Ponda aachiwe mara moja - Lipumba

Ponda aachiwe mara moja - Lipumba

Unajua majina ya watu huendana na tabia Au mtu mwenyewe alivyo na atakavyokuwa. Mpaka Anapewa jina Pumba Mungu aljua mwenye Hilo jina atakuwa Pumba haswa.
 
mbona lipumba anataka jifanya yeye ni professa wa kila kitu? yeye ni prof wa uchumi... ameshindwa kumshauri rafiki ake jinsi ya kukuza uchumi anaishia kudandia sheria tadhani yeye ni prof wa sheria....aende zake huko siasa imemshinda
 
and this is the next president of the united republic of tanzaniaaaaaaaa.

haki sawa kwa wote. Hii sio nchi ya judgement za kuridhishana. Yaani viongozi wa nchi hii shida kweli. Karibia wote walihemkwa wakaenda kutapeliwa loliondo. Haya kiwapi? Leo tena waote wamehemkwa dhidi ya ponda. Anakwamatwa kwa makosa mengine na anashitakiwa kwa makosa mengine.

Big up Joseph Marando, Big up Professor Safari and Big up Professor Lipumba.
 
Unajua majina ya watu huendana na tabia Au mtu mwenyewe alivyo na atakavyokuwa. Mpaka Anapewa jina Pumba Mungu aljua mwenye Hilo jina atakuwa Pumba haswa.
Jamaa kaongea pumba Kama jina lake
 
Karibu gahawa kama nataka tende au haruwa tapata napata ushungu.
HIVI kwa nini mnwaabudu waarabu? Sitashangaa nikisikia umekuwa suicide bomber kwa sababu kuna mtu kachora katuni inafanana na mudi
 
Ubabe wao dini hiyo na kutopenda utulivu katika kushughulikia mambo kunawakosesha fursa nyingi mno. Heri kama wangetambua wakajipanga upya kwa faida yao na nchi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom