Acha dharau kijanaKuna wengine humu wanajisifia et nasoma
UDSM sisomi chuo cha vilaza udom
Kumbe wanasoma bachelor of beekeeping huko udsm kwao....
Udsm sshv ni shimo la taka tuuu...
Akijibu hili nitagKwa Iyo Bagamoyo Ulipata Elimu Nzuri Ya Masters?
Hivi ubora wa chuo unatokana na nini?,si waangalia nyenzo na waalim?,waalim wa UDOM 75% wametoka UDSM,sasa huo ugoi goi unatoka wapi?Hata mimi pia huwa nashangaa hiki chuo wanakiita cha kata but kwenye rank akitoki top 5! na pia unashangaa kcmc inafungiwa MD but udom inasurvive!!
Acha basi kutudanganya,jf iko kitambo kabla ya udom,huyo mwanzilishi wa jf alisoma udom kabla haijaanzishwa?Mambo ya kihaya haya sasa na ndio maana hata hatuendelei kutwa kujisifia ujinga mara udsm mara sua mara mzumbe halafu nn?
Wao wote mnaosoma mbona hamna chochote mnachonmbadili nchi hii mnajisifia nini sasa.
Mbona mnalingana tu na sie tusioenda shule?
Mngekuwa wasomi wenye faida nchi ingeenda china kutafta wataalamu wa IT?
Mtagundua nn cha kusogeza nchi mbele! Kutwa mnajisifia vyuo!
Si bora hata udom waongee maana IT tunawaskia wanafanya yao hata mtandao tu ameweza kuanzisha kijana mmoja pale.nyie misifa tu oooh mie nlisoma mzumbe halafu ikaweje?
Chuo Cha Mzumbe ( Mzumbe University) Ni Cha Pili Kwa Ubora Kikiacha MuhimbilI Nafasi Ya 3.
Nimeona Kwenye Top Ranking Universities
In East Africa 2017
Heko Mzumbe.
Binafsi, Nilikuwa Jirani Wa MU
Yaani Nilisoma Mzumbe Secondary
Ila MU Palikua Sehemu Yetu Ya Kupata Relief.
Hii link yako ina ukakasi,yaani KIU ya goms iipiku DIT kwenye rank?,ni ngumu kumezaNINGESHANGAA SANA MZUMBE KUIZIDI SUA...
View attachment 557090
Link...
Top 50 best Universities and Colleges in Tanzania, 2017: Latest Rankings - Nyakreal.com
Unaongea bila kuleta source! Tukueleweje?Chuo Cha Mzumbe ( Mzumbe University) Ni Cha Pili Kwa Ubora Kikiacha MuhimbilI Nafasi Ya 3.
Nimeona Kwenye Top Ranking Universities
In East Africa 2017
Heko Mzumbe.
Binafsi, Nilikuwa Jirani Wa MU
Yaani Nilisoma Mzumbe Secondary
Ila MU Palikua Sehemu Yetu Ya Kupata Relief.
hakuna kitu mzumbe ama ww ndo hamna kitu.Udsm nilisoma bachelor, Mzumbe ile Masters yao MBA nimesoma hapo hakuna kitu Mzumbe
Bado upo mbali sanaaa sizan kama umeelewaAcha basi kutudanganya,jf iko kitambo kabla ya udom,huyo mwanzilishi wa jf alisoma udom kabla haijaanzishwa?
Acha basi kutudanganya,jf iko kitambo kabla ya udom,huyo mwanzilishi wa jf alisoma udom kabla haijaanzishwa?