Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,954
- 122,245
HahahahahaaaKwa hiyo mtoa mada ana tabia kama za Gwajima na Msukuma! Leo yuko kwa Lowasa, kesho anamkana Lowasa na kumkumbatia mahufuli.
HahahahahaaaKwa hiyo mtoa mada ana tabia kama za Gwajima na Msukuma! Leo yuko kwa Lowasa, kesho anamkana Lowasa na kumkumbatia mahufuli.
Aisee mwendazake kaondoka na watu wengi sana...Mkuu si ulikuwa unamsupport Jiwe au kumbukumbu zangu zimepwaya?
Hata hiyo hongera kwa kumkaanga sasahivi kisa hayupo
Usishangae kina sabaya washaanza kujipendekeza ndo hulka ya wapambeMkuu si ulikuwa unamsupport Jiwe au kumbukumbu zangu zimepwaya?
Hata hiyo hongera kwa kumkaanga sasahivi kisa hayupo
Uhuru wa habari unarejea mdogomdogoIngekuwa enzi za marehemu magufuli hizo taarifa zisingethubutu kutolewa
Mmh!
Mbona kuna msiba mmoja wa yule dada aliyepelekwa Kagera, ndugu iliwalazimu kupitisha bakuli ili kuokoa jahazi?
Mungu mwema hakika katuepusha na mdomo wa nduliUhuru wa habari unarejea mdogomdogo
Ahsante Mungu kwa kutufanyia wepesi
So wewe mwanafamilia uliyesafirishwa Iringa una taarifa za misiba yote 44?Hakuna dada aliyepelekwa Kagera.....
Yule binti amesafirishwa na serikali hadi kwao iringa, na serikali ndio imegharamia kila kitu tangu msiba wenyewe hapa na kijijini kwao, jeneza, mavazi na kusafirisha waombolezaji
Hao waliokupitishia bakuli wamekutapeli sababu sisi kama familia na ndugu hatukufanya hivyo
Mama D unawajua wendazao wote 45 waliotangulia siku wakimuaga mwendazake ?Hakuna dada aliyepelekwa Kagera.....
Yule binti amesafirishwa na serikali hadi kwao iringa, na serikali ndio imegharamia kila kitu tangu msiba wenyewe hapa na kijijini kwao, jeneza, mavazi na kusafirisha waombolezaji
Hao waliokupitishia bakuli wamekutapeli sababu sisi kama familia na ndugu hatukufanya hivyo
Mkuu upo kama Uyoga leo ni Mboga kesho ni Sumu..😂😂😂😂😂😂Mbaya sana kwa kweli!
DC na RC bado wako ofisini?
Nawajua 06 tuu mkuuMama D unawajua wendazao wote 45 waliotangulia siku wakimuaga mwendazake ?
Sasa najuaje wote, mimi niliwajua waliokua watu wanguSo wewe mwanafamilia uliyesafirishwa Iringa una taarifa za misiba yote 44?
Basi huoni inawezekana mkawa mnawazungumzia wendazao wawili tofauti? Huyo wa Kenya labda ni kweli hakusaidiwa...Nawajua 06 tuu mkuu
Basi huoni inawezekana mkawa mnawazungumzia wendazao wawili tofauti? Huyo wa Kenya labda ni kweli hakusaidiwa...
Umesema serikali imegharamia misiba yote mpaka iliyosafirishwa.Sasa najuaje wote, mimi niliwajua waliokua watu wangu
Kila msiba hujulikana na watu wa karibu na marehemu
Hapo ndo napotatizika mama... maana huwezi jua kwenye misiba mingine hao watu wa serikali walichikichia hela hazikufika kwa walengwa. Unless uniambie wewe ndo ulikuwa mtu wa serikali na una uhakika ulizifikisha kwenye kila msiba...Ambalo silijui siwezi kuliongelea
Ila kwa hiki ninachokijua mimi ni kwamba wafiwa wakiwa kwenye taharuki walipokea wajumbe wa serikali ambao walibeba majukumu yote
Unaweza sema mtu hakusaidiwa kumbe msaada ulitoka wale wasiokua na utu wakazitafuna
Binadamu wazito Asprin
Nimejibu kwa 6 ninaowajua, na kwa maelekezo ni kwamba misiba yote ilibebwa na serikali.Umesema serikali imegharamia misiba yote mpaka iliyosafirishwa.
Kuna member akauliza mbona kulikua na bakuli la kusafirisha mwili Kagera....
Wengi sana sasa wameanza kukiri makosaMkuu si ulikuwa unamsupport Jiwe au kumbukumbu zangu zimepwaya?
Hata hiyo hongera kwa kumkaanga sasahivi kisa hayupo
Nitake radhi Asprin😅😅😅Hapo ndo napotatizika mama... maana huwezi jua kwenye misiba mingine hao watu wa serikali walichikichia hela hazikufika kwa walengwa. Unless uniambie wewe ndo ulikuwa mtu wa serikali na una uhakika ulizifikisha kwenye kila msiba...
Alipominya magazeti ambayo hayafiki kila sehemu, akazalisha linalofika kila sehemu..