilingi ngapi?Halafu bila kufanya utafiti wowote ule unahitimisha kuwa waliokuwa wakipinga posho ni wenye uwezo mkubwa wa kifedha.Unamaanisha Zitto Kabwe (mmoja ya wapinzani wakubwa wa posho) ana uwezo mkubwa wa kifedha kuliko Rostam Aziz (ambaye hakupinga posho)?No research,no right to speak.

Halafu,kwanini uitake serikali iangalie jinsi ya kuwasidia wabunge kumudu gharama (licha ya mshahara mnono wanaolipwa sambamba na posho ya nguvu) lakini ukalie kimya kiama wanachokumbana nacho walahoi mtaani?Ushaskia wakulima wanaitaka serikali iwape posho kwa kwenda shambani?Wabunge wanalipwa mishahara kwa kazi ya uwakilishi,lakini pia wanalipwa posho kwa kuingia bungeni kila siku.

Pumzisha akili Mzee Es Sauti ya Umeme

- Unajua nilipofungua tawi la CCM New York, mlisema nirudi nyumbani nimechanganyikiwa, sasa nimerudi hapa ninawapa moto ya mbongo unasema nirudi tena majuu, ha! ha! ha!

- Halafu naona hukusoma vizuri hoja zangu, nimetoa alternative ya serikali kuwajengea wabunge special place za kukaa wakiwa bungeni, otherwise unajua siku hizi bongo kuna usemi mmoja kwamba shetani akizeeka hugeuka kuwa malaika, nashangaa wewe mpaka leo bado una chuki binafsi na mimi tu, I mean nimeku-delete Facebook, nikidhani kwa mtu makini kama wewe utashituka na kubadilika na hizi chuki kumbe bado tu!

- haya nimekusikia karibu sana! ha! ha! ha! ha!

William.
 
hizosehemu 'very dangerous ni zipi?'

ina maana wakishachaguliwa kuwa wabunge wanakuwa very special wanaogopa wapiga kura wao? Unataka kusema wakati wa kupiga kura wanaweza kujichanganya nao, wakishapata ubunge wanakuwa 'special' kujichanganya nao ni 'hatari kwa usalama' wao?

Ndo maana miaka 50 yote ya madaraka ya ccm maendeleo majimboni hakuna

Halafu sehemu kama Simba mbona ni hoteli nzuri na wanajazana pale chungu nzima na hoteli sh 20,000-25,000 wakati hoteli ya 'hadhi ' ipo jirani hawaendi?

Unataka kusema hawalipwi perdiem? Maana kama wanaliowa perdiem sh 80,000 perday, inawatosha sana tu, sh 65,000 unalipia hoteli sh 15,000 unakula......

Tatizo sio bei za hoteli, tatizo sio hadhi za hoteli tatizo ni uroho na uchu wa fedha..........
Kujali matumbo yao binafsi kuliko wapigakura wao.....???

Au nataka kusema wabunge waliopinga hilo wao hawakai hotelini?

Huyu jamaa lengo lake ni kujitafutia umaarufu kwa wabunge wapenda posho , si unajua kura hazikutosha ubunge wa EA. Wamiliki wa hoteli/nyumba za kulala Dodoma walipinga na kutoa data za uhakika kuhusu bei za vyumba. Kama wao ni wawakilishi wa wananchi kwanini wanataka kulala hoteli la laki moja.. walale hizo hizo za 25k to 35k ambazo zipo niyngi.
 
- It does not matter, ninasema something needs to be done, hasara kwa taifa ya kutojadili hii hoja ni kubwa sana kuliko hizi blah! blah! blha!

William.

hii ni hoja kubwa sana kuliko nini? Umeme? Madini? Ufujali wa maliasili? Utafunaji wa pesa za epa na mengineyo? Yaani hii ndo hoja kubwa sana?

Hii unadhihirisha hujui maisha halisi ya kitanzania, hujui maisha halisi ya mtanzania, na si kosa lako unawakiliza tabaka lako........

Mbona dodoma kuna hoteli nzuri standard kunzia elfu 25,000?
Au wabunge wapo extra special kwa kuwa wanztunga sheria zisizofuatwa?

Kuhusu rushwa ndugu, mbona wanatoa rushwa tokaa majimboni? Huwa wanahonga ili iweje kama ubunge hauna maslahi?

Kama posho ndogo kwz nini wanakimbilia bungeni? Wanaacha proffesional zao huku kwa kuwa 'hazina posho' na kukimbilia huko?

Tafuta point nyingine ya kutaka kutetea huu uozo wa watu wachache, uliojawa na ubinafsi badala yz maslahi ya taifa.........

Kazi ya per diem zao ni nini??????????? Si wanalipwa 80,000 za per diem? Kazi yake ni kulipia malazi....wakitoa 65 ya hiteli na 15 ya chakula wataweza kuishi sehemu 'salama' mbali na wapiga kura wao wanaohatarisha usalama wao
 
Back
Top Bottom