Pombe gani nikinywa haina harufu mdomoni?

Pombe gani nikinywa haina harufu mdomoni?

Piga kitu inaitwa JOBO VODKA, hii ina harufu ya chocolate. Ukiipiga hii hamna harufu kabisa popote unaingia.

Ila chunga na uchunge zaidi, ina alc 43 ukizidisha lazma utayumba.
Jobo ikoje? Alcohol na inatengenezwa ap?
 
Habari?

Natafuta Pombe ambayo nikinywa haina harufu mdomoni. Namaanisha hata kwenye interview naweza timba nikatoka HR akaniona mnyama bila kushtukia issue kwa hapa TZ.

NB. Kama hujui kaa kimya.
Pombe maana yake ni kimiminika kilicho chacha na kuchanganywa na ingredients fulani....sasa kitu chochote kikichacha lazima kitoe harufu kwahyo hakuna pombe kama hiyo ambayo haitoi harufu
 
Miluzi mingi inapoteza umbwa

Piga maji ya kilimanjaro nenda interview

Kama nafasi ni yako utapata.

Unaweza kupiga hata gongo kumbe nafasi ashatengewa mtoto wa kigogo fulani acha kujichosha.
 
kuna pombe ilikua inaitwa jebel inanukia wali nazi nadhani itakufaa
 
Mind you, harufu mara nyingi anasikia mtu wa karibu na sio wewe mhusika
Hii ni kweli nakumbuka kuna siku nipo nyumban kwa wazazi nimepiga vitu sas sikutaka wajue km natumia pombe, aiseee mama alihisi tu haruf ya pombe aliponikaribia.
 
Back
Top Bottom