Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,314
- 2,635
Polisi wanaolinda benki ya crdb kahama wamemkamata kijana mmoja akiwa na kichwa cha binadamu alichokuwa amekihifadhi ktk mfuko wa nailoni. Kijana huyo alifika katika viunga vya benki hiyo na kuanza kumtafuta mteja wake waliyokubariana kukutana benki ili wakamilishe mauziano ya bidhaa hiyo.polisi walimtilia shaka baada ya kuona anawasiwasi mwingi.alipo hojiwa alisema anatokea mwamala nzega. Jamani dunia mbona inakuwa na matukio tata namna hiyo?