Polisi wetu na sheria mkononi-- picha ya Tundu Lisu

Nadhani polisi walishindwa kuelewa kwamba kwa kufanya hivyo wanazidi kukimaliza chama tawala. Kabla ya kuchukua hatua hiyo RPC kanda maalumu aliuliza ngazi za juu na akapewa go ahead.
 
View attachment 30749
Kuna sheria moja imefunga watu sana hapa nchini, kujichukulia sheria mkononi au kupiga mtu hata kama amekuibia hivi polisi haiwahusu?
Kumdhalilisha hivi waziri kivuli wa sheria je sisi wengine itakuwaje?
Hiyo ni nguo ngumu lakini wameweza kumpa purukushani mpaka ikachanika, je mbavu zake ziko salama?

Mimi nadhani wananchi kuweke msimamo kama tukiona polisi anapiga mtu au kutumia nguvu kupitiliza tufanye nini?
Wenzetu uingereza juzi wamefanikiwa kuipasua sheria ya kuwawekea kinga kwa njia za mahakama watu wenye majina pale wanapofanya uovu kwa kutumia TWITTER.

Na tubuni mbinu ya kukomesha ukatili wa polisi, hata kama ni kuanzisha mfuko wa kuteteta watu wasio na kipato wanaonyanyaswa na polisi na mahakama tufanye, haki haiji kwa kuremba remba.

hawa watakuwa wametumwa na CCM, inauma kweli.
 
Mbona hapo haionyeshi akipewa mkong'oto? Natamani sana hao CDM wapewe kichapo cha maana cuz wanatuvurugia amani yetu! Big up Kamanda Masawe, unafanya kaz yako vizuri!

sishangaa maana hata avatar yako inaonyesha ulivyo na bichwea kubwa limejaa mautumbo ya bata
 
home004pix.jpg

Dr Besigye speaks to Inspector Mukite during the walk-to-work demo at Kasangati. PHOTO ISAAC KASAMANI

Ni wajinga kwa nini watu wakutumia kuua binadamu wenzio, kwa huko uganda kuna polisi wamefukuzwa kazi kwa kutotekeleza amri za kijinga hizi
ndhani hawa wakina masawe nao wametishiwa kufukuzwa.
Another police officer fired over Besigye demo


Dr Besigye speaks to Inspector Mukite during the walk-to-work demo at Kasangati. PHOTO ISAAC KASAMANI
A police officer who failed to block Kizza Besigye from accessing inner Kampala on Monday to launch the drive, ride-and-hoot segment of the demonstration over soaring fuel and food prices, has been suspended, officials have said.

Inspector Collins Mukite, until Monday the OC Kasangati Police Station, is the most junior to join a growing list of hitherto senior security officers indicted for mishandling the walk-to-work demonstration or Dr Besigye himself.

The officer has been charged with "neglect of duty", according to Police Spokesperson Judith Nabakooba. She, however, denied that the reprimand followed his failure to stop Dr Besigye, who was last week put under ‘preventive arrest', from leaving his home.
Despite heavy deployment by police, who even blocked journalists from accessing his house in Kasangati, the opposition politician was later allowed to drive to the inner-city, and he used the day's evening to blow a vuvuzela in town to launch the daily 5pm, five-minute hoot campaign.

In a telephone interview on Tuesday, Ms Nabakooba said: "He failed to deploy the men under him. They weren't patrolling the area and he was nowhere to be seen."
District Police Commander James Ruhweza, who is IP Mukite's direct supervisor, executed the orders, citing Police Act provisions.

Kasangati in Wakiso District, where Dr Besigye resides, has since April 11 when the walk-to-work

protests began, become a dicey operational area for security officers.
A number have had their careers turned upside down for not handling the former presidential candidate as preferred by their supervisors.
A top police officer, who asked not to be named due to the sensitivity of the matter, said pressure on them and other commanders has heightened since commencement of the protests summoned by the pressure group, Activists for Change. The officer said many colleagues have reportedly pleaded not to be sent on such assignment.

