Ponda aachiwe mara moja - Lipumba

Mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba ameitaka serikali kumuachilia kwa dhamana Sheikh Ponda Issa Ponda kwani amewekwa ndani kinyume na utaratibu.
Prof Lipumba amedai kusema kwamba Sheikh Ponda alihusika na uchomaji wa makanisa ni uongo na kitendo cha kumkamata ndicho kilichochochea vurugu zilizofanyika wiki iliyopita.Amesema ili kurejesha amani na kunusuru nchi kuingia katika mfarakano ni lazima kwanza kiongozi huyo wa waislam aachiliwe huru.

Source:Mwananchi.

Nilikuwa namkubari sana huyu Prof. Lipumba kumbe naye amejaa pumba kama jina lake. Shame on him.
 
Mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba ameitaka serikali kumuachilia kwa dhamana Sheikh Ponda Issa Ponda kwani amewekwa ndani kinyume na utaratibu.
Prof Lipumba amedai kusema kwamba Sheikh Ponda alihusika na uchomaji wa makanisa ni uongo na kitendo cha kumkamata ndicho kilichochochea vurugu zilizofanyika wiki iliyopita.Amesema ili kurejesha amani na kunusuru nchi kuingia katika mfarakano ni lazima kwanza kiongozi huyo wa waislam aachiliwe huru.

Source:Mwananchi.

Ponda na kundi lake wanashindwa kuheshimu imani za watu wengine lazima ashughulikiwe gaidi hilo
 
Heri CCM waliojikalia kimya ingawa ndio chanzo cha yote haya kuliko hawa chadema na CUF wanaolopokalopoka. CCM wana akili wako kimya wanasuburi Chadema na CUF watafunwe na kauli zao
 
sheria ni msumeno! Tuache sheria ichukue mkondo wake! Hakuna mtu aliyejuu ya sheria! So far sheikh ponda ni mtuhumiwa!
Leo ni eid mubarak,sheikh ponda apelekewe pilau ili nae aufinye.

kwa waislamu sheria ndio inatakiwa kufuata mkondo kwa chadema hapana wanaonewa wacheni propaganda za kichaga
 
Lipumba ni mwanasiasa na kiongozi wa chama halali cha upinzani hivyo ana wajibu wa kumtetea raia yeyote anaekamatwa kinyume cha sheria! baya zaidi ni Serikali kumshikilia mtuhumiwa bila ya kumpa dhamana ambayo ni haki ya mtuhumiwa kwa mujibu wa katiba na utawala wa sheria!

La kushangaza hapa Jamii Forum (the Great thinkers) wanaoshabikia Chadema wanafurahia mtuhumiwa kunyimwa dhamana na ikiwa kiongozi wao Slaa au Mbowe au Lema wakikamatwa na Polisi kwa tuhuma za kuchochea machafuko basi kinachofuata ni laana na kauli za kuleta vita hutoka mdomoni mwa wafuasina wakereketwa wa chadema!

Chadema ni wanafiki kwa sababu wamemtuma Profesa safari kutoa kauli kwa niaba yao badala ya Katibu wao mkuu slaa au Mwenyekiti wao Mbowe! leo Lipumba anapomtetea Ponda aachiliwe kwa dhamana mnamtukana! Jee kama mnatetea Serikali hii ya Jk ikamate raia wake na kuwanyima haki yao ya dhamana, Chadema ikishika Serikali patakalika kweli!

Chadema kama wanataka kupata ridhaa ya wananchi haina budi kujiepusha na kauli za mashabiki na baadhi ya viongozi wao wanaonyesha chuki zao dhidi ya Uislamu
 
Mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba ameitaka serikali kumuachilia kwa dhamana Sheikh Ponda Issa Ponda kwani amewekwa ndani kinyume na utaratibu.
Prof Lipumba amedai kusema kwamba Sheikh Ponda alihusika na uchomaji wa makanisa ni uongo na kitendo cha kumkamata ndicho kilichochochea vurugu zilizofanyika wiki iliyopita.Amesema ili kurejesha amani na kunusuru nchi kuingia katika mfarakano ni lazima kwanza kiongozi huyo wa waislam aachiliwe huru.

