Pombe gani nikinywa haina harufu mdomoni?

Pombe gani nikinywa haina harufu mdomoni?

We piga yoyote hata kina captain Morgan kina jb, jw double black, pushkin, magic moments yaan we piga uwezavyo afu tafuna mdalasin na karafuu ukimeza mate usisahau kula ndizi....full confidence ukiingia interview kwenye unafika unasimama juu ya meza
 
Habari?

Natafuta Pombe ambayo nikinywa haina harufu mdomoni. Namaanisha hata kwenye interview naweza timba nikatoka HR akaniona mnyama bila kushtukia issue kwa hapa TZ.

NB. Kama hujui kaa kimya.
Maji
 
Habari?

Natafuta Pombe ambayo nikinywa haina harufu mdomoni. Namaanisha hata kwenye interview naweza timba nikatoka HR akaniona mnyama bila kushtukia issue kwa hapa TZ.

NB. Kama hujui kaa kimya.
Gongo, viroba
 
Kula jobo moja kisha tafuna majani ya ukindu mmea flani unatumika kusuka mkeka.
Harufu haitasikika confidence kama zote yai mtelezo kama umezaliwa uk!
 
Habari?

Natafuta Pombe ambayo nikinywa haina harufu mdomoni. Namaanisha hata kwenye interview naweza timba nikatoka HR akaniona mnyama bila kushtukia issue kwa hapa TZ.

NB. Kama hujui kaa kimya.
Nchi hii jamani
 
Back
Top Bottom