Poorest road design ever

Poorest road design ever

mamanalia, unajua ni kwa nini chumba cha upasuaji ni mgonjwa na Daktari?
 
Last edited by a moderator:
Nadiriki kusema katika design za barabara nilizowahi kuona, barabara za BRT ndo poorest design ever.

Kweli barabara inawekewa ukuta na bila hata kujali wakazi wa pembeni watahitaji kuvuka au kuingia high way na magari yao!!!!!!!!!!!!! Ni bora hata wangeweka ukuta kwenye barabara zitazotumiwa na mabasi na kutoweka miukuta kwenye public roads.

Eti hawa nao wanajiita wahandisi!!!!!
Ingekuwa vizuri kama ungeuliza kwanini.
 
Nadiriki kusema katika design za barabara nilizowahi kuona, barabara za BRT ndo poorest design ever.

Kweli barabara inawekewa ukuta na bila hata kujali wakazi wa pembeni watahitaji kuvuka au kuingia high way na magari yao!!!!!!!!!!!!! Ni bora hata wangeweka ukuta kwenye barabara zitazotumiwa na mabasi na kutoweka miukuta kwenye public roads.

Eti hawa nao wanajiita wahandisi!!!!!
Sometimes ukinyamaza watu hawatajuwa ujinga wako. Tukikuuliza umeona barabara ngapi, utazidi kujivuwa nguo. Safari yako ya Msalala - Dar - Msalala na wewe unasema umeona barabara!!!! Kutembea gharama, ok. Google basi hapohapo ulipokaa uweze kusafiri mails lukuki!!! Everything is at your finger tips, yet una-post huu ----- kwa mbwembwe za kuwakashifu wahandisi. Tuache na BRT yetu bwana.
 
Asiye heshimu taaluma ya mwenzake bila shaka hata yake haijui. Unayofikiri wewe leo wakandarasi/waandisi walifikiri miaka mitano iliyopita. Kama wewe ni mkandarasi au muandisi basi nenda kaombe kazi hapo ili uongeze elimu yako maana utaacha kufikiri kwa kutumia upeo mdogo hivyo wa kinadharia.
 
Wabongo kujifanya wajuaji mradi hujaisha unajifanya kuleta ujuaji why usingejenga wewe unafikiri kua Hawa wa Austria kujenga BRT WALIPEWA KAMA MNAVYOPEANA NAMBA ZA SIM NA MADEM CLUB....[/ Hawa wa Austria ]


Mkuu; Rekebisha maneno haya kwani Austria haihusika najua mkandarasi ni Mjerumani na Mhandisi Mwelekezi (Supervising Engineer)anatoka Australia.


Jamaa anetoa wasiwasiwake ni haki yake
anatoa wasi wasi yeye ni engeener kitu hakijaisha anakurupuka na tatizo wabongo weng kukosa info za uhakika ndio kinawacost knoma ujinga tu stor za vijiweni

http://en.m.wikipedia.org/wiki/Strabag
 
Ni vema ungeenda japo south Afrika ukaona mambo yalivyo, kwa mfano unapotoka Pretoria kwenda Mphumalanga una mjini hapo katikati unaitwa Bronkhorstpruit, ukijichanganya ukashindwa kuingia hapo ujue ngoma ni mpaka Witbank ndo utapata njia ya kurudi
 
Tatizo Watanzania tunakurupuka tu kulalamika..

Tembea uione Dunia ndio ujue barabara zinajengwa vipi..

Huu ndio mfumo wa bara bara ulivyo lazima kuwekwe ukuta kuzuia magari kuingia Highway ovyo ovyo..

Nchi nyingi sio tu kuingia na gari bali hata ukitaka kuvuka barabara hadi uende sehemu ya kuvukia maana bara bara nzima imezibwa,,

STRABAG sio kampuni magumashi kama unavofikiria..

Tena kuonesha walivyo serious kwenye kazi zao wamekuja na SMEC kama consultant wao..

Hapo hata magufuli hatii mguu, anawaogopa kama ukoma.. Anaonea kampuni za janja janja tu kuwapiga mikwara but akigusa STRABAG tu World Bank wanamfunga

Hizo kampuni ni kubwa sana na sana na sana kwenye mambo ya ujenzi unaweza uka google kwa ajili ya details zao na kazi walizowahi kufanya duniani

Mkuu usibeze watu usiowajua as long as jf is where we talk hiddenly, hata mie nimetembea na kufanya kazi huko nje na ninashukuru Mungu nimeguza kila bara la dunia hii aidha nilipokuwa nafanya higher degrees zangu au nilipokuwa kazini.
Hawa watu wenu mnao watetea ndo mipango yao duni imetufikisha hapa kwenye umasikini huu mzito.

