Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 49,734
- 89,333
Kuna uwezekano kwamba na huyu ni miongoni mwa wale wawapigao manesi pale mjini kati Domdom?Sasa simu ya kuingia JF ameitoa wapi?😂😂😂😂Katika Watanzania 4, 1 ni kichaa.
Kuna uwezekano kwamba na huyu ni miongoni mwa wale wawapigao manesi pale mjini kati Domdom?Sasa simu ya kuingia JF ameitoa wapi?😂😂😂😂Katika Watanzania 4, 1 ni kichaa.
Nurse kaporwaKuna uwezekano kwamba na huyu ni miongoni mwa wale wawapigao manesi pale mjini kati Domdom?Sasa simu ya kuingia JF ameitoa wapi?😂😂😂😂
😂😂😂😂jaman
To yuyuuu😂😂😂😂👊
Bado kidogo utaandika yaayaaa ndoho mihayo,ndoho shiida loloo,ndoho gogolooo maamiii! 😂😂😂
Sijaisikia ile sauti nzuri kama ya Malaika. Pascal Mayalla anaiita a sound from within.😂😂😂😂jaman
Mi nikashangaa chap,kimya.Afu nami nipo tee...nikaona enhe,hii ngoma mpaka kesho hiiSijaisikia ile sauti nzuri kama ya Malaika. Pascal Mayalla anaiita a sound from within.
Bhebhe nang'hoooooBado kidogo utaandika yaayaaa ndoho mihayo,ndoho shiida loloo,ndoho gogolooo maamiii! 😂😂😂
Bhebhe shiii!Dah!Aisee!Tangu Kingwendu aijue bhebhe nang'hoooo tunapata shida sana mjini!😂Bhebhe nang'hooooo
MamayoAsabuhi njema.![]()
Pokea changamoto.Usipotoke.Mamayo
Kingwendu? Hivi bado yupo? Sitasahau jinsi Jaffo alivyoiba kura za huyu kiumbe. Aisee Jaffo alipelekeshwa kichiziBhebhe shiii!Dah!Aisee!Tangu Kingwendu aijue bhebhe nang'hoooo tunapata shida sana mjini!😂
Yupo.Mhasibu walimuibia kura zake.Walaaniwe!Kingwendu? Hivi bado yupo? Sitasahau jinsi Jaffo alivyoiba kura za huyu kiumbe. Aisee Jaffo alipelekeshwa kichizi
Bora umemtoa matongotongoHatulipi mahari kwasababu ya kuwashukuru wazazi kwa kumtunza binti. Tunalipa mahari kuonyesha upendo wetu kwa familia na wazazi wa binti.
Na pia mahari ni kama ada ya kiunga undugu.
Labda kama kalogwa, kwa lipi ulokuwa nalo tofauti na 1200?Msimamo wangu, hatutaenda kukaa kwake Mbweni, atakuja kukaa kwangu Mwananyamala kwa Mama Zakaria.
Sistatumia gari yake, tukitaka kusafiri pamoja ni daladala au bajaji au bolt.
Vitegauchumi vyake ni vyake. Wakurya hatuzinguliwagi kiboya
Ni hiihii buku shing bee ya Nyerere au ni ipi hasa?Maana watu mna maneno sana.😂😂😂😂😂Labda kama kalogwa, kwa lipi ulokuwa nalo tofauti na 1200?
Akaende kumfungulia geti na kulisha mbwaNdoa yenyewe haiwez kudumu,sema tu namwombea mwanamke asithubutu kuzaa na huyu kichwa maji