Jitihada
Senior Member
- Feb 6, 2011
- 155
- 10
duu, nadhani wanafunz watakuwa hawakosi lecture
naunga mkono, hii itasaidia kukuza elimu nchini.
duu, nadhani wanafunz watakuwa hawakosi lecture
Mhhh ama kweli kuna kazi kwa CCM kulivua Gamba. NIlikuwa nasikiliza Clouds Radio sasa hivi na nikasikia mahojiano kati ya Mtangazaji wa Clouds na Naibu Katibu Mkuu wa CCM JOhn (Tukokati) Chiligati kuhusiana na Kauli ya Zitto Kabwe juu ya kuondoa posho mbalimbali zikiwemo za vikao vya wabunge wanapokuwa bungeni. Sikuamini masikio yangu Chiligati aliposema kuwa anakubaliana na Zitto juu ya kauli hiyo, ila anashauri utekelezaji wake usianze mara moja kwa wabunge wote. Anapendekeza kuwa utekelezaji wake uanze kwa wabunge wa CHADEMA, mpango huo ukifanikiwa ndipo na wabunge wengine watafuata.
Alipohojiwa kwanini wasianze wabunge wote kama kweli anakubaliana na Zitto??
Jibu lake likawa ni kwa sababu shida za wabunge zinatofautiana, na kwa wabunge wengi kama yeye wanatumia pesa hizo kuwasaidia wapiga kura wao kila wanapotembelea majimbo yao.
My take: JE PESA ZILIZOTENGWA ZA MFUKO WA JIMBO ZINAFANYA KAZI GANI NDUGU CHILIGATI??????:
Mhhh ama kweli kuna kazi kwa CCM kulivua Gamba. NIlikuwa nasikiliza Clouds Radio sasa hivi na nikasikia mahojiano kati ya Mtangazaji wa Clouds na Naibu Katibu Mkuu wa CCM JOhn (Tukokati) Chiligati kuhusiana na Kauli ya Zitto Kabwe juu ya kuondoa posho mbalimbali zikiwemo za vikao vya wabunge wanapokuwa bungeni. Sikuamini masikio yangu Chiligati aliposema kuwa anakubaliana na Zitto juu ya kauli hiyo, ila anashauri utekelezaji wake usianze mara moja kwa wabunge wote. Anapendekeza kuwa utekelezaji wake uanze kwa wabunge wa CHADEMA, mpango huo ukifanikiwa ndipo na wabunge wengine watafuata.
Alipohojiwa kwanini wasianze wabunge wote kama kweli anakubaliana na Zitto??
Jibu lake likawa ni kwa sababu shida za wabunge zinatofautiana, na kwa wabunge wengi kama yeye wanatumia pesa hizo kuwasaidia wapiga kura wao kila wanapotembelea majimbo yao.
My take: JE PESA ZILIZOTENGWA ZA MFUKO WA JIMBO ZINAFANYA KAZI GANI NDUGU CHILIGATI??????:
Kwa hili, there is a disconnect, to be sure, and a dysfunctional situation kwenye strategy ya kuvua magamba. Sijui kama kweli Chiligati anajua wapi tuendapo miaka kumi ijayo zaidi ya kutaka kushiba na ku-puke yeye na chama chake cha magamba!Wanatumiaga kuwahonga mademu wao