Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
Hahahaha....! Mnavyoumbuana Arusha nawapongezeni sana, lakini sio kwa hili.....!Mbona hapo haionyeshi akipewa mkong'oto? Natamani sana hao CDM wapewe kichapo cha maana cuz wanatuvurugia amani yetu! Big up Kamanda Masawe, unafanya kaz yako vizuri!