Mbona inawabangua sana vichwa!
natangaza nia ya kugombea urais wana jamvi niungeni mkono
Uraisi wa zanzibar au wa Tanganyika,??
Hivi unajua bangi inayotumiwa na wajumbe wa bunge la katiba,bado haijajulikana inalimwa wapi?
Binamu nimecheka hapa ofisini acha kabisa eti chadema walishindwa chalinze?
Mwanaume kitambi, SIX pack waachie Arsenal
Mwanaume kitambi, SIX pack waachie Arsenal
kabanga wewe mpe faida zake mimi ntampa hasara
Bora uzi huu uondolewe wa Pornograph kwa sababu ni Wa kizamani sana upelekwe Jukwaa la mambo ya Kikubwahuo Uzi wake uwekwe kwenye katiba mpya. katiba itaainisha hasara na faida.