Yupi aliefichwa?Viongozi wangapi wamefanyiwa umafia na mnafichaficha?kwanini hii iwe wazi hivi?ni lazima kuna agenda tu nyuma ya pazia.
Yupi aliefichwa?Viongozi wangapi wamefanyiwa umafia na mnafichaficha?kwanini hii iwe wazi hivi?ni lazima kuna agenda tu nyuma ya pazia.
ahahaha anatakakuchukua nafasi ya makamu mwenyekiti, anataka mzee apumzike
Baada ya kuangukia pua sakata la Mch. Msigwa kaibukia kununua madiwani huko Kigoma, naona fedha iliyopatikana kwenye faini imeelekezwa kununua wapinzani uchwara.ahahaha anatakakuchukua nafasi ya makamu mwenyekiti, anataka mzee apumzike
Hakuna atakayekujibu , Si polepole wala MambosasaNi nani aliyetaka kumuua Mangula kwa kumpa sumu?
Jibu liko wazi sn yani....Mangula alipinga Membe kufukuzwa ccm akaishia kupewa sumu. Ni nani aliyempa sumu Mangula?
Jibu liko wazi sn yani....
Aliyeamuru Tundu Lissu apigwe risasi ndo huyo huyo aliyeamuru Mangula alishwe sumu.....
Haki huinua taifa....
Wewe!!!!!!!!!! Ongea unalolijuaMangula alipinga Membe kufukuzwa ccm akaishia kupewa sumu. Ni nani aliyempa sumu Mangula?
Maccm wenzake, inawezekana mzee kijana alikuwa mastermindMangula alipinga Membe kufukuzwa ccm akaishia kupewa sumu. Ni nani aliyempa sumu Mangula?
ChakubangaMangula alipinga Membe kufukuzwa ccm akaishia kupewa sumu. Ni nani aliyempa sumu Mangula?
Anayeua kwa upanga naye atakufa kwa upangaDamu ya Watanzania wasio na hatia imetapakaa mikononi mwake.
Mangula alipinga Membe kufukuzwa ccm akaishia kupewa sumu. Ni nani aliyempa sumu Mangula?
Mjinga ni wewe unayezusha. Nilikwonyesha mzee comment yako akacheka tu. Hivi mnapata faida ipi mnapozushaAcha ujinga wewe!
Mjinga ni wewe unayezusha. Nilikwonyesha mzee comment yako akacheka tu. Hivi mnapata faida ipi mnapozusha