Posho na Mishahara ya wabunge...

Posho na Mishahara ya wabunge...

Usafi huanzia mwilini mwako kama hujui wewe ni msafi ama la! basi hautaweza kufahamu mazingira yanayokuzunguka ni masafi pia ama la! Leo hatuwez kuchunga sh 10 tunayoipoteza wenyenyewe tutaweza kweli kuchunga hayo mabilioni yanayopotea kutokana na wawekezaji. mwizi asipobadilika kamwe hawezi kuona uchungu vitendo vya wizi vikiendelea. Lazima tusijisafishe kwanza sisi wenyewe hasa wabunge. Usitudanganye Hamad rashid.
 
kila siku ninapoint. Labda hupendezewi

Mimi nakuhakikishia sitakupenda kwa point zako za upande mmoja. Ila hapa umeanza kupona malaria kweli.
Pamoja na yote, lakini umezungumza kitaifa mbele. Thanks hupati mpaka nione unaendeleza uliyoyaanza hapa.

YAANI MWAWAZO YALIYO WIANA NA UKWELI UNAOJITOSHELEZA HATA KAMA YANATOKA KWA KAFIR.

Badirisha "Tutakutaeni" lisomeke kwa maana uliyoikusudia.
 
Bunge likiwa katika harakati za kutaja bajeti yake...kuna maoni tofauti juu ya malipo ya posho kwa wabunge yaan"sitting allowance"..mbunge wa kigoma kaskazini ndugu zitto kabwe alieza kuwa ni kwa kiasi gani serikali inavyoingia athara ya takriban bilion900 kwa kuwalipa wabunge hao na akisaidia na Mbowe katika kuelezea swala hilo ingawa kuna baadhi ya wabunge wanaweka magogo juu ya hoja hiyo naye waziri wa fedha na uchumi asubiri hoja hiyo ifikishwe bungeni....Mbowe alisema kuwa "mfano mimi ni mjumbe wa kamati ya bunge nasaini 'sitting allowance' katika kikao cha bunge,nikiitwa katka kikao cha kamati ya uongozi nasaini tena sitting allowance na hata kama nikiitwa tena jioni naweza kulipwa sasa kama si wizi ni nini.......jamani wabunge tuamke tusijirudishe kwenye enz za jiima na wananchi mtakiwa kuwa macho
 
Jamani, ni lazima tukubaliane kuwa wambunge wa ccm hawatalikubali wazo hili la kuondolewa posho. Sasa sisi kama cdm, ninashauri tuzitumie hizi posho za wabunge wetu kuimarisha chetu. Wote tunajua, ngazi za mikoa hadi matawi zinashindwa kujiendesha kwa kukosa pesa. Ni ngazi ya kitaifa ndio yenye uwezo wa kuendesha shughuli za uenezi. Wakikataa kuondoa posho, basi tuzitumie kuimarisha chama chetu
 
Leo mtakuwa wapi na Nape?...huu ni msimu wa viwavi mashambani,jamani wakulima tujiadhari!
Soma vizuri post yangu, itafakari na uielewe. Rudia hata mara mia. Post hii ni msaada kwa chama chetu, cdm.
 
Nawapongeza Chadema,nampongeza Mbowe pamoja na mawaziri wake vivuli!Onyeshen njia,hizo hela ziende kwenye sekta za maendeleo majimbon mwenu ili iweze saidia wapiga kura wenu,kamwe msikubali zirudi serikalin ili hao walowezi na wadowezi wafaidike nazo,kuweni wamoja katika hili na mshikamane!Hongeren CDM katika hili.
 
Jamani, ni lazima tukubaliane kuwa wambunge wa ccm hawatalikubali wazo hili la kuondolewa posho. Sasa sisi kama cdm, ninashauri tuzitumie hizi posho za wabunge wetu kuimarisha chetu. Wote tunajua, ngazi za mikoa hadi matawi zinashindwa kujiendesha kwa kukosa pesa. Ni ngazi ya kitaifa ndio yenye uwezo wa kuendesha shughuli za uenezi. Wakikataa kuondoa posho, basi tuzitumie kuimarisha chama chetu
 
me naungana na ww kaka huyu zitto ni mnafiki wa cdm mbona kuna pesa gari na kiwanja cha ufukweni alihongwa na thithiem ameshindwa kusema vipelekwe jimboni?wajinga wenzie wa cdm ndo ataendelea kuwa fitini lkn sisi wengine tunaojua data zake tunamwangalia.in short anatafuta umaarufu kupitia hizo posho km kawaida yake.
 
Tangu uchaguzi hadi leo tumeshuhudia mengi hadi tunashindwa kushika lipi. Tuacheni sasa akili zetu zitulie tufikirie na kuchambua bajeti

Mkuu tunapozungumzia posho ndiyo kuchambua bajeti yenyewe acha kuwa mvivu wa kufikiri na usione aibu kufikiri ni kwa manufaa ya watz sio ya watu binafsi.
 
Ebwana safi sana naona nowdays umekuwa mtaifa,hii mibunge ya CCM haina uzalendo navyoijua itapinga,ila hukumu yao inakaribia
 
Bunge likiwa katika harakati za kutaja bajeti yake...kuna maoni tofauti juu ya malipo ya posho kwa wabunge yaan"sitting allowance"..mbunge wa kigoma kaskazini ndugu zitto kabwe alieza kuwa ni kwa kiasi gani serikali inavyoingia athara ya takriban bilion900 kwa kuwalipa wabunge hao na akisaidia na Mbowe katika kuelezea swala hilo ingawa kuna baadhi ya wabunge wanaweka magogo juu ya hoja hiyo naye waziri wa fedha na uchumi asubiri hoja hiyo ifikishwe bungeni....Mbowe alisema kuwa "mfano mimi ni mjumbe wa kamati ya bunge nasaini 'sitting allowance' katika kikao cha bunge,nikiitwa katka kikao cha kamati ya uongozi nasaini tena sitting allowance na hata kama nikiitwa tena jioni naweza kulipwa sasa kama si wizi ni nini.......jamani wabunge tuamke tusijirudishe kwenye enz za jiima na wananchi mtakiwa kuwa macho


Kwa hili la kupinga malipo ya POSHO bungeni ni la ZITTO na MBOWE.....na mimi

 
kanisa kula mali za watz?

hapana, ni haya mambo ya serikali kulipa mishahara bakwata na huu mpango wao wakutaka kuwa wanalipa gharama za uendeshaji wa mahakama ya kadhi wkt nchi yetu masikini wa kutupwa
 
Ni kweli mkuu nakuunga mkono tatizo hawa wabunge wa CCM siyo wazalendo kabisa watagoma,ila hukumu yao inakuja soon.
 
me naungana na ww kaka huyu zitto ni mnafiki wa cdm mbona kuna pesa gari na kiwanja cha ufukweni alihongwa na thithiem ameshindwa kusema vipelekwe jimboni?wajinga wenzie wa cdm ndo ataendelea kuwa fitini lkn sisi wengine tunaojua data zake tunamwangalia.in short anatafuta umaarufu kupitia hizo posho km kawaida yake.
Hivi wewe milembe umetoka lini?
 
Bado sijamwona swahiba MS, Faiza Foxy sijui nae ataendeleza utaifa unaoanza kumwingia MS au ataendelea kushikilia magamba yake yasidondoke.
 
Back
Top Bottom