Source:Mwananchi.

Msiisumbue serikali..hata ungekuwa wewe mtu anahatarisha amani ya watu mnatuletea siasa hapa...kama prof katoe ushauri wako huko America na UK kama unafikiri ni wa maana
 
Profesa liPUMBA anataka kura za waislam 2015? Elimu haijamkomboa huyu profesa uchwara aliyekuwa mshauri wa uchumi wa mzee Mwinyi!
 
Baada ya kumsikiliza kwa muda naamini sasa kuwa Profesa Nguyuru Lipumba amegeuka kuwa Profesa Pumba. Kazi kwelikweli.
 
Lipumba ni mwanasiasa na kiongozi wa chama halali cha upinzani hivyo ana wajibu wa kumtetea raia yeyote anaekamatwa kinyume cha sheria! baya zaidi ni Serikali kumshikilia mtuhumiwa bila ya kumpa dhamana ambayo ni haki ya mtuhumiwa kwa mujibu wa katiba na utawala wa sheria!

La kushangaza hapa Jamii Forum (the Great thinkers) wanaoshabikia Chadema wanafurahia mtuhumiwa kunyimwa dhamana na ikiwa kiongozi wao Slaa au Mbowe au Lema wakikamatwa na Polisi kwa tuhuma za kuchochea machafuko basi kinachofuata ni laana na kauli za kuleta vita hutoka mdomoni mwa wafuasina wakereketwa wa chadema!

Chadema ni wanafiki kwa sababu wamemtuma Profesa safari kutoa kauli kwa niaba yao badala ya Katibu wao mkuu slaa au Mwenyekiti wao Mbowe! leo Lipumba anapomtetea Ponda aachiliwe kwa dhamana mnamtukana! Jee kama mnatetea Serikali hii ya Jk ikamate raia wake na kuwanyima haki yao ya dhamana, Chadema ikishika Serikali patakalika kweli!

Chadema kama wanataka kupata ridhaa ya wananchi haina budi kujiepusha na kauli za mashabiki na baadhi ya viongozi wao wanaonyesha chuki zao dhidi ya Uislamu
Tatizo hujaelewamada. Chadema inatetea kuwa Ponda ana haki ya kikatiba ya kupata dhamana. Tatizo Lipumba anaenda mbali zaidi kusema Ponda hana hatia wakati yeye si mahakama. Dhamana ni haki ya raia ila kwamba una hatia au la ni swala la kisheria si kisiasa
 
Hivi huyu Bwana si ndio alihusika na kuhamasisha watu wagomee sensa.., na fujo zilitokea kutokana na maandamano / mkusanyiko ambao na yeye alihusika ? au hayo sio makosa kwa mujibu wa sheria zetu ?

I might be wrong lakini nadhani Tanzania is a safer place bila huyu ndugu yetu kuwa uraiani
Lipumba mwenyewe alishiriki kuchangisha pesa ya kutengenezea mabango ya kupinga sensa...wale wale UAMSHO...
 
mda si mrefu kitabadilishiwa usajili kiwe taasii ya dini,ofisi zake zitakuwa makanisa ya kkkt na katoliki, rais ni wa watanzania sio wa kwenu

Angekuwa wa watanzania wote maneno haya yangeepukwa lakini jambo dhahiri ni kwamba Kikwete atatengenezewa muhura mgumu sana wa kumaliza kipindi chake hakuna anaeonyesha anataka kumnusuru hata waislamu wenzake.

kauli kama hizi zinamtenga zaidi Rais na watu wasio wa imani yake na wapagani
 
president? katika ndoto tu za usingizini ataota sana akiwa katika msafara kuingia na kutoka ikulu lakini kwa uhalisi wake ameshachafuka! bora arudi tu Economics dept bado wanamhitaji kwa theories za supply & demand, the law of marginal returns, nk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom