Pongezi; Mzumbe University Ranks No. 2 After UDSM

Pongezi; Mzumbe University Ranks No. 2 After UDSM

N..M...nauyeeee, Dr. Eeeee....Nchimbi....nk katafute Thesis zao uone kama zina uhusiano na course zao!

Hao ni baadhi tu!!

JPM KAMATA WEZI
Haa Haa!
Me Sitaki Noah Nyeusi Mkuu.
Kwani Yule Mwa K-y-e Mbe Nae
Vipi? Si Zao La Udsm?
 
Udsm bhana...kudos!

No matter how evil money is,but being broke is not holly.
 
Mambo ya kihaya haya sasa na ndio maana hata hatuendelei kutwa kujisifia ujinga mara udsm mara sua mara mzumbe halafu nn?
Wao wote mnaosoma mbona hamna chochote mnachonmbadili nchi hii mnajisifia nini sasa.
Mbona mnalingana tu na sie tusioenda shule?
Mngekuwa wasomi wenye faida nchi ingeenda china kutafta wataalamu wa IT?
Mtagundua nn cha kusogeza nchi mbele! Kutwa mnajisifia vyuo!
Si bora hata udom waongee maana IT tunawaskia wanafanya yao hata mtandao tu ameweza kuanzisha kijana mmoja pale.nyie misifa tu oooh mie nlisoma mzumbe halafu ikaweje?
 
Hata mimi pia huwa nashangaa hiki chuo wanakiita cha kata but kwenye rank akitoki top 5! na pia unashangaa kcmc inafungiwa MD but udom inasurvive!!
UDOM hakiwezi fungiwa sababu kwa sasa tumehamia dodoma,na serikali pendwa ndo imepiga kambi pale.pamoja na kwamba kabwana mkubwa amewaita vilaza wanaotoka pale
 
NINGESHANGAA SANA MZUMBE KUIZIDI SUA...


Capture.PNG


Link...

Top 50 best Universities and Colleges in Tanzania, 2017: Latest Rankings - Nyakreal.com
 
Hata mimi pia huwa nashangaa hiki chuo wanakiita cha kata but kwenye rank akitoki top 5! na pia unashangaa kcmc inafungiwa MD but udom inasurvive!!
Mkuu Hiyo Ni "Common Misconcepiton" Ya Watu Walio
Jiwekea Udom Kinakuja Vizuri
Tu Sema Kauli Za Yule Mkuu
Wa Hekaya Imewalisha Sumu
Watanzania Wengi Kuita Hiki
Chuo Ni "Kilaza".
 
Back
Top Bottom