Pombe gani nikinywa haina harufu mdomoni?

Pombe gani nikinywa haina harufu mdomoni?

Habari?

Natafuta Pombe ambayo nikinywa haina harufu mdomoni. Namaanisha hata kwenye interview naweza timba nikatoka HR akaniona mnyama bila kushtukia issue kwa hapa TZ.

NB. Kama hujui kaa kimya.
Inaitwa pombe maji.
 
Kula mjani alafu swaki fresh utafune na pk,utafutee miwan ya kijanjaa km ya macho hv uvae uingie Kwenye interview..

Ila uwe makin kusikiliza maswal na unavyojibu usije changanyaa kujibu ma swal ya interview km unavyojibu msela wako maskani[emoji23][emoji23]
Bro mjani nasikia unakaa kichwani 7yrs sijui ni kweli nataka kulewa siku moja
 
Back
Top Bottom