Siasa za mtandaoni na mtaani ni tofauti!

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,601
Kuna baadhi ya mambo ukiyaangalia juujuu bila kufungua mlango wa sita wa fahamu kuyafahamu zaidi, unaweza kuhisi ndivyo yalivyo.

Moja ya mambo hayo ni siasa zetu huku mitandaoni na mitaani. Kwa mara ya kwanza kama hujawahi kabisa kufuatilia siasa na ukaanza kuzifuatilia mitandaoni, utagundua yafuatayo:

Kwanza, utagundua CCM ndio chama Cha upinzani na Upinzani ndio umeshika Dola lakini katika uhalisia mitaani kuna watu hawamfahamu hata kiongozi wa chama kikuu cha upinzani lakini wanawafahamu viongozi wa chini wa CCM.

Pili, utagundua CCM kimejifia zamani na limebaki jina tu lakini katika uhalisia mitaani ni upinzani uliojifia limebaki jina tu.

Tatu, unaweza kuhisi CCM hakuna demokrasia lakini katika uhalisia mitaani demokrasia ya CCM inaaminiwa mno.

Nne, unaweza kuhisi upinzani una sera nzuri na wangekuwa wao madarakani sera zao zingetupeleka nchi ya ahadi lakini katika uhalisia mitaani wengi wanaziona sera za upinzani ni za kilaghai na wengi wanajiuliza kama ubunge na udiwani walishindwa ,vipi kwingine?

Tano, unaweza kuhisi yanayosemwa juu ya nchi kuuzwa ni kweli lakini katika uhalisia mitaani watu wanauliza kama nchi imeuzwa na wanaosema imeuzwa wapo humuhumu na Kila siku wananunua ardhi ,je wananunuaje kitu ambacho kimeuzwa? Je, na wenyewe wameuzwa pamoja na nchi?

Six, unaweza kuhisi Mbowe ni Rais, Lissu ni Makamu wa Rais na wengine ndio wameshika madaraka lakini mtaani wanaowafahamu Mbowe na Lissu ni wakina nani hasa ,ni wale waliobahatika kuwafahamu mitandaoni.

Hayo ndio machache katika mengi, utakayokutana nayo mitandaoni lakini ukweli ni kwamba:

Mitandaoni kuna mtu anakuwa na ID hata 10, ID moja ikitumika kuandika mada ID 9 zilizobaki zitatumika ku-comment na ku-like na kikundi cha watu 50 mitandaoni kinaweza kuchafua hali ya hewa maana zitaonekana comments 500.

Mitandaoni wengi ni watoto na siasa zinafanywa na watoto ambao wengi wao hawajatimiza hata umri wa kupiga kura lakini siasa za mtaani ni ngumu kufanywa na watoto.

Kuna mifano kadhaa juu ya ukweli wa hoja yangu. Kuna baadhi ya matukio yaliratibiwa mitandaoni lakini yakashindwa kukamilishwa kwenye uhalisia Kwa sababu zilizosemwa hapo juu.

Wito, siasa za mitaani sio suala jepesi hata kidogo na ndio kipimo cha uimara wa chama cha siasa, vyama visijifiche nyuma ya mitandao.

Ndio maana naendelea kuamini kwamba sio leo wala kesho CCM kutolewa madarakani kwa sababu CCM hakihitaji kuungwa mkono na maroboti. Nasema maroboti kwa sababu AI itafanya kazi za watu halisi.

CCM kina hitaji kumfikia Kila mtu na kueneza sera zake. Inatumia mitandao kama kiwezeshi cha kufikia watu na sio mbadala.
 
Kuna baadhi ya mambo ukiyaangalia juujuu bila kufungua mlango wa sita wa fahamu kuyafahamu Zaidi, unaweza kuhisi ndivyo yalivyo.

Moja ya mambo hayo, ni siasa zetu huku mitandaoni na mitaani. Kwa mara ya kwanza kama hujawahi kabisa kufuatilia siasa na ukaanza kuzifuatilia mitandaoni, utagundua yafuatayo:

Kwanza, utagundua CCM ndio chama Cha upinzani na Upinzani ndio umeshika Dola lakini katika uhalisia mitaani kuna watu hawamfahamu hata kiongozi wa chama kikuu Cha upinzani lakini wanawafahamu viongozi wa chini wa CCM.

Pili, utagundua CCM kimejifia zamani na limebaki jina tu lakini katika uhalisia mitaani ni upinzani uliojifia limebaki jina tu.

Tatu, unaweza kuhisi CCM hakuna demokrasia lakini katika uhalisia mitaani demokrasia ya CCM inaaminiwa mno.

Nne, unaweza kuhisi upinzani una sera nzuri na wangekuwa wao madarakani sera zao zingetupeleka nchi ya ahadi lakini katika uhalisia mitaani wengi wanaziona sera za upinzani ni za kilaghai na wengi wanajiuliza kama ubunge na udiwani walishindwa ,vipi kwingine?

Tano, unaweza kuhisi yanayosemwa juu ya nchi kuuzwa ni kweli lakini katika uhalisia mitaani watu wanauliza kama nchi imeuzwa na wanaosema imeuzwa wapo humuhumu na Kila siku wananunua ardhi ,je wananunuaje kitu ambacho kimeuzwa? Je, na wenyewe wameuzwa pamoja na nchi?

Six, unaweza kuhisi Mbowe ni Rais, Lissu ni Makamu wa Rais na wengine ndio wameshika madaraka lakini mtaani wanaowafahamu Mbowe na Lissu ni wakina nani hasa ,ni wale waliobahatika kuwafahamu mitandaoni.

Hayo ndio machache katika mengi, utakayokutana nayo mitandaoni lakini ukweli ni kwamba:

Mitandaoni ,kuna mtu anakuwa na ID hata 10 , ID moja ikitumika kuandika mada ID 9 zilizobaki zitatumika ku-comment na ku-like na kikundi Cha watu 50 mitandaoni kinaweza kuchafua hali ya hewa maana zitaonekana comments 500.

Mitandaoni wengi ni watoto na siasa zinafanywa na watoto ambao wengi wao hawajatimiza hata umri wa kupiga kura lakini siasa za mtaani ni ngumu kufanywa na watoto.

Kuna mifano kadhaa juu ya ukweli wa hoja yangu. Kuna baadhi ya matukio yaliratibiwa mitandaoni lakini yakashindwa kukamilishwa kwenye uhalisia Kwa sababu zilizosemwa hapo juu.

Wito, siasa za mitaani sio suala jepesi hata kidogo na ndio kipimo Cha uimara wa chama Cha siasa, vyama visijifiche nyuma ya mitandao.

Ndio maana naendelea kuamini kwamba SIO LEO WALA KESHO CCM KUTOLEWA MADARAKANI Kwa sababu:

CCM hakihitaji kuungwa mkono na maroboti. Nasema maroboti Kwa sababu AI itafanya kazi za watu halisi.

CCM kina hitaji kumfikia Kila mtu na kueneza sera zake. Inatumia mitandao kama kiwezeshi Cha kufikia watu na sio mbadala.
Nimefanya uchunguzi kwa familia yangu,wote hawampendi mama hasa wamekelwa na swala la uuzaji wa bandari mama kajiharibia sana
 
Umeandika mambo ya msingi ila kama kawaida ya wajinga wa mtandaoni watakushukia kama mwewe, we ngoja endelea tu kusoma comments.....
 
Kuna baadhi ya mambo ukiyaangalia juujuu bila kufungua mlango wa sita wa fahamu kuyafahamu Zaidi, unaweza kuhisi ndivyo yalivyo.

Moja ya mambo hayo, ni siasa zetu huku mitandaoni na mitaani. Kwa mara ya kwanza kama hujawahi kabisa kufuatilia siasa na ukaanza kuzifuatilia mitandaoni, utagundua yafuatayo:

Kwanza, utagundua CCM ndio chama Cha upinzani na Upinzani ndio umeshika Dola lakini katika uhalisia mitaani kuna watu hawamfahamu hata kiongozi wa chama kikuu Cha upinzani lakini wanawafahamu viongozi wa chini wa CCM.

Pili, utagundua CCM kimejifia zamani na limebaki jina tu lakini katika uhalisia mitaani ni upinzani uliojifia limebaki jina tu.

Tatu, unaweza kuhisi CCM hakuna demokrasia lakini katika uhalisia mitaani demokrasia ya CCM inaaminiwa mno.

Nne, unaweza kuhisi upinzani una sera nzuri na wangekuwa wao madarakani sera zao zingetupeleka nchi ya ahadi lakini katika uhalisia mitaani wengi wanaziona sera za upinzani ni za kilaghai na wengi wanajiuliza kama ubunge na udiwani walishindwa ,vipi kwingine?

Tano, unaweza kuhisi yanayosemwa juu ya nchi kuuzwa ni kweli lakini katika uhalisia mitaani watu wanauliza kama nchi imeuzwa na wanaosema imeuzwa wapo humuhumu na Kila siku wananunua ardhi ,je wananunuaje kitu ambacho kimeuzwa? Je, na wenyewe wameuzwa pamoja na nchi?

Six, unaweza kuhisi Mbowe ni Rais, Lissu ni Makamu wa Rais na wengine ndio wameshika madaraka lakini mtaani wanaowafahamu Mbowe na Lissu ni wakina nani hasa ,ni wale waliobahatika kuwafahamu mitandaoni.

Hayo ndio machache katika mengi, utakayokutana nayo mitandaoni lakini ukweli ni kwamba:

Mitandaoni ,kuna mtu anakuwa na ID hata 10 , ID moja ikitumika kuandika mada ID 9 zilizobaki zitatumika ku-comment na ku-like na kikundi Cha watu 50 mitandaoni kinaweza kuchafua hali ya hewa maana zitaonekana comments 500.

Mitandaoni wengi ni watoto na siasa zinafanywa na watoto ambao wengi wao hawajatimiza hata umri wa kupiga kura lakini siasa za mtaani ni ngumu kufanywa na watoto.

Kuna mifano kadhaa juu ya ukweli wa hoja yangu. Kuna baadhi ya matukio yaliratibiwa mitandaoni lakini yakashindwa kukamilishwa kwenye uhalisia Kwa sababu zilizosemwa hapo juu.

Wito, siasa za mitaani sio suala jepesi hata kidogo na ndio kipimo Cha uimara wa chama Cha siasa, vyama visijifiche nyuma ya mitandao.

Ndio maana naendelea kuamini kwamba SIO LEO WALA KESHO CCM KUTOLEWA MADARAKANI Kwa sababu:

CCM hakihitaji kuungwa mkono na maroboti. Nasema maroboti Kwa sababu AI itafanya kazi za watu halisi.

CCM kina hitaji kumfikia Kila mtu na kueneza sera zake. Inatumia mitandao kama kiwezeshi Cha kufikia watu na sio mbadala.
Unaandika ukiwa umeinama na nani akiwa nyuma yako? Mwarabu wa DP world?
 
If course,huo ndio uhalisia
Ukiingia ndani ndani huko vijijini,vyama vya upinzani havifahamiki
Upinzani unajikita Zaidi mitandaoni ambako kuna wapiga wachache Zaidi
Asilimia 60 ya Tanzania Ni vijijini ,huko ndipo walipo wapiga Kura waaminifu wa CCM
Wapinzani inawapasa walifahamu Hilo na kulifanyia kazi
 
Kuna baadhi ya mambo ukiyaangalia juujuu bila kufungua mlango wa sita wa fahamu kuyafahamu Zaidi, unaweza kuhisi ndivyo yalivyo.

Moja ya mambo hayo, ni siasa zetu huku mitandaoni na mitaani. Kwa mara ya kwanza kama hujawahi kabisa kufuatilia siasa na ukaanza kuzifuatilia mitandaoni, utagundua yafuatayo:

Kwanza, utagundua CCM ndio chama Cha upinzani na Upinzani ndio umeshika Dola lakini katika uhalisia mitaani kuna watu hawamfahamu hata kiongozi wa chama kikuu Cha upinzani lakini wanawafahamu viongozi wa chini wa CCM.

Pili, utagundua CCM kimejifia zamani na limebaki jina tu lakini katika uhalisia mitaani ni upinzani uliojifia limebaki jina tu.

Tatu, unaweza kuhisi CCM hakuna demokrasia lakini katika uhalisia mitaani demokrasia ya CCM inaaminiwa mno.

Nne, unaweza kuhisi upinzani una sera nzuri na wangekuwa wao madarakani sera zao zingetupeleka nchi ya ahadi lakini katika uhalisia mitaani wengi wanaziona sera za upinzani ni za kilaghai na wengi wanajiuliza kama ubunge na udiwani walishindwa ,vipi kwingine?

Tano, unaweza kuhisi yanayosemwa juu ya nchi kuuzwa ni kweli lakini katika uhalisia mitaani watu wanauliza kama nchi imeuzwa na wanaosema imeuzwa wapo humuhumu na Kila siku wananunua ardhi ,je wananunuaje kitu ambacho kimeuzwa? Je, na wenyewe wameuzwa pamoja na nchi?

Six, unaweza kuhisi Mbowe ni Rais, Lissu ni Makamu wa Rais na wengine ndio wameshika madaraka lakini mtaani wanaowafahamu Mbowe na Lissu ni wakina nani hasa ,ni wale waliobahatika kuwafahamu mitandaoni.

Hayo ndio machache katika mengi, utakayokutana nayo mitandaoni lakini ukweli ni kwamba:

Mitandaoni ,kuna mtu anakuwa na ID hata 10 , ID moja ikitumika kuandika mada ID 9 zilizobaki zitatumika ku-comment na ku-like na kikundi Cha watu 50 mitandaoni kinaweza kuchafua hali ya hewa maana zitaonekana comments 500.

Mitandaoni wengi ni watoto na siasa zinafanywa na watoto ambao wengi wao hawajatimiza hata umri wa kupiga kura lakini siasa za mtaani ni ngumu kufanywa na watoto.

Kuna mifano kadhaa juu ya ukweli wa hoja yangu. Kuna baadhi ya matukio yaliratibiwa mitandaoni lakini yakashindwa kukamilishwa kwenye uhalisia Kwa sababu zilizosemwa hapo juu.

Wito, siasa za mitaani sio suala jepesi hata kidogo na ndio kipimo Cha uimara wa chama Cha siasa, vyama visijifiche nyuma ya mitandao.

Ndio maana naendelea kuamini kwamba SIO LEO WALA KESHO CCM KUTOLEWA MADARAKANI Kwa sababu:

CCM hakihitaji kuungwa mkono na maroboti. Nasema maroboti Kwa sababu AI itafanya kazi za watu halisi.

CCM kina hitaji kumfikia Kila mtu na kueneza sera zake. Inatumia mitandao kama kiwezeshi Cha kufikia watu na sio mbadala.
Mitandao maada yako haina mashiko ila mtaani hata hawajui unasema nn.
 
Siasa za bongo ni kweli za kilaghai,siasa za CCM kuwanunua upinzani kwa lugha ya kuunga mkono juhudi zimewakatisha watu tamaa ya kufatilia siasa.

leo hii mikutano ya CCM na ya upinzani haina nyomi kama la miaka ya nyuma.kwanini nipoteze muda kwenda kwenye mikutano wakati hata akishinda aliyechaguliwa na sisi wapiga kura hatangazwi anatangazwa mwingine!.
 
Nimesoma juujuu nikafika namba tano nikajua nilikosea kusoma jujuu nimepoteza mudaa
 
Ccm siku ikiwagomea wazungu kuchua rasilimali za nchi wanafekewa mbali. Hicho ndicho kinacho fanya waendelee kutawala wamekubali kulala bila kuo ili kutimiza haja za mabawana zao na wao waambulie kutawala ndiyo maana hawakuona shida kumto sadaka yule wakulitafuta.
 
Ulichokosea ni kuhukumu vyama pinzani, wakati hata urais wenyewe au uongozi wa ngazi za juu hamtaki kuwapatia. Tutajua je kama vyama pinzani vinaweza wakati madaraka yote Mnayo nyie. Hata hao wapinzani wakipata Ubunge au Udiwani, hampeleki maendeleo kwenye majimbo yao.
 
Back
Top Bottom