zaratustra
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 848
- 223
Polisi anaruhusiwa kutumia minimum power kama mtuhumiwa analeta ukaidi! Kilichofanyika hapo ni sawa kabisa kwani wote tunamfahamu Lisu kwa ubishi!!
Njoo na uthibitisho wa hayo unayoyaandika! Hakuna sheria inayoruhusu kutumia nguvu kwa mtu, anayekaidi sembuse ya kutumia "minimum power"!