Former Deputy CID director Moses Sakira who failed to put together evidence for a treason case President Museveni pressed against Dr Besigye, alleging he accused him during campaigns of selling Lake Kyoga to foreigners, was the first to be suspended.

Later Jinja Road Police Operations Commander, Mr Alphonse Mutabazi, who chose to escort UPC president Olara Otunnu in his defiance walk from Nakawa Market, a city suburb, to the party headquarters at Uganda House, was briefly fired and only re-deployed to Police Mechanical department following public outcry.

A week ago, Assistant Inspector General of Police and Interpol head, Francis Rwego, and Military Police commander, Lt. Col. Michael Kabango, assigned to oversee security operations during Dr Besigye's May 12 homecoming, were fired after the crowd accompanying the opposition politician paralysed traffic, and engaged in running battles with soldiers and police, for about nine hours.

Some visiting heads of state, among them Nigeria's President Goodluck Jonathan, who had come to attend President Museveni's swearing-in ceremony, reportedly got caught up in the clashes.

Lt. Col. Kabango and Mr Rwego were accused of failing to clear Dr Besigye's supporters off the thoroughfare to the Airport within an hour as planned.
In a separate interview, Deputy Police Spokesman Vincent Ssekatte, said "IP Mukite abandoned his station at night".
 
Nadhani polisi walishindwa kuelewa kwamba kwa kufanya hivyo wanazidi kukimaliza chama tawala. Kabla ya kuchukua hatua hiyo RPC kanda maalumu aliuliza ngazi za juu na akapewa go ahead.

Polisi wapo kisheria, wanatekeleza sheria za nchi. Kama "maamuzi kutoka juu" yanafanywa kwa kutekeleza sera za chama then who is to blame?
Halafu, nani anaweza kutuhakikishia kuwa ni polisi walioitatua hiyo nguo? I need to be sure of this coz that guy and the follows are capable of any thing in the name of politics!
 
ukombozi umefika afrika mashariki

President Museveni should act like a statesman and stop using excessive force in dealing with the opposition in the ongoing campaign over rising commodity and fuel prices, a UK top official has said.

The United Kingdom Minister for Africa, Mr Henry Bellingham, made the comments in an interview with the BBC’s Network Africa programme on Monday. “President Museveni won with a big majority, he should now be magnanimous, he should be statesman-like, and he should rise above trying to make any moves against the opposition,” he said in his interview.

Mr Bellingham asked President Museveni to rise above “petty party politics” having won the Feberuary 18 presidential polls. He said the very tough tactics used by President Museveni against Dr Kizza Besigye, the leader of Forum for Democratic Change party, were a concern for the UK government, one of Uganda’s biggest aid donors.s
 
Regardless of what they got, being given opportuinity ya kufikia level ya form four ni achievent kubwa sana kwa vijana wetu

then hyo elim ya div 4 na zero inakusaidia nin ktk mazingira ya Tz yetu?. Ndo mana maaskar weng ni waliofel fm 4 coz hawana pakukimbilia kwa Tz hii. Halaf hatuendi shule kukua na kupoteza muda bana!.
 
Polisi wapo kisheria, wanatekeleza sheria za nchi. Kama "maamuzi kutoka juu" yanafanywa kwa kutekeleza sera za chama then who is to blame?
Halafu, nani anaweza kutuhakikishia kuwa ni polisi walioitatua hiyo nguo? I need to be sure of this coz that guy and the follows are capable of any thing in the name of politics!

kwa hiyo wewe unataka kusema wakurya nao ni CHADEMA,
kwani tukio hilo lilitokea chadema wakiwa tarime au alikwenda baada ya tukio?
mwisho mara yako ya mwisho kuona polisi wanafanya unyama ilikuwa lini? au hauishi tanzania?
unakumbuka kesi ya ZOMBE polisi walichukua wafanya biashara wakaenda kuwatia lisasi msituni?
 
