OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,344
moja ya wanachama hai wa uamusho ni maalim seif na mlinzi wake hivyo uamsho ni ccm b
funguka zaidi mkuu craswise!
moja ya wanachama hai wa uamusho ni maalim seif na mlinzi wake hivyo uamsho ni ccm b
Useme ya huku S/wanga kama huyajui.
Nini chanzo cha kutenguliwa uchaguzi?Chanzo cha hayo kuanza kanisani?Ukipata majibu ya maswali hayo utaacha kuchangia vitu usivyojua.
Mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba ameitaka serikali kumuachilia kwa dhamana Sheikh Ponda Issa Ponda kwani amewekwa ndani kinyume na utaratibu.
Prof Lipumba amedai kusema kwamba Sheikh Ponda alihusika na uchomaji wa makanisa ni uongo na kitendo cha kumkamata ndicho kilichochochea vurugu zilizofanyika wiki iliyopita.Amesema ili kurejesha amani na kunusuru nchi kuingia katika mfarakano ni lazima kwanza kiongozi huyo wa waislam aachiliwe huru.
Source:Mwananchi.
Sababu ni zipi?CUF ushahidi ni yale ya Arusha mapokezi ya Lipumba kujadiliwa msikitini.
Dr.Slaa ni padre aliasi,hivyo si padre kwa imani ya kikatoliki na wala haruhusiwi hata kufunga ndoa kanisani.
Lipumba ni mwanasiasa na kiongozi wa chama halali cha upinzani hivyo ana wajibu wa kumtetea raia yeyote anaekamatwa kinyume cha sheria! baya zaidi ni Serikali kumshikilia mtuhumiwa bila ya kumpa dhamana ambayo ni haki ya mtuhumiwa kwa mujibu wa katiba na utawala wa sheria!
La kushangaza hapa Jamii Forum (the Great thinkers) wanaoshabikia Chadema wanafurahia mtuhumiwa kunyimwa dhamana na ikiwa kiongozi wao Slaa au Mbowe au Lema wakikamatwa na Polisi kwa tuhuma za kuchochea machafuko basi kinachofuata ni laana na kauli za kuleta vita hutoka mdomoni mwa wafuasina wakereketwa wa chadema!
Chadema ni wanafiki kwa sababu wamemtuma Profesa safari kutoa kauli kwa niaba yao badala ya Katibu wao mkuu slaa au Mwenyekiti wao Mbowe! leo Lipumba anapomtetea Ponda aachiliwe kwa dhamana mnamtukana! Jee kama mnatetea Serikali hii ya Jk ikamate raia wake na kuwanyima haki yao ya dhamana, Chadema ikishika Serikali patakalika kweli!
Chadema kama wanataka kupata ridhaa ya wananchi haina budi kujiepusha na kauli za mashabiki na baadhi ya viongozi wao wanaonyesha chuki zao dhidi ya Uislamu
Na yule mwingine ni PADRI sema sasa PADRI mpenda totooz fani zinazomfaa ni za kuongoza KONDOO wa BWANA then awafungishe NDOA halafu aje. Kuiba wake zao kwa hilo ameshinda na PADRI mwenyewe ni huyu hapa chini
Lipumba anaishi dunia gani? Hajui kuwa tunajua kuwa yeye Ponda na Farid na Uangusho lao moja? Go to hell Lipumba na uprofesa wako usiokusaidia hadi unawekwa kinyumba kisiasa na Seif ambaye naye kawekwa rumenya na CCM. Ama kweli waso haya wana mji wao!
and this is the next president of the united republic of Tanzaniaaaaaaaa.