Pongezi; Mzumbe University Ranks No. 2 After UDSM

Pongezi; Mzumbe University Ranks No. 2 After UDSM

Mambo ya kihaya haya sasa na ndio maana hata hatuendelei kutwa kujisifia ujinga mara udsm mara sua mara mzumbe halafu nn?
Wao wote mnaosoma mbona hamna chochote mnachonmbadili nchi hii mnajisifia nini sasa.
Mbona mnalingana tu na sie tusioenda shule?
Mngekuwa wasomi wenye faida nchi ingeenda china kutafta wataalamu wa IT?
Mtagundua nn cha kusogeza nchi mbele! Kutwa mnajisifia vyuo!
Si bora hata udom waongee maana IT tunawaskia wanafanya yao hata mtandao tu ameweza kuanzisha kijana mmoja pale.nyie misifa tu oooh mie nlisoma mzumbe halafu ikaweje?
Mkuu Punguza Munkari Kidogo
Lengo La Mada Ni Kupongeza
Chuo Cha Mzumbe Kwa Kasi
Nzuri Wanayokuja Nayo Na
Si Vinginevyo.
 
UDOM hakiwezi fungiwa sababu kwa sasa tumehamia dodoma,na serikali pendwa ndo imepiga kambi pale.pamoja na kwamba kabwana mkubwa amewaita vilaza wanaotoka pale
Mkuu Utaitwa Mchochezi
Kwa Kusema Ukweli.
 
Mkuu Na Heshimu Mchango Wako
Ila Kwa Mujibu Wa Source Yangu
Mzumbe University Ni Cha Pili.
Nashukuru sana, na kwa mujibu wa source yangu MU ni cha nne!!

Lakini kuna kitu lazima ujue, huwa wanapanga vyuo kutokana na vigezo kama facilities, research na namba ya wanafunzi!! na ndio maana unaona kuna utofauti!!

Kiuhalisia mzumbe huwezi fananisha na SUA au mzumbe au udsm (no disrespect)!!
 
Udsm nilisoma bachelor, Mzumbe ile Masters yao MBA nimesoma hapo hakuna kitu Mzumbe
Naweza kukubaliana nawewe kuwa MBA ya Mzumbe hakuna lolote.

Ni ubabaishaji tu, sijui kwa courses zingine
 
Hadi Chuo Cha Kata kipo katika Tano Bora?

Maajabu haya.
 
Nashukuru sana, na kwa mujibu wa source yangu MU ni cha nne!!

Lakini kuna kitu lazima ujue, huwa wanapanga vyuo kutokana na vigezo kama facilities, research na namba ya wanafunzi!! na ndio maana unaona kuna utofauti!!

Kiuhalisia mzumbe huwezi fananisha na SUA au mzumbe au udsm (no disrespect)!!
Mkuu Labda Ni Uhalisia Gani Huo?
 
Hadi Chuo Cha Kata kipo katika Tano Bora?

Maajabu haya.
Declaration Of Interest
Mimi Sio Mwana Udom But Frankly Speaking What If
Una Ndugu Yako Au Mshikaji Wako
Wakaribu Anayesoma Udom Nae
Ni Kilaza?
 
Chuo Cha Mzumbe ( Mzumbe University) Ni Cha Pili Kwa Ubora Kikiachia Muhimbil Nafasi Ya 3i.
Nimeona Kwenye Top Ranking Universities
In East Africa 2017
Heko Mzumbe.
Binafsi, Nilikuwa Jirani Wa MU
Yaani Nilisoma Mzumbe Secondary
Ila MU Palikua Sehemu Yetu Ya Kupata Relief.
Embu kuwa serious, in EAST AFRICA au in Tanzania??
 
Back
Top Bottom