Kwako mwanfunzi kumaliza kidato cha nne ni ndio maendeleo?Mawazo yako mafupi Kama ya raisi wako Jk aliposema uchumi wa Tanzania umekuwa sababu ya foleni za magari kuwa kubwa so mnafanana kwa akili.Kwa mawazo yako mafupi unanitolea mifano mifupi kwa migongo ya nchi za Afrika.Vigogo wa ccm Siril Chami na William Likuvi wana vibali vya kuvuna magogo serikali yako ya ccm imeshindwa vipi na yenyewe kuvuna magogo na kuwapa kazi JKT watutengenezee madawati sbb misitu tunayo?

Hivi yale mabilioni ya kuandaa maandamno cdm yasingeweza kununua madawati?
 
Hivi yale mabilioni ya kuandaa maandamno cdm yasingeweza kununua madawati?

maumivu ya kichwa inapoanza tumia panadoooooooooooooooooo
kiutaalamu hii ina maana lengo la maandamano limetimia vizuri sana maana ni ajenda kuu ya magamba kwa sasa wazungu wanaita THREAT
Kwa wana mahesabu tutafanya hiVi MAANDAMANO= MAGAMBA KUKOSA USINGIZI
 
kwa hiyo wewe unataka kusema wakurya nao ni CHADEMA,
kwani tukio hilo lilitokea chadema wakiwa tarime au alikwenda baada ya tukio?
mwisho mara yako ya mwisho kuona polisi wanafanya unyama ilikuwa lini? au hauishi tanzania?
unakumbuka kesi ya ZOMBE polisi walichukua wafanya biashara wakaenda kuwatia lisasi msituni?

Usiweke vikwazo, unasema tukio lakini hausemi tukio gani.
Kama unaongelea kuhusu shooting, then you are not anywhere close to the thread. What more can I say?
 
maumivu ya kichwa inapoanza tumia panadoooooooooooooooooo
kiutaalamu hii ina maana lengo la maandamano limetimia vizuri sana maana ni ajenda kuu ya magamba kwa sasa wazungu wanaita THREAT
Kwa wana mahesabu tutafanya hiVi MAANDAMANO= MAGAMBA KUKOSA USINGIZI

Serikali ingeweza kufanya kila kitu kama inanavyotakiwa, nina uhakika wewe ungekuwa Mirembe, kwa kifupi afya ya akili yako ni dhaifu sana kiasi cha kuhitaji tiba. Tatizo ni kwamba taasisi za tiba ya akili zinaweza kuhudumia watu wachache kuliko mahitaji halisi na kwa hili nailaumu serikali ya Tanzania kwani inawajibika moja juu ya hili.
 
Utangoja sana! CCM na mikakati yake mizuri itaiongoza Tanzania milele!

Godamit old tanzanian!polic kaz yake c kuchana nguo za raia bali n kumfikisha penye haki mahakaman,ijapo najua utabisha ila ka mbungu kakujalia upeo wa kujua wapi penye ukwel bs wewe c mwana ccm kama u kijana,na kama n mwana chama bs n njaa 2 ulonayo na c kosa lako n la hao wanaokuongoza ila kwa kuwa n ngumu kujua their deeds bs bk kwenye magamba bt we hv faith even if it may take long bt ccm has its end in power
 
Godamit old tanzanian!polic kaz yake c kuchana nguo za raia bali n kumfikisha penye haki mahakaman,ijapo najua utabisha ila ka mbungu kakujalia upeo wa kujua wapi penye ukwel bs wewe c mwana ccm kama u kijana,na kama n mwana chama bs n njaa 2 ulonayo na c kosa lako n la hao wanaokuongoza ila kwa kuwa n ngumu kujua their deeds bs bk kwenye magamba bt we hv faith even if it may take long bt ccm has its end in power

Polisi anaruhusiwa kutumia minimum power kama mtuhumiwa analeta ukaidi! Kilichofanyika hapo ni sawa kabisa kwani wote tunamfahamu Lisu kwa ubishi!!
 
Back
Top Bottom