Mimi ni kijana wa kiume, na wanasemaga walimwengu kua ujana maji ya moto, nahitaji kujua vitu ambavyo huenda sivijui, utanisaidia kujaza kwenye comment π
POMBE UKINYWA KUPITA KIASI
π Husababisha ajali
π Matusi
π Kudhalilika [ kujinyea, kujikojolea, kutapika, kuropoka]
π Kulawitiwa ama kuibiwa
π Kugongewa ama kushindwa kucheza show vizuri
π Kukoroma na kulala kama zombie na kupoteza kumbukumbu
π ?
π ?
BANGI UKIVUTA KUPITA KIASI
π
π
π
Nitajie madhara yake 6 π
Kama ulivyo kwenye pombe πΊ
Wanasayansi na watafiti wanadai kua
POMBE π
Hukimbilia chini zaidi 75% tofauti na sehemu nyingine hivyo hukufanya uwe na nyege za kipuuzi ikapelekea kulala na demu yeyote yule ukiamka ahsubuhi ndio unajiuliza nimeopoa hili bibi mida gani π€.
Pia mwili kuchoka hasa wakati wa kuamka
BANGI π
Asilimia kubwa Hukimbilia kichwani Tofauti na sehemu nyingine
Je ikikimbilia kichwani unawaza hustle za ku pambana na maisha na kuwaza overthink ukiwepo mipango ya maisha yako na harakati, mtu anaevuta hawazi umalaya, pia hujiuliza maswali makali kuhusu chochote tu
Mf π kwan upendo ni nn
Ni aliesema tuchinje kuku na mbuzi lakini tufuge mbwa na paka
Mf π hapo mwanzo kwa kuumbwa dunia je adamu na Hawa walikua peke yako kweli,
Je kama ni kweli mbona tumeongezeka wengi duniani, je! Watoto wao walioana wakazaa ndio dunia ikaongezeka watu au waliumbwa wengine wengi
NAOMBENI MAJIBU KWENYE COMMENT
Madhara 6 ya BANGI π
POMBE UKINYWA KUPITA KIASI
π Husababisha ajali
π Matusi
π Kudhalilika [ kujinyea, kujikojolea, kutapika, kuropoka]
π Kulawitiwa ama kuibiwa
π Kugongewa ama kushindwa kucheza show vizuri
π Kukoroma na kulala kama zombie na kupoteza kumbukumbu
π ?
π ?
BANGI UKIVUTA KUPITA KIASI
π
π
π
Nitajie madhara yake 6 π
Kama ulivyo kwenye pombe πΊ
Wanasayansi na watafiti wanadai kua
POMBE π
Hukimbilia chini zaidi 75% tofauti na sehemu nyingine hivyo hukufanya uwe na nyege za kipuuzi ikapelekea kulala na demu yeyote yule ukiamka ahsubuhi ndio unajiuliza nimeopoa hili bibi mida gani π€.
Pia mwili kuchoka hasa wakati wa kuamka
BANGI π
Asilimia kubwa Hukimbilia kichwani Tofauti na sehemu nyingine
Je ikikimbilia kichwani unawaza hustle za ku pambana na maisha na kuwaza overthink ukiwepo mipango ya maisha yako na harakati, mtu anaevuta hawazi umalaya, pia hujiuliza maswali makali kuhusu chochote tu
Mf π kwan upendo ni nn
Ni aliesema tuchinje kuku na mbuzi lakini tufuge mbwa na paka
Mf π hapo mwanzo kwa kuumbwa dunia je adamu na Hawa walikua peke yako kweli,
Je kama ni kweli mbona tumeongezeka wengi duniani, je! Watoto wao walioana wakazaa ndio dunia ikaongezeka watu au waliumbwa wengine wengi
NAOMBENI MAJIBU KWENYE COMMENT
Madhara 6 ya BANGI π