Hakuna ajualo buku 7 huyo.Umesema serikali imegharamia misiba yote mpaka iliyosafirishwa.
Kuna member akauliza mbona kulikua na bakuli la kusafirisha mwili Kagera...
Wamezoea kuficha ficha hata visivyofichika.
Hakuna ajualo buku 7 huyo.Umesema serikali imegharamia misiba yote mpaka iliyosafirishwa.
Kuna member akauliza mbona kulikua na bakuli la kusafirisha mwili Kagera...
Mimi silalamiki actually nimeuliza kwakua kwa ulichoandika kinamaanisha upo katika ile kamati ya Maafa so nilikua nataka kuthibitisha ninachokihisi.Nimejibu kwa 6 ninaowajua, na kwa maelekezo ni kwamba misiba yote ilibebwa na serikali
Kabla ya kulalamika hapa kaulizeni kwa wafiwa na vyombo kama kuna maiti haukusafirishwa
Usitie neno kila mahala bila kuujua ukweli
Tutaona mengi huu ni mwanzo tu.Wengi sana sasa wameanza kukiri makosa
Sipo kwenye kamati mkuuMimi silalamiki actually nimeuliza kwakua kwa ulichoandika kinamaanisha upo katika ile kamati ya Maafa so nilikua nataka kuthibitisha ninachokihisi.
Kuna mtu ni lazima atazifichua tu zilipoTutaona mengi huu ni mwanzo tu.
Mimi bado naziwazia zile CCTV za area D.
Pole kwa kufiwa.Sipo kwenye kamati mkuu
Mimi ni mwananchi mhanga wa hilo tukio
So rambirambi yake wameirambaramba..??🤣Hakuna dada aliyepelekwa Kagera.....
Yule binti amesafirishwa na serikali hadi kwao iringa, na serikali ndio imegharamia kila kitu tangu msiba wenyewe hapa na kijijini kwao, jeneza, mavazi na kusafirisha waombolezaji
Hao waliokupitishia bakuli wamekutapeli sababu sisi kama familia na ndugu hatukufanya hivyo
Watakua wamekula hao wahuniSo rambirambi yake wameirambaramba..??🤣
Asante mkuu, pole kwetu sote waliokufa ni watanzania wenzetuPole kwa kufiwa.
Ni kweli Watanzania walienda kumuaga mpendwa wao Jemedari Magufuli hawakujali loloteChanzo cha habari gazeti la the Citizen la Leo tarehe 30-03-2021
Dunia ina mambo mengi sana na vichekesho vingi sana, Hawa Jamaa Polisi mara ya kwanza waliogopa kutangaza...
Pole lknWatakua wamekula hao wahuni
AsanteeeePole lkn
Unamuuliza nani sasa? Si mlitaka wenyewe kuweka historia ya watu bilioni 4 kumuaga marehemu?Mbaya sana kwa kweli!
DC na RC bado wako ofisini?
Hakuna dada aliyepelekwa Kagera.....
Yule binti amesafirishwa na serikali hadi kwao iringa, na serikali ndio imegharamia kila kitu tangu msiba wenyewe hapa na kijijini kwao, jeneza, mavazi na kusafirisha waombolezaji
Hao waliokupitishia bakuli wamekutapeli sababu sisi kama familia na ndugu hatukufanya hivyo
hao wajinga kweli muda wote walikuwa wanamtafuta mtu wa kuwasilisha taarifa kwa englishChanzo cha habari gazeti la the Citizen la Leo tarehe 30-03-2021
Dunia ina mambo mengi sana na vichekesho vingi sana, Hawa Jamaa Polisi mara ya kwanza waliogopa kutangaza...
Ule msiba wa kimara wa watu sita wa familia moja.serikali ilitoa gari la escot na polisi 4 basi hawakutoa hata senti mojaNitake radhi Asprin😅😅😅
Makala zako kuhusu kipenzi cha watz prof Assad ntaziona wapi? Nataka kuzisomaMkuu Mimi ni muumini wa ukweli na uwazi, Fuatilia makala zangu kuhusu CAG Dkt Assad
Kwenye ishu za watu kuiba na Kujijengea mtandao wa kupiga pesa Siungi mkono
Hayati nilimuunga mkono kwenye kusimamia kazi na anachokiamini kwenye ishu za uhuru wa habari na Demokrasia mambo yalikuwa hovyo sana sana