Sikatai ujenzi huu, na wakazi wa dar hawawezi wote kwenda ofc zao kuona hizo picha, wao wazibandike kama walivobandika kivuko cha watu pale kimara mwisho.
Pia hatuoni umuhimu wa mradi huu kwasasa, tungetumia kwanza hizo pesa more than 200 bilion kujenga barabara za goba, tabata, makongo kwanza ili watu wapate altenative routs kabla ya kuanza huo ujenzi wao.
So, it pains as i compare to what other nations are doing.
 
Sometimes ukinyamaza watu hawatajuwa ujinga wako. Tukikuuliza umeona barabara ngapi, utazidi kujivuwa nguo. Safari yako ya Msalala - Dar - Msalala na wewe unasema umeona barabara!!!! Kutembea gharama, ok. Google basi hapohapo ulipokaa uweze kusafiri mails lukuki!!! Everything is at your finger tips, yet una-post huu ----- kwa mbwembwe za kuwakashifu wahandisi. Tuache na BRT yetu bwana.

wewe umetembea na kuona barabara ngapi?
 
Ni vema ungeenda japo south Afrika ukaona mambo yalivyo, kwa mfano unapotoka Pretoria kwenda Mphumalanga una mjini hapo katikati unaitwa Bronkhorstpruit, ukijichanganya ukashindwa kuingia hapo ujue ngoma ni mpaka Witbank ndo utapata njia ya kurudi

Pole, south africa is just still to do more, nenda kaone emerging economies kama singapore, malaysia, brazil uone miundo mbinu ilivo.
 
Mkuu usibeze watu usiowajua as long as jf is where we talk hiddenly,

Kaka ni bora ukaandika kiswahili kama lugha ya malkia mgogoro tungekuelewa..

Unazidi kutupa wasi wasi kwenye hizo degree zako unazodai umesomea dunia ya kwanza..

"Better to remain silent and be thought a fool than to speak out and remove all doubt"

Kwa Mtu alietembea mabara yote hawezi kushangaa bara bara iliyozibwa ili magari yasiingie hadi sehemu maalumu, huko duniani unapopaongelea ndio wanapotoka hawa wanaojenga hizi bara bara na ndio kazi zao zinazowaweka mjini, so hawabahatishi na wanajua wanachokifanya..
 
Nadiriki kusema katika design za barabara nilizowahi kuona, barabara za BRT ndo poorest design ever.

Kweli barabara inawekewa ukuta na bila hata kujali wakazi wa pembeni watahitaji kuvuka au kuingia high way na magari yao!!!!!!!!!!!!! Ni bora hata wangeweka ukuta kwenye barabara zitazotumiwa na mabasi na kutoweka miukuta kwenye public roads.

Eti hawa nao wanajiita wahandisi!!!!!

Mkuu Afrika kusini ni kosa la jinai kwa mtembea kwa miguu kukatiza express highway. Kuna ukuta mkubwa tu kati ya barabara hata gari kufanya U turn huwezi kwa kilomita kadhaa. Hii tabia kila mtu kujitengenezea zebra crossing yake imefikia pabaya hadi watu sasa wanakatiza kati kati ya round about!Wapo sahihi asilimia 100 kuweka ukuta
 
Pole, south africa is just still to do more, nenda kaone emerging economies kama singapore, malaysia, brazil uone miundo mbinu ilivo.

Kwani South si emerging economy? Unajua BRICS? unajua South Africa kwa nguvu za kiuchumi dunian ni ya ngapi?
 
Nadiriki kusema katika design za barabara nilizowahi kuona, barabara za BRT ndo poorest design ever.

Kweli barabara inawekewa ukuta na bila hata kujali wakazi wa pembeni watahitaji kuvuka au kuingia high way na magari yao!!!!!!!!!!!!! Ni bora hata wangeweka ukuta kwenye barabara zitazotumiwa na mabasi na kutoweka miukuta kwenye public roads.

Eti hawa nao wanajiita wahandisi!!!!!
picha tafadhali mkuu
 
Pole, south africa is just still to do more, nenda kaone emerging economies kama singapore, malaysia, brazil uone miundo mbinu ilivo.
Basi nenda kwa majirani zetu uone mfano Thika super highway make nayo ina kuta za kufa mtu
 
Nadiriki kusema katika design za barabara nilizowahi kuona, barabara za BRT ndo poorest design ever.

Kweli barabara inawekewa ukuta na bila hata kujali wakazi wa pembeni watahitaji kuvuka au kuingia high way na magari yao!!!!!!!!!!!!! Ni bora hata wangeweka ukuta kwenye barabara zitazotumiwa na mabasi na kutoweka miukuta kwenye public roads.

Eti hawa nao wanajiita wahandisi!!!!!

another poor design
article-2046818-0E49D53300000578-438_634x433.jpg

and another one....
article-2046818-0E49D5C700000578-973_634x896.jpg
 
Back
Top Bottom