Badilisha maelezo yako Mkuu!Ni Kwa "TANZANIA" Mkuu.
MkuuOkay... labda nijulishwe wakifanya ranking wana base kwenye nini hasa...either majengo, waalimu,perfomance au wengi wakimaliza wanaajiriwa right away.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata UDSM chenga kinatoa watu Wana PhD huwezi kuongea kingereza sentensi mbili
Hata Mimi nilikimbilia Mzumbe kusoma hakuna shule pale baada ya kuchoka ugumu wa Udsm nikapooza machungu Mzumbe, baadae nitaenda Bagamoyo huko nimeandaa hela ya kuhonga tu nitasoma kidizaini kwa ugumu wa Maisha haya Walimu rushwa wanapokea sana
NINGESHANGAA SANA MZUMBE KUIZIDI SUA...
View attachment 557090
Link...
Top 50 best Universities and Colleges in Tanzania, 2017: Latest Rankings - Nyakreal.com
Nashukuru sana, na kwa mujibu wa source yangu MU ni cha nne!!
Lakini kuna kitu lazima ujue, huwa wanapanga vyuo kutokana na vigezo kama facilities, research na namba ya wanafunzi!! na ndio maana unaona kuna utofauti!!
Kiuhalisia mzumbe huwezi fananisha na SUA au mzumbe au udsm (no disrespect)!!
Nashukuru sana, na kwa mujibu wa source yangu MU ni cha nne!!
Lakini kuna kitu lazima ujue, huwa wanapanga vyuo kutokana na vigezo kama facilities, research na namba ya wanafunzi!! na ndio maana unaona kuna utofauti!!
Kiuhalisia mzumbe huwezi fananisha na SUA au mzumbe au udsm (no disrespect)!!
Unaongelea SUA gani mkuu? au unaongelea mtaa wa SUA??SUA imejaza DV3 na Div 4 alaf ufananishe na Mliman au Mzumbe?
SUA ujanja na kukalili kilimo, haiwezi compete na Mzumbe wala UD
Chuo cha Vilaza Udom kipo top 5? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We ndie hukuwa na kituUdsm nilisoma bachelor, Mzumbe ile Masters yao MBA nimesoma hapo hakuna kitu Mzumbe
Wenye Pesa Kivip?