Polisi wavamia Ofisi za jimbo ACT Mbagala Kuu na kukamata Viongozi na Mawakala

Mara paap maam anakuwa dikt kuliko stone. Kati ya mchawi Me na mchawi Ke nani afadhari?? Bible yangu inasema usimwache Ke a survive. Du sijui nimeandika nini
 
Naseama wapigwe tu hadi tuwe na tume huru ya uchaguzi....

Eti huelewi nina maana gani, Mimi mwenyewe sijuhi nimeandika nini!
 
Ofisi ya Jimbo la Mbagala Kuu ya ACT Wazalendo imevamiwa na Polisi Mida ya jioni jana jumamosi na wakalazimisha kuwakamata watu wote waliopo ambao ni pamoja na viongozi na Mawakala kwa hoja kuwa wameweka mkusanyiko usio halali.

Kwa hiyo Sasa RASMI mikusanyiko kote nchini HAIRUHUSIWI? Mkusanyiko halali ukoje? Vipi haki ya kikatiba ya kukusanyika?
Mama Samia haya mambo Yana baraka zako? Unahisi yatakusaidia "kusimamisha" uchumi?

Huoni kuwa haya matendo yataharibu taswira yako kimataifa?

Umeshasahu mara hii madhara ya chuki za kisiasa zilizopitiliza nyakati za ugonjwa mpaka msiba?
===
View attachment 1857971
View attachment 1857966
hawa police wanalaana
 
Kwani zitto anasemaje.
Tangu seif atangulie mbele za haki zitto kapatwa na ganzi mpaka sasa hasikiki tena yuke abdul nas kwa sasa kawa abudala
 
Ofisi ya Jimbo la Mbagala Kuu ya ACT Wazalendo imevamiwa na Polisi Mida ya jioni jana jumamosi na wakalazimisha kuwakamata watu wote waliopo ambao ni pamoja na viongozi na Mawakala kwa hoja kuwa wameweka mkusanyiko usio halali.

Kwa hiyo Sasa RASMI mikusanyiko kote nchini HAIRUHUSIWI? Mkusanyiko halali ukoje? Vipi haki ya kikatiba ya kukusanyika?
Mama Samia haya mambo Yana baraka zako? Unahisi yatakusaidia "kusimamisha" uchumi?

Huoni kuwa haya matendo yataharibu taswira yako kimataifa?

Umeshasahu mara hii madhara ya chuki za kisiasa zilizopitiliza nyakati za ugonjwa mpaka msiba?
===
View attachment 1857971
View attachment 1857966
Kumuamini CCM yeyote awaye inataka kwanza ujitoe akili...
#katiba mpya
 
Ofisi ya Jimbo la Mbagala Kuu ya ACT Wazalendo imevamiwa na Polisi Mida ya jioni jana jumamosi na wakalazimisha kuwakamata watu wote waliopo ambao ni pamoja na viongozi na Mawakala kwa hoja kuwa wameweka mkusanyiko usio halali.

Kwa hiyo Sasa RASMI mikusanyiko kote nchini HAIRUHUSIWI? Mkusanyiko halali ukoje? Vipi haki ya kikatiba ya kukusanyika?
Mama Samia haya mambo Yana baraka zako? Unahisi yatakusaidia "kusimamisha" uchumi?

Huoni kuwa haya matendo yataharibu taswira yako kimataifa?

Umeshasahu mara hii madhara ya chuki za kisiasa zilizopitiliza nyakati za ugonjwa mpaka msiba?
===
View attachment 1857971
View attachment 1857966
Kuhusu Katiba mpya ,mtakamata wengi mno. Hapa Arusha cdm wamechimbia kwenye ukumbi wanasuka mambo.
 
Mikusanyiko inahitaji kibali cha rais?
Sijasema mikutaniko inahitaji kibali cha rais. Hiyo ni haki ya kikatiba ambayo haihitaji kibali cha rais.

Nasema hao wanaouliza sana kama rais kaagiza au hajaagiza, nasema rais alivyojibu swali la waandishi wa habari kuhusu mikutano alikuwa kashaagiza, hivyo, suala la rais kaagiza au hakuagiza linaweza kuulizwa na watu wasiofuatilia mambo tu.

Rais kujibu swali la waandishi kwa kusema mikutano isubiri uchumi alishaagiza polisi waingilie mikutano hii kwa sasa. Kauli ya rais inachukuliwa kama agizo na hawa askari, hususan kwa sababu rais ni mkuu wa majeshi pia.
 
Mikusanyiko inahitaji kibali cha rais?

Tamko la rais linaweza kutafsiriwa vibaya... Mikutano ya adhara watafanya wabunge ktk Jimbo lake na mikutano ya ndani inaruhusiwa kwa vyama vyote.

Jiulize serikali kwa nini inatumia polis kuzuia vikao vya wapinzani
Kuzuia harakati za mahitaji ya katiba mpya sio lazima kutumia nguvu au polis
 
Back
Top Bottom