Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,292
- Thread starter
- #21
Ghafla mama Samia anafanana na JPM kwenye treatment ya wapinzani wake, mama anapoteza mvuto na kule kukubalika kwa wananchi kunapotea
Halafu Mapema sana
Ghafla mama Samia anafanana na JPM kwenye treatment ya wapinzani wake, mama anapoteza mvuto na kule kukubalika kwa wananchi kunapotea
Wewe boya kweli kuzaliwa ama kuishi dsm ndio nini sasa. una uzuzu sio wa nchi hii.Wajinga Kama nyie, hivi wewe umezaliwa Dar kweli mbona mshamba sana au muhutu kabisa
Mlipewa uhuru mkaanza matusi ,rejeeni matusi ya MDUDEGhafla mama Samia anafanana na JPM kwenye treatment ya wapinzani wake, mama anapoteza mvuto na kule kukubalika kwa wananchi kunapotea
hawa police wanalaanaOfisi ya Jimbo la Mbagala Kuu ya ACT Wazalendo imevamiwa na Polisi Mida ya jioni jana jumamosi na wakalazimisha kuwakamata watu wote waliopo ambao ni pamoja na viongozi na Mawakala kwa hoja kuwa wameweka mkusanyiko usio halali.
Kwa hiyo Sasa RASMI mikusanyiko kote nchini HAIRUHUSIWI? Mkusanyiko halali ukoje? Vipi haki ya kikatiba ya kukusanyika?
Mama Samia haya mambo Yana baraka zako? Unahisi yatakusaidia "kusimamisha" uchumi?
Huoni kuwa haya matendo yataharibu taswira yako kimataifa?
Umeshasahu mara hii madhara ya chuki za kisiasa zilizopitiliza nyakati za ugonjwa mpaka msiba?
===
View attachment 1857971
View attachment 1857966
Kumuamini CCM yeyote awaye inataka kwanza ujitoe akili...Ofisi ya Jimbo la Mbagala Kuu ya ACT Wazalendo imevamiwa na Polisi Mida ya jioni jana jumamosi na wakalazimisha kuwakamata watu wote waliopo ambao ni pamoja na viongozi na Mawakala kwa hoja kuwa wameweka mkusanyiko usio halali.
Kwa hiyo Sasa RASMI mikusanyiko kote nchini HAIRUHUSIWI? Mkusanyiko halali ukoje? Vipi haki ya kikatiba ya kukusanyika?
Mama Samia haya mambo Yana baraka zako? Unahisi yatakusaidia "kusimamisha" uchumi?
Huoni kuwa haya matendo yataharibu taswira yako kimataifa?
Umeshasahu mara hii madhara ya chuki za kisiasa zilizopitiliza nyakati za ugonjwa mpaka msiba?
===
View attachment 1857971
View attachment 1857966
Huwa inaonekana wakishastaafu!!!hawa police wanalaana
Kuhusu Katiba mpya ,mtakamata wengi mno. Hapa Arusha cdm wamechimbia kwenye ukumbi wanasuka mambo.Ofisi ya Jimbo la Mbagala Kuu ya ACT Wazalendo imevamiwa na Polisi Mida ya jioni jana jumamosi na wakalazimisha kuwakamata watu wote waliopo ambao ni pamoja na viongozi na Mawakala kwa hoja kuwa wameweka mkusanyiko usio halali.
Kwa hiyo Sasa RASMI mikusanyiko kote nchini HAIRUHUSIWI? Mkusanyiko halali ukoje? Vipi haki ya kikatiba ya kukusanyika?
Mama Samia haya mambo Yana baraka zako? Unahisi yatakusaidia "kusimamisha" uchumi?
Huoni kuwa haya matendo yataharibu taswira yako kimataifa?
Umeshasahu mara hii madhara ya chuki za kisiasa zilizopitiliza nyakati za ugonjwa mpaka msiba?
===
View attachment 1857971
View attachment 1857966
Mikusanyiko inahitaji kibali cha rais?Rais alishatoa msimamo wake alipojibu waandishi wa habari. Unataka aseme vipi zaidi uelewe?
Umeoza ubongoKilachoko choko mnayotaka kuleta lazima idhibitiwee. Usalama wa nchi nimuhim kuliko tamaa ya madaraka mliyonayooo.
Sijasema mikutaniko inahitaji kibali cha rais. Hiyo ni haki ya kikatiba ambayo haihitaji kibali cha rais.Mikusanyiko inahitaji kibali cha rais?
Amepoteza mvuto haraka sn sababu ya matendo yake ya hovyoGhafla mama Samia anafanana na JPM kwenye treatment ya wapinzani wake, mama anapoteza mvuto na kule kukubalika kwa wananchi kunapotea
Ghafla mama Samia anafanana na JPM kwenye treatment ya wapinzani wake, mama anapoteza mvuto na kule kukubalika kwa wananchi kunapotea
ChokochokoRais alishatoa msimamo wake alipojibu waandishi wa habari. Unataka aseme vipi zaidi uelewe?
Mikusanyiko inahitaji kibali cha rais?