babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,398
- 3,244
Nakutaka radhi wewe na D wetuNitake radhi Asprin😅😅😅
Mmh!
Mbona kuna msiba mmoja wa yule dada aliyepelekwa Kagera, ndugu iliwalazimu kupitisha bakuli ili kuokoa jahazi?
Chanzo cha hii taarifa?Serikali iliwakumbuka kwa rambirambi na kugharamia misiba na mazishi hata kwa aliyesafirishwa
Marehemu wote walale mahala pema amen🙏
Binadamu n wanafiki Sana mkuu ukiwa na mamlaka utatukuzwa usipokuwa nayo utadhihakiwa DEO SANGA "JAH PEOPLE" Leo anasema mama SAMIA n jembe tulilolitarajiaMkuu si ulikuwa unamsupport Jiwe au kumbukumbu zangu zimepwaya?
Hata hiyo hongera kwa kumkaanga sasahivi kisa hayupo
Wamefariki wengi zaidi. Kuna jamaa alikuwa anamtafuta ndugu yake akasema Ilala, Muhimbili na Temeke nyumba za maiti zilikuwa zimejaa na wengine wakawekwa chini. Alisema ni around 100. Walifariki wengi sana. Wamesubiri mpaka mambo yakapoa ndiyo wakatangaza na kutangaza kwake ni kwa dizaini ya kuficha.Hawa ni watu wengi Sana walistshili serikali itoe japo rambirambi kuwafuta machozi.
Huu pia ni uzembe wa polisi na watu kukimbilia matukio yasiyo na faida kwao