lifeofmshaba
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 867
- 219
Kuna sheria moja imefunga watu sana hapa nchini, kujichukulia sheria mkononi au kupiga mtu hata kama amekuibia hivi polisi haiwahusu?
Kumdhalilisha hivi waziri kivuli wa sheria je sisi wengine itakuwaje?
Hiyo ni nguo ngumu lakini wameweza kumpa purukushani mpaka ikachanika, je mbavu zake ziko salama?
Mimi nadhani wananchi kuweke msimamo kama tukiona polisi anapiga mtu au kutumia nguvu kupitiliza tufanye nini?
Wenzetu uingereza juzi wamefanikiwa kuipasua sheria ya kuwawekea kinga kwa njia za mahakama watu wenye majina pale wanapofanya uovu kwa kutumia TWITTER.
Na tubuni mbinu ya kukomesha ukatili wa polisi, hata kama ni kuanzisha mfuko wa kuteteta watu wasio na kipato wanaonyanyaswa na polisi na mahakama tufanye, haki haiji kwa kuremba remba.
View attachment 30758
huyu ndio hafai kapisa hapo anamlisha sumu tu, huyo bwana kaisha zoea roho za watu kumlilia alianza toka akiwa msitini na kupindua serikali sasa kikwete anapochukua ushauri kwa mtu kama huyo mambo kama ya tarime itakuwa kawaida tu.
mpinzani wa uganda kwa sasa kwafungwa kifungo cha nyumbani haruhusiwi kutoka.
tundu lisu kapigwa marufuku kwenda NYAMONGO hayo yamefanya jana, na jana hiyo alikutana ha hiyo dubu
masharti ya LISU kutokanyaga nyamongo yamekaa kiuganda uganda ( museven style)
huko wa msevini maafisa wawili wapolisi kama masawe wameshafukuzwa kazi mpaka sasa, kwa sababu hawakuwa tekeleza amri ya kumfanyizia mpinzani wa mseveni
kwa maana nyingine polisi wakitumwa kwenye tukio hakuna kutumia akili unafanya ulichoagizwa, nadhani hata masawe kafanya huu unyama kulinda kitumbua chake, lakini moya anasimanzi kufunga ndoa ana serikali ya kikwete.