Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,545
- 2,175
Wanasiasa hasa Wa Upinzani naomba mpitie huu Uzi kwa makini sana,
MADA :"Politics is a game of dynamics,Urais,Ubunge,Udiwani turufu ni CCM na TLP Tu,Siasa za Itikadi Tanzania hazipo tena! kikubwa mkono uende kinywani tu"
Jana nimefuatalia kwa kina Mkutano Mkuu Maalum Wa CCM uliofabyika Jijini Dodoma,
Massa 24 baada ya mkutano mkuu ule Naomba kuutangazia Umma kupitia Jukwaa hili mambo yafuatayo;-
1. Tangu CCM iingie madarakani kwa mara ya kwanza imefanikiwa kuwa "CCM MOJA" na ushahidi ni kura 1,822 sawa na 100% alizopata Dk John Magufuli mgombea toka CCM, kumbukeni kinachowadhoofisha CCM wakati wakati wote ni disunity tu hili wamelishinda mwaka huu,
2. Upinzani wasipokuwa makini hawataambulia hata Kata moja hasa CHADEMA na ACT-Wazalendo kwani agenda zao za kumsema vibaya Rais Magufuli ni kama zimekataliwa na Umma hivyo lazima waje na Agenda mpya zenye mashiko na wasimguse kabisa Rais Magufuli kwenye majukwaa yao,
3. Chama cha Mrema kinaonekana kumfurahisha sana Rais Magufuli hasa kwa Sera yake ya Kumtangaza yeye kuwa ndie Mgombea watakao mnadi nchi nzima hivyo huenda TLP ikafanywa Chama Kikuu Cha Upinzani ili kutafsiri uwepo Wa demokrasia ya vyama vingi nchini, Nyie mnaotaka kuwa wabunge na madiwani Wa kupiga makofi ovyo bungeni gombeeni kupitia CCM au TLP mtapita,
4. Wapinzani wasipoungana na kuweka Rais mmoja jumla ya kura zao haziwezi kufika 5% ya kura zote zitakazopigwa ili wafanikiwe zaidi asimame Mhe Bernard Kamilius Membe vinginevyo watapoteana tarehe 25/10/2020 saa 2 Usiku,
5. Rais Magufuli anakuwa Rais Wa Kwanza Tanzania kushinda kwa zaidi ya 90% huu ni Ukweli mchungu kwa wanasiasa hasa Wa Upinzani ila lazima litatokea tu dalili zote zinaonesha, Nashauri Jipangeni kwa 2025,
Ni Jabali la Siasa za Nchi,
Kwa sasa safarini kuelekea Dodoma,
MADA :"Politics is a game of dynamics,Urais,Ubunge,Udiwani turufu ni CCM na TLP Tu,Siasa za Itikadi Tanzania hazipo tena! kikubwa mkono uende kinywani tu"
Jana nimefuatalia kwa kina Mkutano Mkuu Maalum Wa CCM uliofabyika Jijini Dodoma,
Massa 24 baada ya mkutano mkuu ule Naomba kuutangazia Umma kupitia Jukwaa hili mambo yafuatayo;-
1. Tangu CCM iingie madarakani kwa mara ya kwanza imefanikiwa kuwa "CCM MOJA" na ushahidi ni kura 1,822 sawa na 100% alizopata Dk John Magufuli mgombea toka CCM, kumbukeni kinachowadhoofisha CCM wakati wakati wote ni disunity tu hili wamelishinda mwaka huu,
2. Upinzani wasipokuwa makini hawataambulia hata Kata moja hasa CHADEMA na ACT-Wazalendo kwani agenda zao za kumsema vibaya Rais Magufuli ni kama zimekataliwa na Umma hivyo lazima waje na Agenda mpya zenye mashiko na wasimguse kabisa Rais Magufuli kwenye majukwaa yao,
3. Chama cha Mrema kinaonekana kumfurahisha sana Rais Magufuli hasa kwa Sera yake ya Kumtangaza yeye kuwa ndie Mgombea watakao mnadi nchi nzima hivyo huenda TLP ikafanywa Chama Kikuu Cha Upinzani ili kutafsiri uwepo Wa demokrasia ya vyama vingi nchini, Nyie mnaotaka kuwa wabunge na madiwani Wa kupiga makofi ovyo bungeni gombeeni kupitia CCM au TLP mtapita,
4. Wapinzani wasipoungana na kuweka Rais mmoja jumla ya kura zao haziwezi kufika 5% ya kura zote zitakazopigwa ili wafanikiwe zaidi asimame Mhe Bernard Kamilius Membe vinginevyo watapoteana tarehe 25/10/2020 saa 2 Usiku,
5. Rais Magufuli anakuwa Rais Wa Kwanza Tanzania kushinda kwa zaidi ya 90% huu ni Ukweli mchungu kwa wanasiasa hasa Wa Upinzani ila lazima litatokea tu dalili zote zinaonesha, Nashauri Jipangeni kwa 2025,
Ni Jabali la Siasa za Nchi,
Kwa sasa safarini kuelekea Dodoma,