Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,590
- 11,379
MbegeKunywa yoyote kula na ndizi mbivu alafu timba kibigwa zaidi.
MbegeKunywa yoyote kula na ndizi mbivu alafu timba kibigwa zaidi.
Wazee wa kazi ndo vitu vyetu hivyoMkuu usimshauri hii kitu kma ana kichwa kibovu ataenda kufanya vituko huko kwa interview 😂😂😂😂
Shida ya sungura ana kichefuchefu.Yeah Sungura hafanyaji vile?
Habari?
Natafuta Pombe ambayo nikinywa haina harufu mdomoni. Namaanisha hata kwenye interview naweza timba nikatoka HR akaniona mnyama bila kushtukia issue kwa hapa TZ.
NB. Kama hujui kaa kimya.
Duuh.... Alc 43 sio mchezo kuna nyingne inaitwa tingisha ina balaa lake hyoWazee wa kazi ndo vitu vyetu hivyo
Hiyo unaipata sana usukumani huko, hiyo ndo balaa zaidi, inatingisha kweli.Duuh.... Alc 43 sio mchezo kuna nyingne inaitwa tingisha ina balaa lake hyo
Tingisha ni balaa tupu kam una kichwa kibovu usitumie! Mim sas hv natumia hiz zeny alc ndog km konyag, kvant grants n.k!Hiyo unaipata sana usukumani huko, hiyo ndo balaa zaidi, inatingisha kweli.
Heineken ina hangoverHeineken mkuu, hutanuka mdomo wala hang over
Pombe ina ongeza confidence.Kuto kujiamini ni kitu kibaya..
Yaani mpaka unywe pombe..
Hizi za bei mkia wa mbuzi sio pombe hizi, ukiziendekeza zinakudhalilisha kabisa.Tingisha ni balaa tupu kam una kichwa kibovu usitumie! Mim sas hv natumia hiz zeny alc ndog km konyag, kvant grants n.k!
Kabisaa mkuu... Hata hivyo mim sio mtumiaj kivile huw nazugia mara mojamoja nikiwa sina hela lakin nikijipata vizuri ni mwendo wa jd, john walker, black label,jagermeister na wengine km hao...Hizi za bei mkia wa mbuzi sio pombe hizi, ukiziendekeza zinakudhalilisha kabisa.
Hata hizo konyagi nazo bado ni za kuumiza tu hasa usipozingatia msosi
Na bupe pembeniJaribu Kimpumu! Hii pombe inapatikana Mbeya. Haijawahi kuwa na harufu hata kidogo. Halafu inalewesha kistaarabu.
mnaziHabari?
Natafuta Pombe ambayo nikinywa haina harufu mdomoni. Namaanisha hata kwenye interview naweza timba nikatoka HR akaniona mnyama bila kushtukia issue kwa hapa TZ.
NB. Kama hujui kaa kimya.