mkuu hiyo wapi mbn hakuna magari? duh
... hata mie nimetembea na kufanya kazi huko nje na ninashukuru Mungu nimeguza kila bara la dunia hii aidha nilipokuwa nafanya higher degrees....
israel siku ya sikukuu za ki-jew huwa hakuna magari barabarani......
![]()
![]()
![]()
Pole, south africa is just still to do more, nenda kaone emerging economies kama singapore, malaysia, brazil uone miundo mbinu ilivo.
Kwani South si emerging economy? Unajua BRICS? unajua South Africa kwa nguvu za kiuchumi dunian ni ya ngapi?
http://en.m.wikipedia.org/wiki/List_of_countries_by_GDP_(PPP)_per_capita
BRT ni ndugu na BRN
Ilikuwa ni mfano ila kote huko tulishapita kakaPole, south africa is just still to do more, nenda kaone emerging economies kama singapore, malaysia, brazil uone miundo mbinu ilivo.
Cwez kuwakosoa Strabag coz project bado inaendelea. BTW hawa jamaa katika macontractor bora duniani wapo kwenye top ten.