Polisi wa Tanzania wanasa Malawi wakifuatilia wahalifu

Aisee kumbe we Mkaldayo upo vizuri kwenye Mambo ya International Law. Big Up!
 
NIMEPITIA COMENTS ZOTE NAONA WENGI KAMA SIO WACHANGIAJI WOTE WANASEMA "WAPIGWE TU".

WENGI WANAONA HATA JANGA LILILOWAPATA NI DOGO WANGETAMANI WANGEPATA MADHARA MAKUBWA ZAIDI.

POLISI WAJITAFAKARI
NI KWANN RAIA WENGI HAWAWAPENDI?
Polisi wameambiwa wasimwamini raia yeyote na sisi hatumpendi Polisi yeyote - mmemwaga ugali tunamwaga mboga!
 
Sijasema lolote juu kujua au kutokujua Kiingereza.Nina Cho jua Polisi wa Tanzania ni zero kabisa Kwenye lugha tukiachana hayo waambie siku moja wavuke mpaka wa Sirari wafike Migori waone au wavuke mpaka wa Namanga waone.
Lugha zinapigana?
 
Nimesoma comments nyingi,naona
Ni namna gani Jeshi la polisi la Tanzania linavyochukiwa,

Bila shaka ni namna wananchi,yaani wenye nchi yao wanavyoonewa/nyanyaswa na Askari wetu.

Niseme tu jeshi letu lijitafakari,

Lakini pia,kwanini askari kabisa mwenye uelewa kichwani ukaingia kwenye nchi za watu bila kufuata sheria kweli?


Au ni wale waliowekwa na wajomba zao

Aibu kwa jeshi letu.
 
Hatari sana hii,inabidi polisi wepewe elimu kuhusu utaratibu wa kuingia mipakani
Sasa mfano hapo ungekuwa mpaka wa Somalia
Au wataliban si ndiyo hakuna kurudi tena

Ova
 
Huyu alieandika kiboko.Kwahiyo watuhumiwa wa mauaji wamekimbia.?
 
Yani police bongo ilitakiwa uzi kama hizi ipitie,ione jinsi gani raia hawawakubali kabisa.

Ili labda,yani labda tena labda waweze kujirekebisa.
 
Hahahaahhaa haaaahaahahaa
Hahahaahhaa haaaahaahahaa

Pole sana Policcm mlivamia bonde la wanywa gongo na wavuta sigara kali zilizochanganywa na bangi zenye pilipili na bahati yenu

Wamalawi wangewatindua Marinda

Shwain!
 
Sijasema lolote juu kujua au kutokujua Kiingereza.Nina Cho jua Polisi wa Tanzania ni zero kabisa Kwenye lugha tukiachana hayo waambie siku moja wavuke mpaka wa Sirari wafike Migori waone au wavuke mpaka wa Namanga waone.
Kiingereza cha Kenya,kenye lafidhi ya lugha za kienyeji
 
Yaani walihisi bodaboda una magendo wakaamua kuikimbiza? hawana tofauti na wale TRA waliofariki kwa ajali wakikimbiza gari "lililodhaniwa" limebeba magendo.

Hapo walikuwa wakikimbilia rushwa tu.
 
Sijasema lolote juu kujua au kutokujua Kiingereza.Nina Cho jua Polisi wa Tanzania ni zero kabisa Kwenye lugha tukiachana hayo waambie siku moja wavuke mpaka wa Sirari wafike Migori waone au wavuke mpaka wa Namanga waone.

Uko sahihi kabisa, hawa Police wetu ni zero brain
 
Bahat mbaya tu bhana watu wanaponda tu bila kufikiria Hawa polis wa mipakan huwa wanashirikiana na nchi Jiran
 
We nawe ni mpumbavu sana kuongea kiingereza mnaonaga kama ndio unafanana na malkia Elizabeth sio?
Polisi anahudumia watu wote, na wageni toka nje. Nimewahi shuhudia siku moja, (mji sitautaja) polisi wa kike alishindwa kumwelekeza njia ya kwenda hotel aliofikia binti mzungu mmoja. 'sorry madame, just follow the police, she will lead you to your hotel, it is not far from here', niliongea nae baada ya kuingilia nilipogundua lugha gongana. Mzungu wa watu alishukuru wakaondoka. Kilichoendelea njiani sijui. Polisi kujua lugha zaidi ya moja inasaidia.
 
Siku wakijaribu huku Kenya, tutawarudushia majeruhi.Polisi wa Tanzania hata Kiingereza tu hawajui
Siwapendi Police wa Tanzanian, but back to your concern kiingereza is just a language like Swahili,
 
Akili yao inakuwaga kwenye rushwa tu hadi wanajisahau kama wanaingia kwenye nchi isiyowahusu, ovyo kabisa.
 
wao walivuka mipaka wanategemea nini? au ndo walikuwa wanaringishia na uniform zao, kwamba na wao wanaajira YEHODAYA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…